Kaka mnyonge mnyongeni haki yake mpatie. Uungwana ni kitu cha bure.
1. Hivi BRT Phase II, Phase III and Phase iV
2. Ujenzi wa SGR From Makutopora - Tabora
3. Ujenzi wa SGR from Tabora - Kigoma
4. Ujenzi wa SGR toka Uvinza - Musongati Burundi
5. Kuimarisha Bank ya Kilimo (TADB) - Ugomvi uliopo kwa sasa ni CRDB na TADB maana miradi ya kilimo kwa sasa inashughulikiwa na TADB hao CRDB walikuwa wanachukua pesa na hazifiki kwa wakulima.
Nakuwekea watu waliowezeshwa na TADB tangu Samia aingie madarakani
View attachment 3498251
View attachment 3498252View attachment 3498253
Naendelea kuhusu TADB....