Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndo maana tunakuambia Huna akili picha za miaka 2013 miaka 12 iliyopita kipindi hicho hakuna mifumo ya maji unataka kuleta Leo 🤣🤣🤣🤣View attachment 3475061


Nyinyi mpaka leo bado mnahangaika na madumu

View: https://youtu.be/GyHHaaFD400?si=SNxSVrOuUqrHEWph

🤣🤣😂wow! Picha za 2013👏😭😂😂😂
Screenshot_20250918_175010_YouTube.jpg

hqdefault.jpg
 

Attachments

  • hqdefault.jpg
    hqdefault.jpg
    19.5 KB · Views: 26
Sasa huoni kama unajiabisha imagine hizo ndo slums za dar es salaam kuna space kabisa ,zimejengwa kwa blocks na baadhi zimepigwa rangi ukienda dandora majority ni nyumba za Tope zisivyo na vyoo, sasa ebu fuatilia the last time Daniel kijo kuripoti kuhusu mafuriko dar ilikuwa mwaka gani? Pole sana najua unahangaika sana kupata picha ila huwez ndugu
 
Hii issued ya Azam kuelekea kupokonywa rights za kutangaza KPL umewauma sana 😂😂😂
Jana niliona moja wenu kasrma alipwe pesa aondoke😄😄
Ituume, we wish so much azam ahame itakua poa. Si mnaipenda KBC safi give the whole league to KBC.
 
Back
Top Bottom