Reborn Ktb
JF-Expert Member
- Mar 14, 2021
- 6,820
- 9,588
20 million sio 30,Thanks to Azam, kutoka 5m mpaka 30m. Japo lazima tufuatilie credibility of the source.
20 million sio 30,Thanks to Azam, kutoka 5m mpaka 30m. Japo lazima tufuatilie credibility of the source.
Kwamba iwe kwao au kwetu kote tumenyomba 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tunaposema kwamba ghorofa sio maendeleo haimaanishi kwamba hatujengi, ila sio kipaumbele kwetu na ndiyo mana unaona tunafanya miradi ya maana, miradi ya kumkomboa common mwananchi from poverty. Tunafanya miradi ambayo uki convert pesa yake unapata vighorofa vyote wanavyojenga foreigners hapo slum city na chenji inabaki, wacheni uzumbukuku nyie malofa.Huwa nakariri humu, ukiona mbongo anaponda jambo, jua tu Mkenya anafanya vyema kwa hilo jambo kumshinda. Ukweli utaujua wakati Mbongo atajitahidi kwa hilo jambo. Juzi nimeona wakisherehekea kujengwa kwa 'skyscraper' ya TRA gorofa 25. Walikuwa washaasahau ule wimbo wao gorofa sii maendeleo. 😂😂😂
Of course. You've clearly never been to any university.Acha ufala mimi sijasoma vyuo vya kifala kama wewe ukae ukijua hilo.
Duh ume graduate 2014? Na mzee hivyo? Miaka yote ulikuwa unafanya nn? Kwann umechelewa sn kusoma wakati elimu yenu ni fupi (form 4 to university)? Je, u vlogger umeacha?I am a civil engineer. Graduated in 2014, doing Masters. Wewe ndio unadream kustudy engineering. Hivi unaona una haki ya kuniita dumb? Unajua naweza kuwa mwalimu wako?
Vlogger uyo asikusumbue, wakenya 90% wamekimbilia kazi ya kuwa vlogger baada ya ukosefu wa ajira kule kwao.Mwalimu wa Civil Engineering anamfundisha vipi mwanafunzi wa Mechanical Engineering?
1920s 😂😂😂Utaambiwa ni ya 1999. 🤣 🤣 🤣
Kenya has an installed capacity of 3,300MW of electricity against a peak demand of 2,363MW as of July 2025. So yees, tunajitosheleza kwa umeme bongolala.Mnajitosheleza kwa umeme au chakula? tuanzie hapo kwanza kabla hatujaendelea mbele ili tusipotezeane muda.
police station in singapore africa
View: https://x.com/bernardkavuli/status/1967984027765457207?s=46
Main sponsor wa KPL ashasema more matches should be broadcasted at KBC because Kenyans lack Azam decoders. The writing is on the wall.
View: https://x.com/pepeta_ke/status/1967970553089708080?t=HubXxKTyPrIR0KwR6nvezA&s=19
😂😂😂Naoana ukona akili kuliko KENHA, engineers, Google maps na contractors🙌...congratulations kibabu👏👏maji ya chumvi ilishakuadhiri akili hapo tandale😂😂😂😂...Ati 42 km highway! Endelea Kuota!
Main sponsor wa KPL ashasema more matches should be broadcasted at KBC because Kenyans lack Azam decoders. The writing is on the wall.
View: https://x.com/pepeta_ke/status/1967970553089708080?t=HubXxKTyPrIR0KwR6nvezA&s=19
😂😂😂😂so nimakosa yangu umeshindwa kubadilisha kiatu?okay,tuliza tako, punguza hasira,Christmas imekaribia,ngojea zawadi watakupa kiatu kipya 😂😂😂🙌...View attachment 3473796
Maku nilishakudharau kitambo
Hawana uwezo huo ,kbc wanayoipigia kelele ishawahi pewa free to air right wakashindwa tangaza hata mechi moja , kbc alipaswa kuwa anatoa 10mil kwa mwaka kwa Kila timu kama mgao wa matangazo akashindwa mwaka wa kwanza tu.Mrudishieni Azam fedha zake plus damages! La sivyo another FIFA ban is on the cards!