Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Leo haujui mitaa yenu ya uswazi yaliyotapakaa kila mahali?
Screenshot_20250927-225148.png
Screenshot_20250927-224903.png

Naislum surrounding with slums
 
Tofautisha upimaji wa viwanja na makazi yaliyopangiliwa,bongo tuna viwanja vilivyopimwa tuu lakini makazi hayajapangiliwa nchi zilizoendelea huwezi kuhamia nyumba haijakamilika ila bongo ni kawaida nyumba hazina sewage system,nyingine hazina maji ila utakuta mtu anaishi ndani na familia yake, hapo hapo barabara hamna na vitu kibao vya msingi ila makazi yakiwa planned huduma zote za kijamii zinakuwa zishafikishwa kabla ya mtu kuhamiaa mfano mbweni ni rich neighborhood ila hakuna public pack au reliable public transport na reliable simaniishi bodaboda
Ulitaka aishi wapi?
 
Back
Top Bottom