Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Physics gani na wewe ni primary school dropout, train inaanguka kwa station wewe unatuambia ni speed. Enyewe fala ni fala tu, hivi hujui hata train yenye inaenda kwa speed ya 40kph can derail. Rudi shule utoe ujinga.

Wewe acha ufala... Treni ile ni EMU...ni express...haisimami vituo vya njiani....pale Ruvu haikuwa inasimama ile ni hitilafu labda upande wa signalling....sio ubovu wa Gari... Ni ishu ya njia na miundombinu yake.

Treni ni full automatic, pale ni kwenye points... So ni kawaida ajali nyingi za treni za Umeme huwa zinatokea vituoni... Kwa sababu hapo ndio umakini unatakiwa uwepo kwa kiwango Cha juu. Ripoti ikitoka wazi for public tunaweza Pata habari labda ni ishu ya negligence in safety protocols on points...

Sasa nyie kenge wa North haya mambo ya electric trains hamuwezi kuelewa... Bakini mkipiga kelele tu za chuki na wivuu.... Kudos kwa CXR ... safari zimerejea just in few hours...
 
Aina ya upinzani wa kisiasa tulionao Tanzania ni wa hovyo mno na muhimu kudhibitiwa.

Mradi umekuwa sabotaged mara kwa mara.
Kwamba hao wapinzani walioko jela kwa uonevu na waliokufa ndio wameleta ajali??


Muogopeni hata shetani basi, maana hakuna mtu mwenye Mungu akawa na fikra hizi.
 
Physics gani na wewe ni primary school dropout, train inaanguka kwa station wewe unatuambia ni speed. Enyewe fala ni fala tu, hivi hujui hata train yenye inaenda kwa speed ya 40kph can derail. Rudi shule utoe ujinga.
I thought that dude posted his credentials here before as an Engineer … 😁😁
 
Daily Dose

1761224623759-jpeg.10162872
Kama render mwanangu !.. coming up so well ..💯
 
Back
Top Bottom