Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa hivi sisi tunalima, Nyie wakenya mpo kwenye social media kututukana watanzania tu. Njaa ikianza kuwakokota mnaanza kulia.

POWERED BY TANZANIA AGRICULTURAL DEVELOPMENT BANK

1757591652338.jpeg


1757591690352.jpeg


1757591719464.jpeg


1757591750958.jpeg


1757591779605.jpeg
 
Askari anayeguswa mguu kidogo tu kisha anaanza kuitukana nchi yake, huyo hafai kuwa askari. Kwenye jukwaa hili wapo Mamluks kibao. Wapo tayari kujitia kidole kwenye makalio na kunusa wenyewe.

Mimi nitakuwa tayari kwenda na mtu ambaye yupo tayari kuipigania Tanzania kwa namna yoyote ile. Hawa wengine maslah yao yakiguswa kidogo wanaanza kutukana viongozi na kuleta kejeli za kijinga, sijui unamkomoa nani.

You show in public how weak you are.
Any person ambaye atakuwa kinyume na maslah ya Tanzania nitakula naye sahani moja. Kama hujui National Interest za Tanzania ni bora ukakaa kimya tukakufundisha kuliko kukaa upande wa adui yetu huku ukisimama upande wetu kinafiki.

Kama umeamua kuwa adui wa Tanzania be our ernemy. Kuliko kutukana watu kwa mgongo wa kisiasa kwamba unaitukana CCM na Rais wa Tanzania.

Tutakushughulikia ipasavyo.

 
Tarehe 16 kazi mnayo mzee, mkicheza mpira ule mliocheza dhidi ya timu dhaifu Gor Mahia basi kipigo cha 6 mfululizo kinawahusu. Bro, Yanga tupo serious, hatutanii na hatuna huruma aisee, sisi msituletee uchale mliofanya jana dhidi ya wakata mkaa Gor Mahia, mtaaibika mzee.
Ndugu zetu makolo propaganda zimewaingia kichwani vibaya,nini kilichofichwa pale 😄
 
Hao butuabutua jana Simba ilicheza kwa tahadhari kubwa sana wachezaji wasije kuumia itokee tukutane hata kwenye mashindano ya CAF
Huu mwaka tulikuwa na agenda ya siri na hivi vitimu vya EA, tumevipiga vyote, now hakuna kelele. Wanapotaja African league ranks hawa jamaa wanapaswa waelewe kwamba vigezo vimezingatiwa, imagine Simba imeshinda jana goli mbili lkn mashabiki wala hawajafurahi kabisa, wanaona bado wana kazi kufikia kiwango cha mtani wao, yn issue wala sio wamecheza na nani, issue ilikuwa ni kuangalia kiwango, yn imefika hatua sisi watanzania tunaziona timu za EA kama za ndondo aiseee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Na mm kesho panapo majaliwa ya mwenyezi mungu nitakuwa upande wa utapolo maake wanusagundi siwapendi
Nimekuambia hakuna ulinganisho wa kimpira kwa sasa baina ya kenya na Tanzania, wewe unaongelea past ambapo tulikuwa sawa kiuwezo ila kwa sasa hatupo sawa katika level zote, kuanzia national team both men and women mpaka youth level, huku kwenye level ya clubs ndiyo kabisa tumewaacha mbali mnooooo.

Uthibitisho:
1. Fifa rankings tupo juu yenu kwa timu za taifa (men & women).

2. Timu zetu za taifa za football zote zimeingia kwenye michuano mikubwa, nyinyi hamna hata moja, mnaingia Afcon kwa mgongo wa timu mwenyeji (ambapo ata hivyo hamtoandaa)

3. Clubs zetu na zenu kwa sasa ni mbingu na ardhi, kuanzia revenues mpk mpira uwanjani, huwezi kuiongelea Gor Mahia au police, au bandari au shabana ambazo ndiyo giants wenu huko dhidi ya giants wa Tanzania.

4. Recently, timu zenu zote kubwa zimefungwa na timu za Tanzania,
(a). shabana kapokonywa kombe kabisa nyumbani kwake dhidi ya timu dhaifu ya Tanzania iliyopanda daraja ya Pamba FC,
(b). Gor Mahia kapigwa na Simba jana 2-0.
(b). Police bingwa wenu kafungwa na Singida ambayo ni timu ya 4 huku kwetu.

Kesho mabingwa wa nchi Dar es salaam Young Africans (Yanga) inacheza na bandari, nakushauri nunua kifurushi cha azam mapema ukiangalia jinsi timu yako inavyodhalilishwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Hivyo basi, itoshe kusema kwamba kwa faida ya battle tunawaruhusu kujitutumua ili battle isife lkn hakuna ufanano kabisa kwenye soka kwa sasa.
 
What did you guy achieve with riots?

Ruto Must Go riots? Ruto still is there and clowns singing tumerudiana na ex, Kumi bila breki, while fellow Kenyans walikufa?.

Name what you did achieve?
Just a couple of achievements.
1. The finance bill was shelved.
2. JKIA was not sold to Adani.
3. The internet was not censored (That's why we are not using VPNs like you guys.
4. The presidential term limit was not increased to 7 years like they had planned.
5. Abductions reduced and the abductees are in the process of being compensated.
Those are just some of them.
 
Ukiacha raia mtandaoni ambao wameamua kuwajibu baada ya kuwachokoza, hakuna kiongozi anayewapa umuhimu. Nyie huko kwenu kila mtu Tanzania this, Tanzania that, kuanzia Rais wenu mpaka mawaziri na wabunge, wote issue ni Tanzania. Tayari kocha wenu naye kajiingiza kwenye mtego wa taifa lenu, naye badala a focus na timu yake ameanza kuongelea Tanzania, kenya bhn 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
It is the other way round you fool. Huku ni vijana wadogo mtandaoni wanaoongelea Vumbistan. Huko kwenu Hadi Rais anatuongelea. Example, during mambo ya Boniface mwangi, your parliament spent a whole day discussing Kenya, your president talked about Kenya. Huku our parliament had no time for you. Our president said nothing about you.
 
Back
Top Bottom