Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe acha ufala... Treni ile ni EMU...ni express...haisimami vituo vya njiani....pale Ruvu haikuwa inasimama ile ni hitilafu labda upande wa signalling....sio ubovu wa Gari... Ni ishu ya njia na miundombinu yake.

Treni ni full automatic, pale ni kwenye points... So ni kawaida ajali nyingi za treni za Umeme huwa zinatokea vituoni... Kwa sababu hapo ndio umakini unatakiwa uwepo kwa kiwango Cha juu. Ripoti ikitoka wazi for public tunaweza Pata habari labda ni ishu ya negligence in safety protocols on points...

Sasa nyie kenge wa North haya mambo ya electric trains hamuwezi kuelewa... Bakini mkipiga kelele tu za chuki na wivuu.... Kudos kwa CXR ... safari zimerejea just in few hours...
Hii unafaa ujibu mwenzako mwenye ameshinda akituambia train ilianguka ju ya speed.
 
But it's true, hata huku Tanzania tunazo train za diesel za speed ndogo ila hazipati ajali mara kwa mara
Kwa hivyo hio yenu electric hua inapata ajali mara kwa mara ju ya speed. Naona bado munaendelea kujustify hio ajali by all means, hadi mumewacha kufikiria and allowed stupidity to prevail. 🤣🤣🤣
 
What's the need of conducting elections in Tanzania ?😂😂

1000095449.jpg
 
👏👏updates on the Mombasa-kwajomvu-Mariakani duel carriageway, a total of 40+kms starting from Makupa mpaka Mariakani weigh bridge mwisho ...utaskia mkinjekitile akilia na kulalamika kwa uchungu "kenya maendeleo ipo nairobi tu" nyef, nyef,nyef😂😂😂😂😂🙌
Screenshot_20251024_124519_YouTube.jpg
Screenshot_20251024_123329_YouTube.jpg
Screenshot_20251024_123516_YouTube.jpg
Screenshot_20251024_123401_YouTube.jpg
Screenshot_20251024_123232_YouTube.jpg
 
Hakuna raha kama kuishi Dar es Salaam: hakuna!
 
Back
Top Bottom