Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Brother usitake tufanane mawazo. Wewe umechagua kukaa upande wa Mange ninaheshimu mawazo yako. So usinilazimishe na mimi niwaze kama nyie. I have freedom ya kutafuta na kuchagua namna iliyobora. Hayo ndiyo yanayo wa cost kwa kujifanya nyie ndio mnaoshikilia mawazo ya watu.

Uwe na mawazo yako na mimi na mawazo yangu. Usinichagulie cha kuwaza. Usidhani unapotukana sisi hatujui kutukana. Tumechagua kukaa kimya kwa usalama wa nchi.

Nilishangaa sana Kaka yake Polepole anamtishia CDF eti alishamtumia ujumbe lakini hakuutekeleza, Eti yeye ni kanali Kwikwikwikwikwi Vichekesho kabisa yaani Kanali anamtishia General!!? Eti anatishia kuwa anakuja Tanzania kutoka NATO. Hivi ni vichekesho vya mwaka.

Maagizo ya jeshi ni Top Down. Kanali hawezi kukaa kwenye kikao cha ma Generals.

Kikao cha Ma General kinakaliwa na wao watu wa chini wanapokea maelekezo si vinginevyo.
Vacuous Popinjay
 
Huna uwezo wa kujadili na mimi mdogo wangu. Hizi hasira unazoziona za watanzania zisikukumbaze. Tutakuwa wamoja na tutaendelea vizuri. Watanzania wameelewa hiyo comment yangu, wewe low level huwezi decode vitu hivyo.
Mwisho wenu umefika, murderers! Chama cha Wahuni, nyambaff!
 
Mwisho wenu umefika, murderers! Chama cha Wahuni, nyambaff!
KwikwikwikwiKwikwi unatamani iwe hivyo. Hayo matamanio utaendelea kutamani hadi unakufa. CCM ndio inazidi kuimarika. Kwa sasa tunakuja upyaaaa.

Kinachowasumbua ni wivu na upumbavu. Tayari Chama cha Ruto wameanza kuwa watoto wa CCM


Largest political parties in The World​

RankPartyCountryMembers
1Bharatiya Janata Party (BJP)India202 million (2024)
2Chinese Communist Party (CCP)China100.27 million (2024)
3Indian National Congress (INC)India55 million (2023)
4Democratic Party (United States)United States45,137,430 (2024)
5Republican Party (United States)United States36,073,810 (2024)
6All India Anna Dravida Munnetra Kazhagam (AIADMK)India20,044,400 (2023)
7Pakistan Tehreek‑e‑Insaf (PTI)Pakistan20 million (2024)
8Dravida Munnetra Kazhagam (DMK)India20 million (2023)
9Chama Cha Mapinduzi (CCM)Tanzania14million (2025)
10Justice and Development Party (Turkey) (AKP)Turkey11,135,306 (2024)
 
I think Bro leave the idiots alone, imagine linaingia hapa day one bila masikitiko bali denial, delusional na liko simplified as if kilichotokea nchini hapa ni kitu cha kawaida, it's madness kufikiri hivyo.

Imagine jitu linaongea eti vyombo vya usalama while mpaka sasa wananchi hatuna imani navyo. Mijitu imekazana ni Raia wa nje statement ambayo inazidi fanya vyombo vya usalama vya ovyo.

Hilo jinga ni vacuous popinjay.

Jitu zima linalia kwikwikwi
Piga block tu hilo
 
Tanzania Oyee KAZI NA UTU, TUNASONGA MBELE.

1762443409634.png


1762443435375.png


1762443448893.png


1762443460686.png
 
Yani kuhusu Samia hata bila kufanya mauaji, mi bado naona utendaji kazi wa serikali yake ni mdogo sana. Naona nchi yetu inaendelea taratibu mno ndo maana namuuliza huyu Venus Star anitajie mega projects mpya za Samia maana sidhani kama zipo, sijawahi hata kusikia. Ila sijui ngoja tuone hii miaka 5 kama kuna kitu kikubwa atafanya 🙂
 
Yani kuhusu Samia hata bila kufanya mauaji, mi bado naona utendaji kazi wa serikali yake ni mdogo sana. Naona nchi yetu inaendelea taratibu mno ndo maana namuuliza huyu Venus Star anitajie mega projects mpya za Samia maana sidhani kama zipo, sijawahi hata kusikia. Ila sijui ngoja tuone hii miaka 5 kama kuna kitu kikubwa atafanya 🙂
Kaka mnyonge mnyongeni haki yake mpatie. Uungwana ni kitu cha bure.

1. Hivi BRT Phase II, Phase III and Phase iV
2. Ujenzi wa SGR From Makutopora - Tabora
3. Ujenzi wa SGR from Tabora - Kigoma
4. Ujenzi wa SGR toka Uvinza - Musongati Burundi
5. Kuimarisha Bank ya Kilimo (TADB) - Ugomvi uliopo kwa sasa ni CRDB na TADB maana miradi ya kilimo kwa sasa inashughulikiwa na TADB hao CRDB walikuwa wanachukua pesa na hazifiki kwa wakulima.

Nakuwekea watu waliowezeshwa na TADB tangu Samia aingie madarakani

1762444436219.png


1762444457983.png
1762444497969.png


Naendelea kuhusu TADB....
 
Yani kuhusu Samia hata bila kufanya mauaji, mi bado naona utendaji kazi wa serikali yake ni mdogo sana. Naona nchi yetu inaendelea taratibu mno ndo maana namuuliza huyu Venus Star anitajie mega projects mpya za Samia maana sidhani kama zipo, sijawahi hata kusikia. Ila sijui ngoja tuone hii miaka 5 kama kuna kitu kikubwa atafanya 🙂
Naendelea kuhusu TADB - Wakati vijana wengi wanashinda kwenye mitandao kusikiliza ubuyu wa Mange. Watu wapo kazini. Huu wivu na maendeleo yanawafanya watu waumie, Wanatamani wao ndio wafanye haya

1762444584884.png


1762444612482.png



1762444696191.png


1762444732296.png


1762444769769.png
 
Back
Top Bottom