Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Moja Ya mambo yaliyo Nifurahisha Jana ni Wanasimba Kugomea Siasa Za kipumbavu .
Watanzania Sio wajinga
Siasa zipo kila sehemu. Kwikwikwikwikwi hapa kwenye jukwaa hili, kwenye Battle ya Dar es salaam vs Nairobi
Tunainadi CCM kisayansi sana, kimataifa. Maana haya yote tunayoyataja ni Mafaniakio ya Kiongozi wetu Mama Samia

CCM Oyee!!
 
IMG_7194.jpeg
IMG_6109.jpeg
IMG20250613083001_BURST001_COVER.jpg
Build,build,build Nairobi!,... coming up is The Western Hights tower. Current Progress is under excavation. 👏👏
 
Anapaswa ku-partner nao na kujenga shipyard Tanzania ku-manufacture catamarans!
kujenga shipyard inahitaji serekali ipunguze baadhi ya kodi ili kuwavutia wawekezaji, lakini kama mambo ya tozo mpaka kwenye miamala ya simu hio sahau mzee tutaishia kupeleka mombasa

acha watu wajilie pesa sisi tuendelee kushangilia na kusifia 😂😂😂😂
 
Tarehe 16 kazi mnayo mzee, mkicheza mpira ule mliocheza dhidi ya timu dhaifu Gor Mahia basi kipigo cha 6 mfululizo kinawahusu. Bro, Yanga tupo serious, hatutanii na hatuna huruma aisee, sisi msituletee uchale mliofanya jana dhidi ya wakata mkaa Gor Mahia, mtaaibika mzee.
Unafikiri Fadhlu mjinga aoneshe first eleven yake ili mkaifanyie tathmini. Mtakutana na kitu kizito siku hiyo hamtaamini maana hamjui mchezaji gani atacheza na position gani kazi imekuwa ngumu kwenu ku analyze mechi ya jana ni kupoteza muda nyie jiandaeni tuu kisaikolojia.
 
aibu sana anatajwa mama watu wamegana kimya kabisa 😂😂😂😂
Unaumizwa sana na CCM mdogo wangu. Si jui uchungu huu unautoa wapi wakati kila kitu unacho kipost humu kimefanywa na CCM. Utakuwa umetumwa wewe. Anyways ngoja tumalize kwanza uchaguzi tutashughulikiana baadae. Heshima kwa viongozi lazima ichukue mkondo wake. Hatuwezi kuwa na Taifa la vijana vichaa wenye maneno ya kejeli na maneno ya kipumbavu kama wakenya bila hata context.

Mgombea wa Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Urambo katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa Chama hicho mkoani Tabora tarehe 11 Septemba, 2025.

1757590787729.png


1757590716875.png
 
Bro, Rwanda tulibeba kombe usisahau, kama unadhani tulicheza vby basi tarehe 16 sio mbali, tuombe uhai tuu. Mkuu sio kama tunajikweza, mpira unachezwa uwanjani, kwa sasa Yanga ipo juu ya Simba, na kama unabisha hiyo tarehe 16 angalia mpira usiangalie matokeo, mana matokeo sio issue, yeyote anaweza kufungwa japo Yanga huwa anapewa asilimia kubwa ya kushinda, tarehe 16 sio mbali.
Kwenye rank za CAF Yanga iko nafasi ya ngapi? tuanzie hapo kwanza halatu tutaendelea taratibu.
 
aibu sana anatajwa mama watu wamegana kimya kabisa 😂😂😂😂
Mnaoendesha uzandiki kwenye mitandao. Tumwombe Mungu uchaguzi uishe salama, Baada ya hapo Tutawashughulikia kisawa sawa

Mgombea wa Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akikabidhi Ilani ya Uchaguzi kwa Mgombea Ubunge wa Chama hicho mara baada ya kuwahutubia wananchi wa Urambo katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa Chama hicho mkoani Tabora tarehe 11 Septemba, 2025.
1757591023306.png

1757591041913.png

1757591061177.png
 
Back
Top Bottom