Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

So Mama ensured the major opposition parties ( Chadema and ACT Wazalendo ) have no candidates but let the irrelevant small parties pass through to validate “democracy “… wow , what a chess move !.. Bongo Democracy in action . Wacha Mama atawale !..
Hii ni cinema 😂😂
 
"Nipee" dada yako tufanye ka "experiment" tuone kama atapata hedhi next month au laa.

I can guarantee you, I never miss that penalty kick, hata pale wengine walipodhani haiwezekani, niliweza ku score.
Sasa watu wawili wanaoumwa na hedhi watafanya experiment gani? Sema nikupe kakangu
 
So Mama ensured the major opposition parties ( Chadema and ACT Wazalendo ) have no candidates but let the irrelevant small parties pass through to validate “democracy “… wow , what a chess move !.. Bongo Democracy in action . Wacha Mama atawale !..
Honestly I love my country Tanzania so much, but huu utawala wa sasa binafsi siupendi. Mbaya zaidi mamilioni ya Watanzania wanasupport huu utawala, so nimeamua tu kukaa kimya nifanye mambo yangu nisubiri tu 2030 aje Rais mwingine
Nakumbuka Kenya mmeprotest sana against government na watu wengi wamekufa, mlivamia bunge, mkaharibu mali nyingi, lakini mwisho wa siku Rais amebaki yuleyule tu.
Museven naye anaongoza Uganda miaka na miaka hataki kuachia ngazi
Ni kama kwenye siasa East Africa imelaaniwa hivi
20251024_094231.jpg
 
Physics gani na wewe ni primary school dropout, train inaanguka kwa station wewe unatuambia ni speed. Enyewe fala ni fala tu, hivi hujui hata train yenye inaenda kwa speed ya 40kph can derail. Rudi shule utoe ujinga.
Acha ujinga kama hujui vitu ficha ujinga wako uache kujiaibisha hapa. Hapa tuna deal na centrifugal force kwa wewe layman huwezi jua laws of motion.
 
Wewe acha ufala... Treni ile ni EMU...ni express...haisimami vituo vya njiani....pale Ruvu haikuwa inasimama ile ni hitilafu labda upande wa signalling....sio ubovu wa Gari... Ni ishu ya njia na miundombinu yake.

Treni ni full automatic, pale ni kwenye points... So ni kawaida ajali nyingi za treni za Umeme huwa zinatokea vituoni... Kwa sababu hapo ndio umakini unatakiwa uwepo kwa kiwango Cha juu. Ripoti ikitoka wazi for public tunaweza Pata habari labda ni ishu ya negligence in safety protocols on points...

Sasa nyie kenge wa North haya mambo ya electric trains hamuwezi kuelewa... Bakini mkipiga kelele tu za chuki na wivuu.... Kudos kwa CXR ... safari zimerejea just in few hours...
Hawa kima hawana uzoefu na electric trains lakini wanapenda ku comment on matters involving electric trains kama vile na wao wanazo kumbe wanaleta hapa ujuzi wa gari moshi 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom