Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kama wasingemuondoa Zenawi ethiopia ingekuwa leo hii ni ligi nyingine kabisa, Zenawi alikuwa anaikimbiza ethiopia kwa spidi ya ajabu sana, sema ndo hivyo tena vizuri havidumu, rip ...
Sema nimewahi kuona wanasema jamaa alikuwa bright sana, ilola sijajua akifanya kiru gani?

Maana bwawa la umeme ni vision ya Haille Selassie
 
You will never become an Englishman however much you pretend; you will always be a nyang’au, unfortunately😂

Cc: Mimi Wewe Yule
Naangalia Simba day hapa, 99% ya mashabiki uwanjani wamevaa jezi mpya za Simba msimu huu mpya na uwanja umejaa mashabiki zaidi ya elfu 60. 😂😂😂
Nb: bei ya jezi moja ni 45,000 Tsh.
 
Nyangau kujeni huku muone mnajua maana ya full house? Habari ndio hiyo footballing natuon 62k pax full to the brim
 
Tanzania ndio nchi ya 9 kwa ukubwa duniani kutocheza World cup. Watu 70 million lakini hakuna wachezaji 25 wanaojua mpira 😂
1757523286334.png


1757523347850.png


1757523557176.png

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣


In all seriousness you obviously know nothing about football if you think population is what matters.
 
Wanusa gundi si huwa mnasema kwamba mnaziweza timu za Tanzania, ngoja muone leo kitakachowakuta, na itakuwa fundisho. Mana tayari tushanyomba timu zenu bora huko kwenu, tena zimenyombwa na timu dhaifu kabisa za Tz, leo zamu ya Girl Maria, nipo Simba kwa mkopo leo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wanusa gundi si huwa mnasema kwamba mnaziweza timu za Tanzania, ngoja muone leo kitakachowakuta, na itakuwa fundisho. Mana tayari tushanyomba timu zenu bora huko kwenu, tena zimenyombwa na timu dhaifu kabisa za Tz, leo zamu ya Girl Maria, nipo Simba kwa mkopo leo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Leo chama langu Simba kwa mkopo namm😂
 
Back
Top Bottom