Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mbona kabla ya hapo alipewa mkataba wa free to air akashindwa tangaza hata mechi moja🤣🤣🤣🤣🤣.
Tunasubiri kuona kbc itakapota 1bil ksh kukuza league ya Kenya. Mtahangaika wee ila bado mtarudi kupiga magoti kwa Azam maana hakuna media within east africa Inaweza kufanya live coverage kwa kutumia resources zake ikafanikiwa.
Kbc haina channel special kwa sports while kuna Azam sports1 - 4.
Ila tushawazoea ni wazee wa kelele tu
Kumbe they can't afford Azam Tv! 😂😂😂
 
Kitisuru
images - 2025-09-17T164106.842.jpeg
 
Back
Top Bottom