Kijana nikusoma hujui kusoma!? Naona goal yako nikuniambukiza ujinga wa kigamboni no need of angaging you Any more😂😂😂😂🙌...Acha ushamba huwezi kuuziwa ndege mpya bila certification ya aviation authorities
Then Good for you, continue buying new expensive, luxurious fleets for your president congratulations 😀😀😂😂😂👏...Yes our G550 is still airworthy na tumenunua G700 na bado kuna order ya B737BBJ iko njiani
Yani 99% of Tanzanians in vichaa, the remaining 1% ni wajinga.Mjinga anajitekenya akicheka.🤣
Endelea kuumiaYani 99% of Tanzanians in vichaa, the remaining 1% ni wajinga.
Saa zingine wakiandika unashangaa kama ni watoto wa chekechea ama wanaume wazima.😂😂Lol! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kijana, you said you are 19 and you say you're a mechanical engineer? Who are you fooling?What's this supposed to mean? Are you doing exactly what I think you are doing?
Making fun of Mechanical Engineering to silence me?
Kama kweli una degree then wewe ni mzee mwenye akili za kitoto, you are not matured enough.
Huwa nakariri humu, ukiona mbongo anaponda jambo, jua tu Mkenya anafanya vyema kwa hilo jambo kumshinda. Ukweli utaujua wakati Mbongo atajitahidi kwa hilo jambo. Juzi nimeona wakisherehekea kujengwa kwa 'skyscraper' ya TRA gorofa 25. Walikuwa washaasahau ule wimbo wao gorofa sii maendeleo. 😂😂😂Juu mtanzania amepata Gold medal then riadha sio mchezo ya watu maskini Tena? Naona mnaishangilia kweli kweli that one gold medal😂😂