instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,544
- 19,491
Tukiachana na picha za huyo mama.
Hebu tazama quality of landscaping ya hiyo Barabara
Tukiachana na picha za huyo mama.
Nina uhakika picha kama hii or even better in Nairobi utasema ni uchafu. Alafu that's not landscaping, that's hardscaping. Get the difference.Tukiachana na picha za huyo mama.
Hebu tazama quality of landscaping ya hiyo Barabara
Nani kasema sisi ni matajiri? Sisi masikini ila umasikini wenu ni ya hali ya juuSo maku nyie ni matajiri sio
That's not landscaping kijana wa TandaleTukiachana na picha za huyo mama.
Hebu tazama quality of landscaping ya hiyo Barabara
Hii ni cinema 😂😂So Mama ensured the major opposition parties ( Chadema and ACT Wazalendo ) have no candidates but let the irrelevant small parties pass through to validate “democracy “… wow , what a chess move !.. Bongo Democracy in action . Wacha Mama atawale !..
Sasa watu wawili wanaoumwa na hedhi watafanya experiment gani? Sema nikupe kakangu"Nipee" dada yako tufanye ka "experiment" tuone kama atapata hedhi next month au laa.
I can guarantee you, I never miss that penalty kick, hata pale wengine walipodhani haiwezekani, niliweza ku score.
Leta dada yako nimzalishe,muondoe laana ya familia yenu kuwa vilaza.Sasa watu wawili wanaoumwa na hedhi watafanya experiment gani? Sema nikupe kakangu
Anayepokea hedhi hawezizalisha mtu. Know your biologyLeta dada yako nimzalishe,muondoe laana ya familia yenu kuwa vilaza.
But it's true, hata huku Tanzania tunazo train za diesel za speed ndogo ila hazipati ajali mara kwa maraLeta hio statistics au upunguze kuropokwa.
Sasa mbona unanyimia dada yako?Anayepokea hedhi hawezizalisha mtu. Know your biology
Honestly I love my country Tanzania so much, but huu utawala wa sasa binafsi siupendi. Mbaya zaidi mamilioni ya Watanzania wanasupport huu utawala, so nimeamua tu kukaa kimya nifanye mambo yangu nisubiri tu 2030 aje Rais mwingineSo Mama ensured the major opposition parties ( Chadema and ACT Wazalendo ) have no candidates but let the irrelevant small parties pass through to validate “democracy “… wow , what a chess move !.. Bongo Democracy in action . Wacha Mama atawale !..
Nani kasema sisi ni matajiri? Sisi masikini ila umasikini wenu ni ya hali ya juu
😆😆😆View attachment 3492757
Na utajiri wenu wote still mkaja kutuomba sisi maskini dawa ya tb,huo ugali wa nyasi unawaharibu akili
Acha ujinga kama hujui vitu ficha ujinga wako uache kujiaibisha hapa. Hapa tuna deal na centrifugal force kwa wewe layman huwezi jua laws of motion.Physics gani na wewe ni primary school dropout, train inaanguka kwa station wewe unatuambia ni speed. Enyewe fala ni fala tu, hivi hujui hata train yenye inaenda kwa speed ya 40kph can derail. Rudi shule utoe ujinga.
Hawa kima hawana uzoefu na electric trains lakini wanapenda ku comment on matters involving electric trains kama vile na wao wanazo kumbe wanaleta hapa ujuzi wa gari moshi 🤣🤣🤣Wewe acha ufala... Treni ile ni EMU...ni express...haisimami vituo vya njiani....pale Ruvu haikuwa inasimama ile ni hitilafu labda upande wa signalling....sio ubovu wa Gari... Ni ishu ya njia na miundombinu yake.
Treni ni full automatic, pale ni kwenye points... So ni kawaida ajali nyingi za treni za Umeme huwa zinatokea vituoni... Kwa sababu hapo ndio umakini unatakiwa uwepo kwa kiwango Cha juu. Ripoti ikitoka wazi for public tunaweza Pata habari labda ni ishu ya negligence in safety protocols on points...
Sasa nyie kenge wa North haya mambo ya electric trains hamuwezi kuelewa... Bakini mkipiga kelele tu za chuki na wivuu.... Kudos kwa CXR ... safari zimerejea just in few hours...
Umeona ujifariji na hiyo? Drugs ambazo hamjui hata formula ya kutengeneza! How about this kijana wa Tandale?View attachment 3492757
Na utajiri wenu wote still mkaja kutuomba sisi maskini dawa ya tb,huo ugali wa nyasi unawaharibu akili
Umeona ujifariji na hiyo? Drugs ambazo hamjui hata formula ya kutengeneza! How about this kijana wa Tandale?View attachment 3492797