Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,674
- 107,110
In 5 years this league will be fire. Prize money imefika 20M, football nation imekwama kwa 32M.
View: https://x.com/husseinmoha/status/1967891021502489025?t=7eKIJPxWewGoQiaEIevTzg&s=19
Acha ufala mimi sijasoma vyuo vya kifala kama wewe ukae ukijua hilo.Clear indication that you don't know what a lecture hall looks like. Leave this conversation for University Graduates.
Mnajitosheleza kwa umeme au chakula? tuanzie hapo kwanza kabla hatujaendelea mbele ili tusipotezeane muda.And which country is not building her economic pillars if I may ask?
20 million sio 30,Thanks to Azam, kutoka 5m mpaka 30m. Japo lazima tufuatilie credibility of the source.
Kwamba iwe kwao au kwetu kote tumenyomba 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tunaposema kwamba ghorofa sio maendeleo haimaanishi kwamba hatujengi, ila sio kipaumbele kwetu na ndiyo mana unaona tunafanya miradi ya maana, miradi ya kumkomboa common mwananchi from poverty. Tunafanya miradi ambayo uki convert pesa yake unapata vighorofa vyote wanavyojenga foreigners hapo slum city na chenji inabaki, wacheni uzumbukuku nyie malofa.Huwa nakariri humu, ukiona mbongo anaponda jambo, jua tu Mkenya anafanya vyema kwa hilo jambo kumshinda. Ukweli utaujua wakati Mbongo atajitahidi kwa hilo jambo. Juzi nimeona wakisherehekea kujengwa kwa 'skyscraper' ya TRA gorofa 25. Walikuwa washaasahau ule wimbo wao gorofa sii maendeleo. 😂😂😂
Of course. You've clearly never been to any university.Acha ufala mimi sijasoma vyuo vya kifala kama wewe ukae ukijua hilo.
Duh ume graduate 2014? Na mzee hivyo? Miaka yote ulikuwa unafanya nn? Kwann umechelewa sn kusoma wakati elimu yenu ni fupi (form 4 to university)? Je, u vlogger umeacha?I am a civil engineer. Graduated in 2014, doing Masters. Wewe ndio unadream kustudy engineering. Hivi unaona una haki ya kuniita dumb? Unajua naweza kuwa mwalimu wako?
Vlogger uyo asikusumbue, wakenya 90% wamekimbilia kazi ya kuwa vlogger baada ya ukosefu wa ajira kule kwao.Mwalimu wa Civil Engineering anamfundisha vipi mwanafunzi wa Mechanical Engineering?