Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.

Ninaomba tuangalie katika positive way. Tuki post kitu kutoka Dar wale wa Nairobi wanaleta post ya kujibu. Na kama hakipo kwao wanasema hakipo na wao vilevile. Kama kipo kwenye plan wanaweza kuleta au sisi tunaweza kuleta kwaajili ya kujibu.

1. Master Plan of the city
2. Current View of the city
3. Ongoing Projects
4. Future Projects proposed
5. Culture and Life style
6. Food availability
7. Entertainment and Funny Places
8. Places to visit
9. Transport system (Private and Public)
10. Markets and Shopping malls
11. Hotels
12. Education centers
13. Health centers
14. Telecommunication and Data centers
15. Information Technologies and Innovation

Ndugu Jay456watt kutoka Nairobi kama ulivyo dai sasa thread inaanza.
Welcome to the battle.
MTABISHANA HAPA ILA KUNA KITU HAMTASEMA ,DAR YETU NI CHAFU.NA HIZO PICHA ZENYE MNATUMA KWA JUU HAZIONYESHI MABANDA YALIYOJAA BARABARANI YA MACHINGA,PALE KIMARA SAHV HUELEWI HATA UINGILIE WAPI DARAJANI WAFANYABIASHARA WAMEJAA,MITAANI KUCHAFU NDO USISEME,SIJAWAHI KUFIKA NAIROBI ILA MOSHI TU NI PAZURI KULIKO DAR KABLA HATUJAAMUA KUBISHANA NA WATU WA NAIROBI
 
70% ya population ya Nairobi ni slum dwellers hata hiyo pipeline ni slum dwellers tu wapi , wenzako washakuja kutafuta hizo slum mnazosema wakachemka
Pipeline slum
images - 2025-08-06T121341.412.jpeg
images - 2025-08-05T222804.523.jpeg
images - 2025-08-05T222744.506.jpeg
images - 2025-08-05T223105.521.jpeg


Dar middle-class area
Screenshot_20250917_234119_YouTube.jpg
Keko_Ward,_Temeke_District.jpg
images - 2025-04-02T235732.269.jpeg
 
Kwamba matajiri wa Dar wanamiliki punda? Punda? 🤣🤣🤣 Not even horses? 🤣🤣🤣 Yani huko glorified fishing village owning a donkey is a sign of opulence? 😂😂😂
🤣🤣🤣😭Huyu jamaa huwa na kichwa kizuri kweli?ama ni Yale ma fumes ya jetfuel yanamuadhiri akiwa kwenye uskani pale anapochunga gate mbwa wasiingie usiku😂😂😂🙌
 
Kwamba matajiri wa Dar wanamiliki punda? Punda? 🤣🤣🤣 Not even horses? 🤣🤣🤣 Yani huko glorified fishing village owning a donkey is a sign of opulence? 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
 
Pipeline slum View attachment 3474933View attachment 3474936View attachment 3474939View attachment 3474944


Imagine kama dar ilikuwa hivyo 2011 hivi naikundu ilikuwaje haha
chrome_screenshot_Sep 18, 2025 5_12_21 PM GMT+03_00.png
chrome_screenshot_Sep 18, 2025 5_13_08 PM GMT+03_00.png

Dar middle-class areaView attachment 3474952View attachment 3474955View attachment 3474957
chrome_screenshot_Sep 18, 2025 5_12_21 PM GMT+03_00.png
chrome_screenshot_Sep 18, 2025 5_13_08 PM GMT+03_00.png
 
That's what you expect from this delusional brainless CCM zombie puppets 😂😂😂😂.
Brainless zombies but with more life standard kuliko wale ambao wanajiona wako vyema ila wanalilia kazi za kwenda kuosha vyombo 🤣🤣🤣. We expected kwamba due to the ongoing corruption mgekuwa mshamuondoa ruto ila hakuna kinachofanyika , hata bima ya afya mnashindwa kujihudumia.
No salary delays ila nyinyi daily frequent salary delays within counties.
 
hizi pic za mwaka gani ??? 😂😂😂😂
nijibu bila hasira kwasababu mm nakuletea ushahidi wa leo hii
🤭🤣🤣👏👏njooni muone mfano wa picha ya 20years ago kule Newyork city🤣🤣👏🙌
Screenshot_20250917_234119_YouTube.jpg
 
Back
Top Bottom