Wakue tu na Supreme leader chosen by CCM kama North Korea.
kwahiyo train ilisukumwa na kitu gani ikatoka kwenye reli? niambie wewe msomi 😁Sasa ni centrifugal force ndio iliangusha train. 🤣🤣 Nilikuambia wewe ni pumbavu urudi shule hutaki kuskia. 🤣🤣🤣
Reli yenu ndio dhaifu. We told you our Chinese first class rail was better than your AREMA mkipinga hapa like your lives depend on it.kwahiyo train ilisukumwa na kitu gani ikatoka kwenye reli? niambie wewe msomi 😁
Sasa wapi Raha hapo? Ama kwa Sababu umebebwa na pikpiki?Hakuna raha kama kuishi Dar es Salaam: hakuna!
View attachment 3493013
Dar ni jiji zuri sana. Lina kila kitu, ndio raha ya kuishi Dar hiyo. Jiji tamu sana hili 🔥🔥Sawa wapi Raha hapo? Ama kwa Sababu umebebwa na pikpiki?
Ni Nani Yule Alisema iko na track ?.. must have been high on crack ..😁😁Kuna mwenye akisema hautafanana na render😂
Hii unafaa ujibu mwenzako mwenye ameshinda akituambia train ilianguka ju ya speed.
Yeah sure, and gravity prevented it from flying into space after the accident caused by centrifugal force. 🤣🤣🤣kwahiyo train ilisukumwa na kitu gani ikatoka kwenye reli? niambie wewe msomi 😁
Wapi hakuna kila kitu?Dar ni jiji zuri sana. Lina kila kitu, ndio raha ya kuishi Dar hiyo. Jiji tamu sana hili 🔥🔥