Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tarehe 16 kazi mnayo mzee, mkicheza mpira ule mliocheza dhidi ya timu dhaifu Gor Mahia basi kipigo cha 6 mfululizo kinawahusu. Bro, Yanga tupo serious, hatutanii na hatuna huruma aisee, sisi msituletee uchale mliofanya jana dhidi ya wakata mkaa Gor Mahia, mtaaibika mzee.
Unafikiri Fadhlu mjinga aoneshe first eleven yake ili mkaifanyie tathmini. Mtakutana na kitu kizito siku hiyo hamtaamini maana hamjui mchezaji gani atacheza na position gani kazi imekuwa ngumu kwenu ku analyze mechi ya jana ni kupoteza muda nyie jiandaeni tuu kisaikolojia.
 
aibu sana anatajwa mama watu wamegana kimya kabisa 😂😂😂😂
Unaumizwa sana na CCM mdogo wangu. Si jui uchungu huu unautoa wapi wakati kila kitu unacho kipost humu kimefanywa na CCM. Utakuwa umetumwa wewe. Anyways ngoja tumalize kwanza uchaguzi tutashughulikiana baadae. Heshima kwa viongozi lazima ichukue mkondo wake. Hatuwezi kuwa na Taifa la vijana vichaa wenye maneno ya kejeli na maneno ya kipumbavu kama wakenya bila hata context.

Mgombea wa Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Urambo katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa Chama hicho mkoani Tabora tarehe 11 Septemba, 2025.

1757590787729.png


1757590716875.png
 
Bro, Rwanda tulibeba kombe usisahau, kama unadhani tulicheza vby basi tarehe 16 sio mbali, tuombe uhai tuu. Mkuu sio kama tunajikweza, mpira unachezwa uwanjani, kwa sasa Yanga ipo juu ya Simba, na kama unabisha hiyo tarehe 16 angalia mpira usiangalie matokeo, mana matokeo sio issue, yeyote anaweza kufungwa japo Yanga huwa anapewa asilimia kubwa ya kushinda, tarehe 16 sio mbali.
Kwenye rank za CAF Yanga iko nafasi ya ngapi? tuanzie hapo kwanza halatu tutaendelea taratibu.
 
aibu sana anatajwa mama watu wamegana kimya kabisa 😂😂😂😂
Mnaoendesha uzandiki kwenye mitandao. Tumwombe Mungu uchaguzi uishe salama, Baada ya hapo Tutawashughulikia kisawa sawa

Mgombea wa Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akikabidhi Ilani ya Uchaguzi kwa Mgombea Ubunge wa Chama hicho mara baada ya kuwahutubia wananchi wa Urambo katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa Chama hicho mkoani Tabora tarehe 11 Septemba, 2025.
1757591023306.png

1757591041913.png

1757591061177.png
 
Sasa hivi sisi tunalima, Nyie wakenya mpo kwenye social media kututukana watanzania tu. Njaa ikianza kuwakokota mnaanza kulia.

POWERED BY TANZANIA AGRICULTURAL DEVELOPMENT BANK

1757591652338.jpeg


1757591690352.jpeg


1757591719464.jpeg


1757591750958.jpeg


1757591779605.jpeg
 
Askari anayeguswa mguu kidogo tu kisha anaanza kuitukana nchi yake, huyo hafai kuwa askari. Kwenye jukwaa hili wapo Mamluks kibao. Wapo tayari kujitia kidole kwenye makalio na kunusa wenyewe.

Mimi nitakuwa tayari kwenda na mtu ambaye yupo tayari kuipigania Tanzania kwa namna yoyote ile. Hawa wengine maslah yao yakiguswa kidogo wanaanza kutukana viongozi na kuleta kejeli za kijinga, sijui unamkomoa nani.

You show in public how weak you are.
Any person ambaye atakuwa kinyume na maslah ya Tanzania nitakula naye sahani moja. Kama hujui National Interest za Tanzania ni bora ukakaa kimya tukakufundisha kuliko kukaa upande wa adui yetu huku ukisimama upande wetu kinafiki.

Kama umeamua kuwa adui wa Tanzania be our ernemy. Kuliko kutukana watu kwa mgongo wa kisiasa kwamba unaitukana CCM na Rais wa Tanzania.

Tutakushughulikia ipasavyo.

 
Tarehe 16 kazi mnayo mzee, mkicheza mpira ule mliocheza dhidi ya timu dhaifu Gor Mahia basi kipigo cha 6 mfululizo kinawahusu. Bro, Yanga tupo serious, hatutanii na hatuna huruma aisee, sisi msituletee uchale mliofanya jana dhidi ya wakata mkaa Gor Mahia, mtaaibika mzee.
Ndugu zetu makolo propaganda zimewaingia kichwani vibaya,nini kilichofichwa pale 😄
 
Back
Top Bottom