Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The idiot at it again, fala ProMax
Huna uwezo wa kujadili na mimi mdogo wangu. Hizi hasira unazoziona za watanzania zisikukumbaze. Tutakuwa wamoja na tutaendelea vizuri. Watanzania wameelewa hiyo comment yangu, wewe low level huwezi decode vitu hivyo.
 
Tunaanzia tulipoishia

1762429601971.png


Hifadhi ya Urithi wa Dunia ya Kilwa Kisiwani na Songo Mnara imeendelea kuthibitisha upekee wake kwenye ramani ya utalii duniani. Tarehe 31 Oktoba 2025, msimu wa utalii ulipamba moto baada ya meli ya kifahari SH Diana kutia nanga na kuleta wageni 147 kutoka mataifa 13 tofauti.

Ufaransa, Australia, Ubelgiji, Canada, Uingereza, Uswisi, Ujerumani, Cyprus, New Zealand, Marekani, Urusi, Uturuki na Ukraine — zote zilikuwa na mguu mmoja Kilwa. Wageni hawa walihamasishwa na uhondo wa historia na urithi wa usanifu wa mawe uliotamba katika karne za kati, eneo ambalo UNESCO imelipa hadhi ya Urithi wa Dunia tangu 1981.

Historia Inayotembea: Wageni Wajionea Alama za Usultani

Wakiwa chini ya uratibu wa Savannah Tours Ltd kwa kushirikiana na Black Willow Safaris, watalii hao walipata nafasi ya kutembea maeneo nyeti ya kihistoria kama vile:

  • Msikiti Mkongwe uliojengwa kwa mawe ya matumbawe
  • Kasri la Sultani — kiini cha nguvu za biashara ya kimataifa
  • Maeneo kadhaa yaliyokuwa kitovu cha biashara ya dhahabu, pembe za ndovu na bidhaa kutoka bara na ng’ambo


1762429618748.png
 
Tutaelewana tu kidogo kidogo wa watu walio na sikio la kufa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DK. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Shirikisho la Urusi Mhe. Vladimir Putin, Mhe. Sergei Kiriyenko, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 06 Novemba, 2025.

1762429947154.png



1762429999278.png


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Shirikisho la Urusi Mhe. Vladimir Putin uliowasilishwa kwake na Mhe. Sergei Kiriyenko, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 06 Novemba, 2025.

1762430035313.png


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mhe. Sergei Kiriyenko, Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Shirikisho la Urusi Mhe. Vladimir Putin, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 06 Novemba, 2025.

1762430070122.png

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mhe. Sergei Kiriyenko, Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Shirikisho la Urusi Mhe. Vladimir Putin mara baada ya kuwasili Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 06 Novemba, 2025.
 
The revolution planned by Mr. PAKA, with the support of four European countries during the elections in Tanzania using Kenyan media outlets and activists to tarnish Tanzania’s image failed
Mambo ya Kagame na HIMA empire tunayafahamu, swali kuu ni sababu ipi ilifanya watu waliojikalia makwao bila hata ya kuandamana kuuliwa kwa risasi za moto?
 
Mambo ya Kagame na HIMA empire tunayafahamu, swali kuu ni sababu ipi ilifanya watu waliojikalia makwao bila hata ya kuandamana kuuliwa kwa risasi za moto?
Kaka ndio maana tupo kwenye uchunguzi na ripoti zitatolewa. Lakini za chini ya kapeti nasikia kulikuwa na kundi kubwa lilipata mafunzo somewhere waliua na kutesa watu. Waliingia na boda boda. Ukiangalia risasi zilizokuwa zinatumika ni za kuulia tembo.

Tafakari kwanza kabla ya kutumia hisia
 
Kaka ndio maana tupo kwenye uchunguzi na ripoti zitatolewa. Lakini za chini ya kapeti nasikia kulikuwa na kundi kubwa lilipata mafunzo somewhere waliua na kutesa watu. Waliingia na boda boda. Ukiangalia risasi zilizokuwa zinatumika ni za kuulia tembo.

Tafakari kwanza kabla ya kutumia hisia
Kama hawa watu waliokwenda majumbani kuua watu randomly walitoka nje ya nchi, ni kwanini mitandao ilifungwa na kwa nini jeshi halikuingilia, kulinda wananchi?
 
Kama hawa watu waliokwenda majumbani kuua watu randomly walitoka nje ya nchi, ni kwanini mitandao ilifungwa na kwa nini jeshi halikuingilia, kulinda wananchi?
Hayo ni social questions siyo masuala ya kiusalama kaka. Subiri ripoti itolewe. Kuna wachunguzi wa kiusalama ndani na nje ya nchi wanaendelea na kazi yao.

Hivi kwanini hamtaki kumuongelea Captain Tesha na wenzake?
 
Hayo ni social questions siyo masuala ya kiusalama kaka.
Mtu akiiba nyaraka za siri kupitia mtandao utasema ni mambo ya social? Acha hizo brother.
Subiri ripoti itolewe. Kuna wachunguzi wa kiusalama ndani na nje ya nchi wanaendelea na kazi yao.
Hii bado haijakaa sawa, justification ipi ilitumika kuua raia ambao hawakuwa wakiandamana?

Kuna video mama mmoja alikuwa na watoto wachanga anaangalia TV, akavunjiwa mlango na wakammiminia risasi? Unaielezeaje hiyo?

Sasa, kama waliokuwa wakipiga risasi ni wauaji waliotoka nje, ilikuwaje serikali iache wageni waingie na kufanya mauaji kwa siku kadhaa bila ya response yoyote? Tuna nchi hapo?
Hivi kwanini hamtaki kumuongelea Captain Tesha na wenzake?
Ukifuatilia comments za nyuma hapa utaona Capten Tesha aliuliziwa. Wewe una update zozote?
 
Mtu akiiba nyaraka za siri kupitia mtandao utasema ni mambo ya social? Acha hizo brother.
Kaka sijaelewa hili suala limekujaje hapa. Uliuliza kwanini mtandao ulizimwa. Nikakuambia issue ya mtandao kuzimwa ni social question linajibiwa kijamii. But hapa tunaongelea issue ya kiusalama watu kuuliwa hilo ndilo suala la msingi. Nimekuuliza kwanini wewe hutaki kuongelea Tishio la Captain Tesha?

Hii bado haijakaa sawa, justification ipi ilitumika kuua raia ambao hawakuwa wakiandamana?

Kuna video mama mmoja alikuwa na watoto wachanga anaangalia TV, akavunjiwa mlango na wakammiminia risasi? Unaielezeaje hiyo?

Sasa, kama waliokuwa wakipiga risasi ni wauaji waliotoka nje, ilikuwaje serikali iache wageni waingie na kufanya mauaji kwa siku kadhaa bila ya response yoyote? Tuna nchi hapo?

Sasa kaka unataka vyombo vya kiusalama vianze kuchat kwenye social media kueleza kipi kilitokea kabla ya uchunguzi?

Nani amekuambia walikuwa wanapiga risasi wametoka nje? Kaka naomba usinilishe maneno, mimi nimekuomba kuwa ripoti bado haijatoka ikitoka tutajua mbivu na mbichi.

Ukifuatilia comments za nyuma hapa utaona Capten Tesha aliuliziwa. Wewe una update zozote?
Updates zipi kaka zitoke kwangu? Capten Tesha alikuwa ni mkufunzi wa Jeshi la anga ndicho ninachokijua mimi. Masuala ya kwamba yupo wapi na anafanya nini bado sijui. Captain anaweza akaongoza wanajeshi zaidi ya 150. Na watu 150 wanaweza kuingia kwenye mji na kufanya matukio ya kutisha.

So suala la kuhusu Tesha nimeliacha kwako ili uweze kuwaza zaidi.
 
Kaka sijaelewa hili suala limekujaje hapa. Uliuliza kwanini mtandao ulizimwa. Nikakuambia issue ya mtandao kuzimwa ni social question linajibiwa kijamii. But hapa tunaongelea issue ya kiusalama watu kuuliwa hilo ndilo suala la msingi. Nimekuuliza kwanini wewe hutaki kuongelea Tishio la Captain Tesha?



Sasa kaka unataka vyombo vya kiusalama vianze kuchat kwenye social media kueleza kipi kilitokea kabla ya uchunguzi?

Nani amekuambia walikuwa wanapiga risasi wametoka nje? Kaka naomba usinilishe maneno, mimi nimekuomba kuwa ripoti bado haijatoka ikitoka tutajua mbivu na mbichi.


Updates zipi kaka zitoke kwangu? Capten Tesha alikuwa ni mkufunzi wa Jeshi la anga ndicho ninachokijua mimi. Masuala ya kwamba yupo wapi na anafanya nini bado sijui. Captain anaweza akaongoza wanajeshi zaidi ya 150. Na watu 150 wanaweza kuingia kwenye mji na kufanya matukio ya kutisha.

So suala la kuhusu Tesha nimeliacha kwako ili uweze kuwaza zaidi.
Hivi ukiacha hizi za Magufuli, Samia ameanzisha megaprojects ngapi tangu ameingia madarakani. Maana nina muda sijasikia miradi mipya mikubwa, natamani kujua
 
According to this guy, Kenyans are celebrating Tanzania's violence.🤦🏾‍♂️🤦🏾‍♂️


View: https://youtu.be/B6qbKcerrdo?si=9Gn0DuzZ__cAQV00

Kuna watu sijui wana matatizo gani these days, like fyuzi zinafyatuka even if wana all datas.

Yes I was biased na wakenya, but binafsi naweza ona mlivyotusaidia even me nilikua nafatilia maandamano via vyombo vyenu. Why I trusted ni kuwa kuna clips zilikua shared na nyie eneo naishi kabisa same situation.

Hao wengine hawana haya damn.
 
The revolution planned by Mr. PAKA, with the support of four European countries during the elections in Tanzania using Kenyan media outlets and activists to tarnish Tanzania’s image failed

Either Kenyans are being used knowingly or unknowingly. The Kenyan media is being used to spread a plan planned for many years by Mr. PAKA. This guy tried to influence Uhuru and they formed COW with Museven, Tanzanian Intelligence explained the whole plan to Uhuru Kenyatta, COW died. This guy formed the M24 group to extract wealth from the DRC while Belgium and Germany helped him for the benefit of those countries.

Many Kenyans are blind, they are on the internet to create content to defame Tanzania while dancing to a dance they don’t know.

The Russian Intelligence Service told Tanzania (TISS) about the plan that the guy had planned for this year’s elections. Tanzania arrested Tundu Lissu and charged him with treason in order to expose the perpetrators of the plan.

The European Parliament passed a resolution so that Tanzania could release Tundu Lisu. The world saw who initiated the motion. Most of the MPs were from Germany.

Many Kenyans bark like dogs on social media. But Intelligence does not work in that way.

Germany is very hurt by the defeat in the second world war. The UK is on the side of Tanzania and they know all the tricks. The USA will not be able to interfere in anything that happened in Tanzania because they know those Germans and this guy from the landlocked. The USA forced them to sign a peace agreement with the DRC after being cornered by Tanzanian forces in Eastern Congo.

Your choice, Kenyans, is clear: either agree to side with Tanzania or cooperate with those who continue colonialism.
Look at this idiot damn.

Kwa hiyo Kagame ndio alipanga muanze kupitisha wagombea vilaza kina Baba levo ambao wanaonesha chama hakina jema kabisa?
 
Kaka sijaelewa hili suala limekujaje hapa. Uliuliza kwanini mtandao ulizimwa. Nikakuambia issue ya mtandao kuzimwa ni social question linajibiwa kijamii. But hapa tunaongelea issue ya kiusalama watu kuuliwa hilo ndilo suala la msingi.
Nimesema hivyo kwasababu mtandao unahusika sana katika mambo ya usalama zaidi ya social, kama mntandao unazimwa halafu kunatokea mauaji ya kutisha, wananchi inabidi wajue sababu hasa ya kuzima ilikuwa ni ipi?
Nimekuuliza kwanini wewe hutaki kuongelea Tishio la Captain Tesha?
Nitaongeleaje kitu nisichokijuwa, huyo capteni nilimuona kwenye mitandao. Kwa kuwa wewe unamuulizia sana, labda unafahamu zaidi, tuambie basi yeye ni nani?
Sasa kaka unataka vyombo vya kiusalama vianze kuchat kwenye social media kueleza kipi kilitokea kabla ya uchunguzi?
Haina haja ya kuongelea mambo ya usalama ila swali langu ni kutaka kujua uhalali wa kuua watu majumbani mwao hovyo, hao wamama na watoto, wanatishia usalama wa nani?
Nani amekuambia walikuwa wanapiga risasi wametoka nje? Kaka naomba usinilishe maneno, mimi nimekuomba kuwa ripoti bado haijatoka ikitoka tutajua mbivu na mbichi.
Kuna video, watu wako nyumbani, mwingine yuko workshop ya useremala anapigwa shaba, what was that?
Updates zipi kaka zitoke kwangu? Capten Tesha alikuwa ni mkufunzi wa Jeshi la anga ndicho ninachokijua mimi. Masuala ya kwamba yupo wapi na anafanya nini bado sijui. Captain anaweza akaongoza wanajeshi zaidi ya 150. Na watu 150 wanaweza kuingia kwenye mji na kufanya matukio ya kutisha.

So suala la kuhusu Tesha nimeliacha kwako ili uweze kuwaza zaidi.
Suala la tesha ni wewe ndiyo ulilileta, nikasema tuu kuna watu walimuulizia hapa majuzi ila nijibu, mimi sifahamu.

Maswali yangu ya uhalali wa kuua mpaka watoto wadogo bado nangojea majibu. Mara ya mwisho kusikia haya kutokea Afrika mashariki, ilikuwa Rwanda (1994), wao tunajua sababu, sisi je?
 
Nimesema hivyo kwasababu mtandao unahusika sana katika mambo ya usalama zaidi ya social, kama mntandao unazimwa halafu kunatokea mauaji ya kutisha, wananchi inabidi wajue sababu hasa ya kuzima ilikuwa ni ipi?

Nitaongeleaje kitu nisichokijuwa, huyo capteni nilimuona kwenye mitandao. Kwa kuwa wewe unamuulizia sana, labda unafahamu zaidi, tuambie basi yeye ni nani?

Haina haja ya kuongelea mambo ya usalama ila swali langu ni kutaka kujua uhalali wa kuua watu majumbani mwao hovyo, hao wamama na watoto, wanatishia usalama wa nani?

Kuna video, watu wako nyumbani, mwingine yuko workshop ya useremala anapigwa shaba, waht is that?

Suala la tesha ni wewe ndiyo ulilileta, nikasema tuu kuna watu walimuulizia nikasema mimi sijui.

Maswali yangu ya uhalali wa kuua mpaka watoto wadogo bado nangojea majibu.
I think Bro leave the idiots alone, imagine linaingia hapa day one bila masikitiko bali denial, delusional na liko simplified as if kilichotokea nchini hapa ni kitu cha kawaida, it's madness kufikiri hivyo.

Imagine jitu linaongea eti vyombo vya usalama while mpaka sasa wananchi hatuna imani navyo. Mijitu imekazana ni Raia wa nje statement ambayo inazidi fanya vyombo vya usalama vya ovyo.

Hilo jinga ni vacuous popinjay.

Jitu zima linalia kwikwikwi
 
Back
Top Bottom