Honestly I love my country Tanzania so much, but huu utawala wa sasa binafsi siupendi. Mbaya zaidi mamilioni ya Watanzania wanasupport huu utawala, so nimeamua tu kukaa kimya nifanye mambo yangu nisubiri tu 2030 aje Rais mwingine
Nakumbuka Kenya mmeprotest sana against government na watu wengi wamekufa, mlivamia bunge, mkaharibu mali nyingi, lakini mwisho wa siku Rais amebaki yuleyule tu.
Museven naye anaongoza Uganda miaka na miaka hataki kuachia ngazi
Ni kama kwenye siasa East Africa imelaaniwa hivi
View attachment 3492762