Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hao butuabutua jana Simba ilicheza kwa tahadhari kubwa sana wachezaji wasije kuumia itokee tukutane hata kwenye mashindano ya CAF
Huu mwaka tulikuwa na agenda ya siri na hivi vitimu vya EA, tumevipiga vyote, now hakuna kelele. Wanapotaja African league ranks hawa jamaa wanapaswa waelewe kwamba vigezo vimezingatiwa, imagine Simba imeshinda jana goli mbili lkn mashabiki wala hawajafurahi kabisa, wanaona bado wana kazi kufikia kiwango cha mtani wao, yn issue wala sio wamecheza na nani, issue ilikuwa ni kuangalia kiwango, yn imefika hatua sisi watanzania tunaziona timu za EA kama za ndondo aiseee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Na mm kesho panapo majaliwa ya mwenyezi mungu nitakuwa upande wa utapolo maake wanusagundi siwapendi
Nimekuambia hakuna ulinganisho wa kimpira kwa sasa baina ya kenya na Tanzania, wewe unaongelea past ambapo tulikuwa sawa kiuwezo ila kwa sasa hatupo sawa katika level zote, kuanzia national team both men and women mpaka youth level, huku kwenye level ya clubs ndiyo kabisa tumewaacha mbali mnooooo.

Uthibitisho:
1. Fifa rankings tupo juu yenu kwa timu za taifa (men & women).

2. Timu zetu za taifa za football zote zimeingia kwenye michuano mikubwa, nyinyi hamna hata moja, mnaingia Afcon kwa mgongo wa timu mwenyeji (ambapo ata hivyo hamtoandaa)

3. Clubs zetu na zenu kwa sasa ni mbingu na ardhi, kuanzia revenues mpk mpira uwanjani, huwezi kuiongelea Gor Mahia au police, au bandari au shabana ambazo ndiyo giants wenu huko dhidi ya giants wa Tanzania.

4. Recently, timu zenu zote kubwa zimefungwa na timu za Tanzania,
(a). shabana kapokonywa kombe kabisa nyumbani kwake dhidi ya timu dhaifu ya Tanzania iliyopanda daraja ya Pamba FC,
(b). Gor Mahia kapigwa na Simba jana 2-0.
(b). Police bingwa wenu kafungwa na Singida ambayo ni timu ya 4 huku kwetu.

Kesho mabingwa wa nchi Dar es salaam Young Africans (Yanga) inacheza na bandari, nakushauri nunua kifurushi cha azam mapema ukiangalia jinsi timu yako inavyodhalilishwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Hivyo basi, itoshe kusema kwamba kwa faida ya battle tunawaruhusu kujitutumua ili battle isife lkn hakuna ufanano kabisa kwenye soka kwa sasa.
 
What did you guy achieve with riots?

Ruto Must Go riots? Ruto still is there and clowns singing tumerudiana na ex, Kumi bila breki, while fellow Kenyans walikufa?.

Name what you did achieve?
Just a couple of achievements.
1. The finance bill was shelved.
2. JKIA was not sold to Adani.
3. The internet was not censored (That's why we are not using VPNs like you guys.
4. The presidential term limit was not increased to 7 years like they had planned.
5. Abductions reduced and the abductees are in the process of being compensated.
Those are just some of them.
 
Ukiacha raia mtandaoni ambao wameamua kuwajibu baada ya kuwachokoza, hakuna kiongozi anayewapa umuhimu. Nyie huko kwenu kila mtu Tanzania this, Tanzania that, kuanzia Rais wenu mpaka mawaziri na wabunge, wote issue ni Tanzania. Tayari kocha wenu naye kajiingiza kwenye mtego wa taifa lenu, naye badala a focus na timu yake ameanza kuongelea Tanzania, kenya bhn 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
It is the other way round you fool. Huku ni vijana wadogo mtandaoni wanaoongelea Vumbistan. Huko kwenu Hadi Rais anatuongelea. Example, during mambo ya Boniface mwangi, your parliament spent a whole day discussing Kenya, your president talked about Kenya. Huku our parliament had no time for you. Our president said nothing about you.
 
img_6770-jpeg.9377635
 
Machungu yako peleka nyumbani kwako. Wacha sisi tuendelee na battle. Sitaki kukujibu vibaya maana nakuheshimu
nikiwa namjibu mwanaume mwenzangu tuliza kipapa anajibiwa mwanaume ajabu unawashwa wewe

hebu nitag sehemu nimeku reply msg yako? mm namjibu mtu mwengine unakuja kunishambulia mm ? vp ?




IMG_8511.jpeg
IMG_8512.jpeg
 
Back
Top Bottom