Chamoto
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 9,856
- 22,191
Mimi sijui majina ya wauaji, ila serikali ilitakiwa kulinda raia wake, watu wapo mtaani kwao, wanapigwa njugu, we unaona sawa?Sasa nimekuuliza aliyewaua ni nani? Mbona hujibu?
Mimi sijui majina ya wauaji, ila serikali ilitakiwa kulinda raia wake, watu wapo mtaani kwao, wanapigwa njugu, we unaona sawa?Sasa nimekuuliza aliyewaua ni nani? Mbona hujibu?
Vacuous PopinjayBrother usitake tufanane mawazo. Wewe umechagua kukaa upande wa Mange ninaheshimu mawazo yako. So usinilazimishe na mimi niwaze kama nyie. I have freedom ya kutafuta na kuchagua namna iliyobora. Hayo ndiyo yanayo wa cost kwa kujifanya nyie ndio mnaoshikilia mawazo ya watu.
Uwe na mawazo yako na mimi na mawazo yangu. Usinichagulie cha kuwaza. Usidhani unapotukana sisi hatujui kutukana. Tumechagua kukaa kimya kwa usalama wa nchi.
Nilishangaa sana Kaka yake Polepole anamtishia CDF eti alishamtumia ujumbe lakini hakuutekeleza, Eti yeye ni kanali Kwikwikwikwikwi Vichekesho kabisa yaani Kanali anamtishia General!!? Eti anatishia kuwa anakuja Tanzania kutoka NATO. Hivi ni vichekesho vya mwaka.
Maagizo ya jeshi ni Top Down. Kanali hawezi kukaa kwenye kikao cha ma Generals.
Kikao cha Ma General kinakaliwa na wao watu wa chini wanapokea maelekezo si vinginevyo.
Sasa kumbe shida ni Serikali kushindwa kuwalinda?Mimi sijui majina ya wauaji, ila serikali ilitakiwa kulinda raia wake, watu wapo mtaani kwao, wanapigwa njugu, we unaona sawa?
Mwisho wenu umefika, murderers! Chama cha Wahuni, nyambaff!Huna uwezo wa kujadili na mimi mdogo wangu. Hizi hasira unazoziona za watanzania zisikukumbaze. Tutakuwa wamoja na tutaendelea vizuri. Watanzania wameelewa hiyo comment yangu, wewe low level huwezi decode vitu hivyo.
Kwikwikwikwikwi na wewe Vacuous PopinjayVacuous Popinjay
Sasa serikali ina kazi gani kama hailindi raia wake?Sasa kumbe shida ni Serikali kushindwa kuwalinda?
KwikwikwikwiKwikwi unatamani iwe hivyo. Hayo matamanio utaendelea kutamani hadi unakufa. CCM ndio inazidi kuimarika. Kwa sasa tunakuja upyaaaa.Mwisho wenu umefika, murderers! Chama cha Wahuni, nyambaff!
| Rank | Party | Country | Members |
|---|---|---|---|
| 1 | Bharatiya Janata Party (BJP) | India | 202 million (2024) |
| 2 | Chinese Communist Party (CCP) | China | 100.27 million (2024) |
| 3 | Indian National Congress (INC) | India | 55 million (2023) |
| 4 | Democratic Party (United States) | United States | 45,137,430 (2024) |
| 5 | Republican Party (United States) | United States | 36,073,810 (2024) |
| 6 | All India Anna Dravida Munnetra Kazhagam (AIADMK) | India | 20,044,400 (2023) |
| 7 | Pakistan Tehreek‑e‑Insaf (PTI) | Pakistan | 20 million (2024) |
| 8 | Dravida Munnetra Kazhagam (DMK) | India | 20 million (2023) |
| 9 | Chama Cha Mapinduzi (CCM) | Tanzania | 14million (2025) |
| 10 | Justice and Development Party (Turkey) (AKP) | Turkey | 11,135,306 (2024) |
Hapo kumbe unatambua umuhimu wa Serikali!!!? Sasa kama unatambua umuhimu wa serikali kwanini unakaidi maagizo?Sasa serikali ina kazi gani kama hailindi raia wake?
UDA wataendelea kujifunza CCM. CCM ndiye mwalimu wa vyama vya siasa Afrika.Mwisho wenu umefika, murderers! Chama cha Wahuni, nyambaff!
Piga block tu hiloI think Bro leave the idiots alone, imagine linaingia hapa day one bila masikitiko bali denial, delusional na liko simplified as if kilichotokea nchini hapa ni kitu cha kawaida, it's madness kufikiri hivyo.
Imagine jitu linaongea eti vyombo vya usalama while mpaka sasa wananchi hatuna imani navyo. Mijitu imekazana ni Raia wa nje statement ambayo inazidi fanya vyombo vya usalama vya ovyo.
Hilo jinga ni vacuous popinjay.
Jitu zima linalia kwikwikwi
Admin ban hiii takataka permanent.Hapo kumbe unatambua umuhimu wa Serikali!!!? Sasa kama unatambua umuhimu wa serikali kwanini unakaidi maagizo?
Sijui Venus Star ni nini kilimsibu, inawezekana alifinywa mahali, maana hakuwa hivi zamani.Uchawa kwenye kila kitu.
Naona kajipa KPI ngumu sana.
Who cares KwikwikwikwikwiPiga block tu hilo
Brother hunijui.Sijui Venus Star ni nini kilimsibu, inawezekana alifinywa mahali, maana hakuwa hivi zamani.
Tumchukulie taratibu, maana hatuji hali inayomfanya awe hivi. Hata Geza Ulole amekuwa kimya, maama anajua, hili halitetewi.
Hii siyo KenyaToko. Hii ni Jamii forums. Soma Rules za JF, JF haiongozwi kwa mihemko na hisia kali kama zako. JF inaongozwa kwa hoja. Nilishapita kwenye kiwango cha bulying.Admin ban hiii takataka permanent.
Kaka mnyonge mnyongeni haki yake mpatie. Uungwana ni kitu cha bure.Yani kuhusu Samia hata bila kufanya mauaji, mi bado naona utendaji kazi wa serikali yake ni mdogo sana. Naona nchi yetu inaendelea taratibu mno ndo maana namuuliza huyu Venus Star anitajie mega projects mpya za Samia maana sidhani kama zipo, sijawahi hata kusikia. Ila sijui ngoja tuone hii miaka 5 kama kuna kitu kikubwa atafanya 🙂
Naendelea kuhusu TADB - Wakati vijana wengi wanashinda kwenye mitandao kusikiliza ubuyu wa Mange. Watu wapo kazini. Huu wivu na maendeleo yanawafanya watu waumie, Wanatamani wao ndio wafanye hayaYani kuhusu Samia hata bila kufanya mauaji, mi bado naona utendaji kazi wa serikali yake ni mdogo sana. Naona nchi yetu inaendelea taratibu mno ndo maana namuuliza huyu Venus Star anitajie mega projects mpya za Samia maana sidhani kama zipo, sijawahi hata kusikia. Ila sijui ngoja tuone hii miaka 5 kama kuna kitu kikubwa atafanya 🙂