Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa ndo ulipoenda kuokota baadhi ya hizo picha bisha
Mimi sijaleta picha ya mvuti hapa ila najua ipo Dar na ni Kijijini kabisa panalimwa mihogo. Yani Kijijini kabisa na tunaambiwa vile Dar ni kubwa. Ukubwa wa vijiji!
 


Ka mji kadogo na overpopulated. Ndio maana slums ni nyingii

Screenshot_20250918-092338.png
 
🤣😂😂😂narududia tena, tofauti yetu sisi nikwamba tunajua natunakubali zipo changamoto, inhali nyinyi mnajua changamoto zipo lakini mnazificha, so hata ukuje na vipicha millioni hauta mstua hata mbu but mimi nije tu na kipicha Kimoja hasira itawajaaa nakuwachokora hadi mkunduni🤣😂😂😂🙌
 
MTABISHANA HAPA ILA KUNA KI
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.

Ninaomba tuangalie katika positive way. Tuki post kitu kutoka Dar wale wa Nairobi wanaleta post ya kujibu. Na kama hakipo kwao wanasema hakipo na wao vilevile. Kama kipo kwenye plan wanaweza kuleta au sisi tunaweza kuleta kwaajili ya kujibu.

1. Master Plan of the city
2. Current View of the city
3. Ongoing Projects
4. Future Projects proposed
5. Culture and Life style
6. Food availability
7. Entertainment and Funny Places
8. Places to visit
9. Transport system (Private and Public)
10. Markets and Shopping malls
11. Hotels
12. Education centers
13. Health centers
14. Telecommunication and Data centers
15. Information Technologies and Innovation

Ndugu Jay456watt kutoka Nairobi kama ulivyo dai sasa thread inaanza.
Welcome to the battle.
MTABISHANA HAPA ILA KUNA KITU HAMTASEMA ,DAR YETU NI CHAFU.NA HIZO PICHA ZENYE MNATUMA KWA JUU HAZIONYESHI MABANDA YALIYOJAA BARABARANI YA MACHINGA,PALE KIMARA SAHV HUELEWI HATA UINGILIE WAPI DARAJANI WAFANYABIASHARA WAMEJAA,MITAANI KUCHAFU NDO USISEME,SIJAWAHI KUFIKA NAIROBI ILA MOSHI TU NI PAZURI KULIKO DAR KABLA HATUJAAMUA KUBISHANA NA WATU WA NAIROBI
 
MTABISHANA HAPA ILA KUNA KI
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.

Ninaomba tuangalie katika positive way. Tuki post kitu kutoka Dar wale wa Nairobi wanaleta post ya kujibu. Na kama hakipo kwao wanasema hakipo na wao vilevile. Kama kipo kwenye plan wanaweza kuleta au sisi tunaweza kuleta kwaajili ya kujibu.

1. Master Plan of the city
2. Current View of the city
3. Ongoing Projects
4. Future Projects proposed
5. Culture and Life style
6. Food availability
7. Entertainment and Funny Places
8. Places to visit
9. Transport system (Private and Public)
10. Markets and Shopping malls
11. Hotels
12. Education centers
13. Health centers
14. Telecommunication and Data centers
15. Information Technologies and Innovation

Ndugu Jay456watt kutoka Nairobi kama ulivyo dai sasa thread inaanza.
Welcome to the battle.
MTABISHANA HAPA ILA KUNA KITU HAMTASEMA ,DAR YETU NI CHAFU.NA HIZO PICHA ZENYE MNATUMA KWA JUU HAZIONYESHI MABANDA YALIYOJAA BARABARANI YA MACHINGA,PALE KIMARA SAHV HUELEWI HATA UINGILIE WAPI DARAJANI WAFANYABIASHARA WAMEJAA,MITAANI KUCHAFU NDO USISEME,SIJAWAHI KUFIKA NAIROBI ILA MOSHI TU NI PAZURI KULIKO DAR KABLA HATUJAAMUA KUBISHANA NA WATU WA NAIROBI
 
Back
Top Bottom