Nimesema hivyo kwasababu mtandao unahusika sana katika mambo ya usalama zaidi ya social, kama mntandao unazimwa halafu kunatokea mauaji ya kutisha, wananchi inabidi wajue sababu hasa ya kuzima ilikuwa ni ipi?
Nitaongeleaje kitu nisichokijuwa, huyo capteni nilimuona kwenye mitandao. Kwa kuwa wewe unamuulizia sana, labda unafahamu zaidi, tuambie basi yeye ni nani?
Haina haja ya kuongelea mambo ya usalama ila swali langu ni kutaka kujua uhalali wa kuua watu majumbani mwao hovyo, hao wamama na watoto, wanatishia usalama wa nani?
Kuna video, watu wako nyumbani, mwingine yuko workshop ya useremala anapigwa shaba, waht is that?
Suala la tesha ni wewe ndiyo ulilileta, nikasema tuu kuna watu walimuulizia nikasema mimi sijui.
Maswali yangu ya uhalali wa kuua mpaka watoto wadogo bado nangojea majibu.