Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hatuuzi maji kwenye mkokoteni, hiyo ilikuwa zamani sn since I was child, Tanzania especially Dar hakuna shida ya maji, tulishatoka huko, wauza maji kwa mikokoteni walishatafuta kazi za kufanya, kuna mambo mengi yanaendelea huko kenya kwetu huku hakuna kabisa, ni ajabu kukuta mtu anauza maji mtaani kwa mkokoteni, labda mjini wanauza kwa mkokoteni na maji yenyewe ni yale ya chupa (Uhai, Masafi, Hill etc) msifosi tufanane.
Sawa watchman
Screenshot_20250916_005017_Chrome.jpg
Screenshot_20250916_005300_Chrome.jpg
Screenshot_20250916_010640_Chrome.jpg
 
usibabaike na make up za usoni wakati mwili mchafu hujaoga. Jenga misingi ya uchumi imara kwanza haya ya kupendezesha macho yatakuja yenyewe tuu. It is a gradual process you cannot jump a step for sustainability purposes.
And which country is not building her economic pillars if I may ask?
 
Back
Top Bottom