much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 14,065
- 21,548
Hizo ni ndege za vita ya kwanza ya dunia USA ameamua kuzidump kemyaKAF F-5s still got an upper hand over anything Bongo has . You better believe that..
Hizo ni ndege za vita ya kwanza ya dunia USA ameamua kuzidump kemyaKAF F-5s still got an upper hand over anything Bongo has . You better believe that..
Kwa hivyo huko bongoslum hamkufi na umaskini? Kama huwezi changia hoja kama mtu amesoma ni heri unyamaze.Lakini kwa ground kunyani dwellers wataendelea kufa kwa njaa na umasikini na wengine kuuzwa gulf na madalali wa watumwa wanaowaita maagent
Kenyan hakuna SGR kuna gari moshi ambalo wachina waliwambia wamewaletea Chinese first class railway8 yrs of operation of Kenyan SGR yet haijawaianguka, Tanzanian SGR is failing in less than a year of operation 😂😂
View attachment 3492238
😂😂😂😂😂😂😂Kwa hivyo huko bongoslum hamkufi na umaskini? Kama huwezi changia hoja kama mtu amesoma ni heri unyamaze.
Uzuri hiyo gari moshi letu halijawaianguka kama yenu😂😂Kenyan hakuna SGR kuna gari moshi ambalo wachina waliwambia wamewaletea Chinese first class railway
Leta ushahidi ila ushahidi wa kenya ikiomba na kupokea misaada ya hada na nchi zilizopo jagwani nafikiri itakuwa nchi ya kwanza kuwa upper middle income huku mamilion ya wananchi wakiwa hawezi afford chakula na wengine wakiwa wamekata tamaaKwa hivyo huko bongoslum hamkufi na umaskini? Kama huwezi changia hoja kama mtu amesoma ni heri unyamaze.
Unafurahia ajali?Mbona wachawi hawatuambii What's going on huko vumbistan?😂😂😂
Naona nyoka ameamua kutafuta shortcut.
View attachment 3492226
View attachment 3492228
Ajari hata Japan zinatokea ila kuwa ubora wa treni zetu na reli hakuna madhara ya kibinadam ila ingekuwa ya mchina wa kenya tungekuwa tunaongea mengineMbona wachawi hawatuambii What's going on huko vumbistan?😂😂😂
Naona nyoka ameamua kutafuta shortcut.
View attachment 3492226
View attachment 3492228
Usifananishe high speed train na nginjanginja8 yrs of operation of Kenyan SGR yet haijawaianguka, Tanzanian SGR is failing in less than a year of operation 😂😂
View attachment 3492238
Litaanguka kwa speed ipi?Uzuri hiyo gari moshi letu halijawaianguka kama yenu😂😂
Hamkosangi excuses. 🤣 🤣 🤣Unafurahia ajali?
wewe huwezi elewa kitu hapo hizi ni high speed trains glitch ndogo tuu hutoka nje ya reli sio kama nginjanginja na speed ya konokono.
Leta hio statistics au upunguze kuropokwa.Usifananishe high speed train na nginjanginja
View attachment 3492277
View attachment 3492278
ajali nyingi za treni za abiria duniani ni treni mchongoko high speed trains sio yale ya kuvutwa na Loco
That train ilianguka in a place that is not for a speed of even 20km/hr and that's why there is a minimal damage with no casualty.Unafurahia ajali?
wewe huwezi elewa kitu hapo hizi ni high speed trains glitch ndogo tuu hutoka nje ya reli sio kama nginjanginja na speed ya konokono.
Mbona ya Kenya haijaianguka even after 8 yrs of operation?😂😂😂Ajari hata Japan zinatokea ila kuwa ubora wa treni zetu na reli hakuna madhara ya kibinadam ila ingekuwa ya mchina wa kenya tungekuwa tunaongea mengine
Yours got an accident at a speed of 20km/h😂😂😂Usifananishe high speed train na nginjanginja
View attachment 3492277
View attachment 3492278
ajali nyingi za treni za abiria duniani ni treni mchongoko high speed trains sio yale ya kuvutwa na Loco
Usifananishe high speed train na nginjanginja
View attachment 3492277
View attachment 3492278
ajali nyingi za treni za abiria duniani ni treni mchongoko high speed trains sio yale ya kuvutwa na Loco