Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii issued ya Azam kuelekea kupokonywa rights za kutangaza KPL umewauma sana 😂😂😂
Jana niliona moja wenu kasrma alipwe pesa aondoke😄😄
Sisi tuanataka anyanganywe furaha yetu ni kuona hapati tuone ni kampuni gani ya kikenya itaweza kuwekeza kwenye hiyo league yenu. Kama kbc tu hata mechi moja alishindwa sembuse kupewa league zima. Quality ya kbc haiwez fikia hata robo ya Azam quality.
Uzuri na fidia mtalipa haha
 
Comforting yourself again? 🤣🤣🤣🤣🤣
I like it bongolala. Individual achievements you say? How will you know most sporting events have individual participants when your country doesn't participate in any of them? How is javelin, or swimming, for instance, supposed to be a team event? Bongolala katika ubora wake! 😂😂😂

And now it's about interests? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Bongolala, stop hiding behind that word interest. Ni talent hamna. Period!

Talking of that, tell us team even one team event ambayo Tanzania has ever won an Olympic or world tittle in
Unataka tujisumbue wakati bado Kuna vitu vya kufanya na ukatengeneza pesa zaidi , hujiulizi kwanini majority ya kundustan wanakimbilia tz kuomba vibarua
 
Hawaamini tunapiga timu iliyopiga Portugal.😂😂😂
Vile naona after Chan tunaingia top 100 FIFA rankings.
Maana FIFA wana uwezo mdogo wa kufikiri kama wewe. 😂😂😂
Latest Men’s World Ranking.
Hizi zimekuwa updated leo na FIFA.
1758194519557.jpeg
 
Unataka tujisumbue wakati bado Kuna vitu vya kufanya na ukatengeneza pesa zaidi , hujiulizi kwanini majority ya kundustan wanakimbilia tz kuomba vibarua
Changing gear now? I like it when you can't handle voice of reason. As I said, continue cheering on Yanga na Simba. That's the only sport you know. Siku mtaanza kung'aa kwenye world stage like we do, kuja kwenye meza ya mazungumzo. Have a good day!
 
Maana FIFA wana uwezo mdogo wa kufikiri kama wewe. 😂😂😂
Latest Men’s World Ranking.
Hizi zimekuwa updated leo na FIFA.
View attachment 3474823
Yaan wangekuwa wanaongea hivyo basi walau wamezipiga hata timu tatu za Tanzania , yaan wametembezewa kichapo sasa hivi kimyaa mitandaoni wamepoa kama hawapo vile.
Tz huwa tunaadhibu kwa vitendo sio kwa maneno
 
Maana FIFA wana uwezo mdogo wa kufikiri kama wewe. 😂😂😂
Latest Men’s World Ranking.
Hizi zimekuwa updated leo na FIFA.
View attachment 3474823
Yaan wangekuwa wanaongea hivyo basi walau wamezipiga hata timu tatu za Tanzania , yaan wametembezewa kichapo sasa hivi kimyaa mitandaoni wamepoa kama hawapo vile.
Tz huwa tunaadhibu kwa vitendo sio kwa maneno
 
Back
Top Bottom