Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

mnaikumbuka ile floating bridge iliramba 1.5b ksh sasa hvi ni white elephant ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
IMG_8516.jpeg
 
Ndege za kunyaland zimechakaa. ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
View attachment 3469628
Hahahahaaaaa, eti hizi ndiyo ndege za kuleta faida ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Kiukweli kabisa nilikuwa naliona hili muda mrefu sanaa, nikawa najiuliza hawa kq mbn ndege zao zimechakaa sanaa, nikadhani labda ni vile vi embraer vinavyokuja Dar kumbe ni zote, yn embraer za kenya zipo hoi mnooo, siti zimechoka mpk huwa nawahurumia abiria wanaopanda zile ndege, huwa nahofia usalama wao.
 
It is the other way round you fool. Huku ni vijana wadogo mtandaoni wanaoongelea Vumbistan. Huko kwenu Hadi Rais anatuongelea. Example, during mambo ya Boniface mwangi, your parliament spent a whole day discussing Kenya, your president talked about Kenya. Huku our parliament had no time for you. Our president said nothing about you.
Tatizo lako Bahati una hasira sn, eti Rais wenu haongelei Tanzania, alafu chakula cha bei nafuu atatoa wapi!!๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Viongozi wenu wote wanaongelea issue ya Tanzania kuweka sheria ya katazo la raia wa kigeni kufanya biashara za kimachinga kitu ambacho kimepelekea wakenya kuumia sanaa cz over 70% ya wakenya walio Tanzania ni machinga, 20% ni walimu na waliobaki ndiyo kidoogoo wapo kwenye vikazi vya maana. And for your information, hata hao 10% walio kwenye white collar jobs pia tunawafukuza, bakini kwenu, kwani lazima mgombanie kuja Tz!!????
 
 
Back
Top Bottom