Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Uzuri hiyo gari moshi letu halijawaianguka kama yenu😂😂
Basi usifanye comparison ya vitu tofauti ambavyo havifanania maana hata ile yetu ya tazara haijawahi anguka toka miaka ya 60 sasa nyie mnaongolea reli baada ya juzi tu mchina kuja kuwajengea?
 
but have you ever thought of life after afcon?
If you care that much to know, Rugby will keep that stadium alive !.current top Rugby stadium (RFUEA grounds) is not big enough to accommodate the fan base . Kenya will have a chance to host many events including major concerts. It will be everybody’s dream to be there .
 
sijui hiyo GDP inawanufaisha nini wakati hawezu kufinance hata barabara za mitaa kazi yao ni kumpa mchina akusanye tolls huku wakiwa wamejificha kwenye kivuli cha ubepari huku anaefinance na collect pesa ni macommunist
Kama serikali inawasaidia kwa wananchi wao kuwaamini na kuwa vilaza,nchi ambayo mtu anaishi kwa 1$ kwa siku lakini mtu huyo huyo anaamini nchi yake ni tajiri
 
BTW, Since uchakuguzi wa Vumbistan ukaribia wamekuwa quiet sana humu. Huwa wanasema uchaguzi wetu una tension ila huu wao umezidi. Ni kama wamerealize hizo chocha zao ni hot air na wako disappointed sana na jinsi nchi inavyoenda. Naona kama hawajiamini kivile. Wanaopost humu ni newbies watupu. Wale magwiji wamepotea. What's happening Geza Ulole instanbul Chamoto et al?
 
BTW, Since uchakuguzi wa Vumbistan ukaribia wamekuwa quiet sana humu. Huwa wanasema uchaguzi wetu una tension ila huu wao umezidi. Ni kama wamerealize hizo chocha zao ni hot air na wako disappointed sana na jinsi nchi inavyoenda. Naona kama hawajiamini kivile. Wanaopost humu ni newbies watupu. Wale magwiji wamepotea. What's happening Geza Ulole instanbul Chamoto et al?
Hata Watchman na Yule baboonman wamenyamaza of late. Ama baboon alikuwa kidnapped?😂😂

Huwa wanasema wakenya watachinjana time ya uchaguzi, ni hao ndio wanachinjana this time round.
 
I told these people that chances zao kutoka lower middle income country to lower income were very high wakanipinga. Ndio hii sasa World Bank imewarudisha huko😂😂

1761379908294.png
 
BTW, Since uchakuguzi wa Vumbistan ukaribia wamekuwa quiet sana humu. Huwa wanasema uchaguzi wetu una tension ila huu wao umezidi. Ni kama wamerealize hizo chocha zao ni hot air na wako disappointed sana na jinsi nchi inavyoenda. Naona kama hawajiamini kivile. Wanaopost humu ni newbies watupu. Wale magwiji wamepotea. What's happening Geza Ulole instanbul Chamoto et al?
Uchaguzi wenu huwa investor na wageni wanahepa kwanza na kurudi uchaguzi ukiisha.
Huku Tanzania sijasikia wala kuona investors wala wageni kuhepa.
Naona watalii wapo kila kona wakifurahia.
1761380192614.jpeg
 
Back
Top Bottom