concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,991
- 15,437
Yaan wangekuwa wanaongea hivyo basi walau wamezipiga hata timu tatu za Tanzania , yaan wametembezewa kichapo sasa hivi kimyaa mitandaoni wamepoa kama hawapo vile.Maana FIFA wana uwezo mdogo wa kufikiri kama wewe. 😂😂😂
Latest Men’s World Ranking.
Hizi zimekuwa updated leo na FIFA.
View attachment 3474823
Tz huwa tunaadhibu kwa vitendo sio kwa maneno