Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lazima ashangae kwa mafuta ya alizeti na mawese watatoa wapi wao import tu kwaiyo kazi ya hayo madumu hawezi ijua kamwe
Screenshot_20250917_152942_Chrome.jpg
Screenshot_20250917_152923_Chrome.jpg
Screenshot_20250917_152953_Chrome.jpg
Screenshot_20250916_010640_Chrome.jpg

🤣🤣🤣so haya ni madumu ya mafuta sio!? Watu wangu oneni madumu ya mafuta kule Newyork city with BRT😂😂😂😂🙌...
 
usibabaike na make up za usoni wakati mwili mchafu hujaoga. Jenga misingi ya uchumi imara kwanza haya ya kupendezesha macho yatakuja yenyewe tuu. It is a gradual process you cannot jump a step for sustainability purposes.
So kwa akili zako unafikiria hayo ma skyscrapers yanajengwa na serikali pekeyake kama ilivyo huko kwenu? Listen, those are private investments made by private investors we kijana!.mambo yakujenga misingi ni kazi ya serikali kule Kenya sio kama kule Tz ambapo serikali ndio inang'ang'ana kujenga skyscraper....so jiulize kwanini private sector wana invest kujenga nairobi na addis na sio dar ilihali nyie mume invest kwenye agricuture😂😂😂🙌.
 
So kwa akili zako unafikiria hayo ma skyscrapers yanajengwa na serikali pekeyake kama ilivyo huko kwenu? Listen, those are private investments made by private investors we kijana!.mambo yakujenga misingi ni kazi ya serikali kule Kenya sio kama kule Tz ambapo serikali ndio inang'ang'ana kujenga skyscraper....so jiulize kwanini private sector wana invest kujenga nairobi na addis na sio dar ilihali nyie mume invest kwenye agricuture😂😂😂🙌.
I wanted to tell him this nikaona nitapigia mbuzi guitar
 
Mbona kabla ya hapo alipewa mkataba wa free to air akashindwa tangaza hata mechi moja🤣🤣🤣🤣🤣.
Tunasubiri kuona kbc itakapota 1bil ksh kukuza league ya Kenya. Mtahangaika wee ila bado mtarudi kupiga magoti kwa Azam maana hakuna media within east africa Inaweza kufanya live coverage kwa kutumia resources zake ikafanikiwa.
Kbc haina channel special kwa sports while kuna Azam sports1 - 4.
Ila tushawazoea ni wazee wa kelele tu
Kumbe they can't afford Azam Tv! 😂😂😂
 
Back
Top Bottom