The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Sure.Moja Ya mambo yaliyo Nifurahisha Jana ni Wanasimba Kugomea Siasa Za kipumbavu .
Watanzania Sio wajinga
Sure.Moja Ya mambo yaliyo Nifurahisha Jana ni Wanasimba Kugomea Siasa Za kipumbavu .
Watanzania Sio wajinga
Basi achana na mambo ya siasa kaka. Hii thread ni ya Battle Dar es salaam vs NairobiHakuna anayewazuia kushinda, shindeni tu...
Siasa zipo kila sehemu. Kwikwikwikwikwi hapa kwenye jukwaa hili, kwenye Battle ya Dar es salaam vs NairobiMoja Ya mambo yaliyo Nifurahisha Jana ni Wanasimba Kugomea Siasa Za kipumbavu .
Watanzania Sio wajinga
wow asante kwa render 😂😂😂View attachment 3469551View attachment 3469552View attachment 3469553Build,build,build Nairobi!,... coming up is The Western Hights tower. Current Progress is under excavation. 👏👏
kujenga shipyard inahitaji serekali ipunguze baadhi ya kodi ili kuwavutia wawekezaji, lakini kama mambo ya tozo mpaka kwenye miamala ya simu hio sahau mzee tutaishia kupeleka mombasaAnapaswa ku-partner nao na kujenga shipyard Tanzania ku-manufacture catamarans!
aibu sana anatajwa mama watu wameganda kimya kabisa 😂😂😂😂CCM bhn, yn utoto ni mwingi sana aiseee mpk wanajichoresha🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Je, mama yako ni Chama gani?aibu sana anatajwa mama watu wamegana kimya kabisa 😂😂😂😂
hivi Tabora Treni inafika eh? 😎Brother nimekuambia ukitaka tuuharibu uzi huu kwa kuanza kujibishana mambo ya kisiasa, sisi ni wengi sana. But tunapoamua kuweka Ustaarabu wetu usituone sisi wajinga.
Hapa ni Campaign Uyui Leo Tabora
View attachment 3469489
View attachment 3469490
MGR inapita. SGR nayo inapitahivi Tabora Treni inafika eh? 😎
Unafikiri Fadhlu mjinga aoneshe first eleven yake ili mkaifanyie tathmini. Mtakutana na kitu kizito siku hiyo hamtaamini maana hamjui mchezaji gani atacheza na position gani kazi imekuwa ngumu kwenu ku analyze mechi ya jana ni kupoteza muda nyie jiandaeni tuu kisaikolojia.Tarehe 16 kazi mnayo mzee, mkicheza mpira ule mliocheza dhidi ya timu dhaifu Gor Mahia basi kipigo cha 6 mfululizo kinawahusu. Bro, Yanga tupo serious, hatutanii na hatuna huruma aisee, sisi msituletee uchale mliofanya jana dhidi ya wakata mkaa Gor Mahia, mtaaibika mzee.
Unaumizwa sana na CCM mdogo wangu. Si jui uchungu huu unautoa wapi wakati kila kitu unacho kipost humu kimefanywa na CCM. Utakuwa umetumwa wewe. Anyways ngoja tumalize kwanza uchaguzi tutashughulikiana baadae. Heshima kwa viongozi lazima ichukue mkondo wake. Hatuwezi kuwa na Taifa la vijana vichaa wenye maneno ya kejeli na maneno ya kipumbavu kama wakenya bila hata context.aibu sana anatajwa mama watu wamegana kimya kabisa 😂😂😂😂
Kwenye rank za CAF Yanga iko nafasi ya ngapi? tuanzie hapo kwanza halatu tutaendelea taratibu.Bro, Rwanda tulibeba kombe usisahau, kama unadhani tulicheza vby basi tarehe 16 sio mbali, tuombe uhai tuu. Mkuu sio kama tunajikweza, mpira unachezwa uwanjani, kwa sasa Yanga ipo juu ya Simba, na kama unabisha hiyo tarehe 16 angalia mpira usiangalie matokeo, mana matokeo sio issue, yeyote anaweza kufungwa japo Yanga huwa anapewa asilimia kubwa ya kushinda, tarehe 16 sio mbali.
Mnaoendesha uzandiki kwenye mitandao. Tumwombe Mungu uchaguzi uishe salama, Baada ya hapo Tutawashughulikia kisawa sawaaibu sana anatajwa mama watu wamegana kimya kabisa 😂😂😂😂
Tunataka mwaka huu tuwaoneshe nyie Kuomintang, Lazima tuwatandike na muweze kukimbilia kwenu huko Yemen, Tumewalea sana sasa mnataka kutupanda kichwaniaibu sana anatajwa mama watu wamegana kimya kabisa 😂😂😂😂
😂😂😂 tuliza tako, ngojea project completion, leta machozi yako ninywe 😋😂...wow asante kwa render 😂😂😂
Njaa itawaua wakenya, mpaka siku hizi mnakunywa machozi!!! Mkojo mtaanza lini kunywa niwaletee bure? Kwikwikwikwikwi😂😂😂 tuliza tako, ngojea project completion, leta machozi yako ninywe 😋😂...