Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndi
Yaan unaenda okoteza picha YouTube huko kujifariji
'Yaan unaenda okoteza picha YouTube huko kujifariji' 😂😂😂😂👏👏👏
hqdefault.jpg
 
Sasa huoni kama unajiabisha imagine hizo ndo slums za dar es salaam kuna space kabisa ,zimejengwa kwa blocks na baadhi zimepigwa rangi ukienda dandora majority ni nyumba za Tope zisivyo na vyoo, sasa ebu fuatilia the last time Daniel kijo kuripoti kuhusu mafuriko dar ilikuwa mwaka gani? Pole sana najua unahangaika sana kupata picha ila huwez ndugu
 
Hii issued ya Azam kuelekea kupokonywa rights za kutangaza KPL umewauma sana 😂😂😂
Jana niliona moja wenu kasrma alipwe pesa aondoke😄😄
Ituume, we wish so much azam ahame itakua poa. Si mnaipenda KBC safi give the whole league to KBC.
 
Sasa nimepinga nini wakati nimekuletea evidence unapoookota picha zako na wewe Huna uwezo wa kuleta source hapa maana unajua unaziokota tu
🤭ndio naziokota congratulations 👏😂😂😂🙌... haya harakisha niletee source,na nimesema chap!chap! Kijana.😂😂😂
Screenshot_20250918_184946_YouTube.jpg
Screenshot_20250918_190401_YouTube.jpg
Screenshot_20250918_184932_YouTube.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20250918_184753_YouTube.jpg
    Screenshot_20250918_184753_YouTube.jpg
    224.6 KB · Views: 12
  • Screenshot_20250918_190401_YouTube.jpg
    Screenshot_20250918_190401_YouTube.jpg
    177 KB · Views: 16
mitaa yakupika sio?😂🤣👏👏👏
Screenshot_20250917_220056_YouTube.jpg
Screenshot_20250918_180321_YouTube.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20250918_185602_YouTube.jpg
    Screenshot_20250918_185602_YouTube.jpg
    311.8 KB · Views: 10
Back
Top Bottom