Wanawatetea on the pretext of tribalism. Wajinga sana hawa nyangau.Ni kweli tulianza kuwa na mafisadi papa Tanzania kama kwenu, kuanzia kipindi cha rais Mkapa 1995. Ila tutawaondoa, tulijaribu kipindi cha Magufuli tukaweka sheria ya permanent sovereignty and natural resources. Hii sheria tuu ilileta $$ milionea wengi Tanzania.
Mafisadi wakamuua Magufuli, utaona angalau tunavyowakalia kooni mafisadi wetu, siyo nyinyi mnawatetea, mnajifanya kuandamana lakini hakuna impact yoyote ya maana.