Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huwa nakariri humu, ukiona mbongo anaponda jambo, jua tu Mkenya anafanya vyema kwa hilo jambo kumshinda. Ukweli utaujua wakati Mbongo atajitahidi kwa hilo jambo. Juzi nimeona wakisherehekea kujengwa kwa 'skyscraper' ya TRA gorofa 25. Walikuwa washaasahau ule wimbo wao gorofa sii maendeleo. 😂😂😂
Tunaposema kwamba ghorofa sio maendeleo haimaanishi kwamba hatujengi, ila sio kipaumbele kwetu na ndiyo mana unaona tunafanya miradi ya maana, miradi ya kumkomboa common mwananchi from poverty. Tunafanya miradi ambayo uki convert pesa yake unapata vighorofa vyote wanavyojenga foreigners hapo slum city na chenji inabaki, wacheni uzumbukuku nyie malofa.
 
I am a civil engineer. Graduated in 2014, doing Masters. Wewe ndio unadream kustudy engineering. Hivi unaona una haki ya kuniita dumb? Unajua naweza kuwa mwalimu wako?
Duh ume graduate 2014? Na mzee hivyo? Miaka yote ulikuwa unafanya nn? Kwann umechelewa sn kusoma wakati elimu yenu ni fupi (form 4 to university)? Je, u vlogger umeacha?
 
Mnajitosheleza kwa umeme au chakula? tuanzie hapo kwanza kabla hatujaendelea mbele ili tusipotezeane muda.
Kenya has an installed capacity of 3,300MW of electricity against a peak demand of 2,363MW as of July 2025. So yees, tunajitosheleza kwa umeme bongolala.

Kuhusu chakula, we important the deficit.

Next question bongolala?
 
Ati 42 km highway! Endelea Kuota!
😂😂😂Naoana ukona akili kuliko KENHA, engineers, Google maps na contractors🙌...congratulations kibabu👏👏maji ya chumvi ilishakuadhiri akili hapo tandale😂😂😂😂...
 
Main sponsor wa KPL ashasema more matches should be broadcasted at KBC because Kenyans lack Azam decoders. The writing is on the wall.
View: https://x.com/pepeta_ke/status/1967970553089708080?t=HubXxKTyPrIR0KwR6nvezA&s=19

Mbona kabla ya hapo alipewa mkataba wa free to air akashindwa tangaza hata mechi moja🤣🤣🤣🤣🤣.
Tunasubiri kuona kbc itakapota 1bil ksh kukuza league ya Kenya. Mtahangaika wee ila bado mtarudi kupiga magoti kwa Azam maana hakuna media within east africa Inaweza kufanya live coverage kwa kutumia resources zake ikafanikiwa.
Kbc haina channel special kwa sports while kuna Azam sports1 - 4.
Ila tushawazoea ni wazee wa kelele tu
 
Mrudishieni Azam fedha zake plus damages! La sivyo another FIFA ban is on the cards!
Hawana uwezo huo ,kbc wanayoipigia kelele ishawahi pewa free to air right wakashindwa tangaza hata mechi moja , kbc alipaswa kuwa anatoa 10mil kwa mwaka kwa Kila timu kama mgao wa matangazo akashindwa mwaka wa kwanza tu.
Hata wakisema wavunje mkataba still yet loosers wakubwa ni wao
 
Back
Top Bottom