Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Attachments

Umuhimu gani tunajipa wakati nyinyi ni customers wetu at club level and national team level? Anayejipa umuhimu sasa ni wewe mwenye unasherehekea ushindi wa kwanza wa Simba dhidi ya Gor baada ya miaka sijui mingapi nayo ni friendly match!
Nimekuambia hakuna ulinganisho wa kimpira kwa sasa baina ya kenya na Tanzania, wewe unaongelea past ambapo tulikuwa sawa kiuwezo ila kwa sasa hatupo sawa katika level zote, kuanzia national team both men and women mpaka youth level, huku kwenye level ya clubs ndiyo kabisa tumewaacha mbali mnooooo.

Uthibitisho:
1. Fifa rankings tupo juu yenu kwa timu za taifa (men & women).

2. Timu zetu za taifa za football zote zimeingia kwenye michuano mikubwa, nyinyi hamna hata moja, mnaingia Afcon kwa mgongo wa timu mwenyeji (ambapo ata hivyo hamtoandaa)

3. Clubs zetu na zenu kwa sasa ni mbingu na ardhi, kuanzia revenues mpk mpira uwanjani, huwezi kuiongelea Gor Mahia au police, au bandari au shabana ambazo ndiyo giants wenu huko dhidi ya giants wa Tanzania.

4. Recently, timu zenu zote kubwa zimefungwa na timu za Tanzania,
(a). shabana kapokonywa kombe kabisa nyumbani kwake dhidi ya timu dhaifu ya Tanzania iliyopanda daraja ya Pamba FC,
(b). Gor Mahia kapigwa na Simba jana 2-0.
(b). Police bingwa wenu kafungwa na Singida ambayo ni timu ya 4 huku kwetu.

Kesho mabingwa wa nchi Dar es salaam Young Africans (Yanga) inacheza na bandari, nakushauri nunua kifurushi cha azam mapema ukiangalia jinsi timu yako inavyodhalilishwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Hivyo basi, itoshe kusema kwamba kwa faida ya battle tunawaruhusu kujitutumua ili battle isife lkn hakuna ufanano kabisa kwenye soka kwa sasa.
 
Nonsense.
Kwikwikwikwikwi

1757586332600.png
 
Mashabiki walikuwa wanataka kuona mpira uliozoeleka Simba wa free flowwing football lakini Coach kaficha silaha kuna vita kesho kutwa huwezi anika silaha zako hadharani kirahisirahisi hivyo. anyway tunaendelea ku polish kichwa kuna watu wanakitaka na hii imefanya hata vumbi la DRC liwe adimu mtaani 😁
Tarehe 16 kazi mnayo mzee, mkicheza mpira ule mliocheza dhidi ya timu dhaifu Gor Mahia basi kipigo cha 6 mfululizo kinawahusu. Bro, Yanga tupo serious, hatutanii na hatuna huruma aisee, sisi msituletee uchale mliofanya jana dhidi ya wakata mkaa Gor Mahia, mtaaibika mzee.
 
Hamna time na sisi you say?🤣🤣
Ukiacha raia mtandaoni ambao wameamua kuwajibu baada ya kuwachokoza, hakuna kiongozi anayewapa umuhimu. Nyie huko kwenu kila mtu Tanzania this, Tanzania that, kuanzia Rais wenu mpaka mawaziri na wabunge, wote issue ni Tanzania. Tayari kocha wenu naye kajiingiza kwenye mtego wa taifa lenu, naye badala a focus na timu yake ameanza kuongelea Tanzania, kenya bhn 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Huu mwaka tulikuwa na agenda ya siri na hivi vitimu vya EA, tumevipiga vyote, now hakuna kelele. Wanapotaja African league ranks hawa jamaa wanapaswa waelewe kwamba vigezo vimezingatiwa, imagine Simba imeshinda jana goli mbili lkn mashabiki wala hawajafurahi kabisa, wanaona bado wana kazi kufikia kiwango cha mtani wao, yn issue wala sio wamecheza na nani, issue ilikuwa ni kuangalia kiwango, yn imefika hatua sisi watanzania tunaziona timu za EA kama za ndondo aiseee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mengine Sawa ila kucheza kama mtan mnona wana Yanga mnajipaga sana Ukubwa!!
Mmeenda Rwanda Nn mlikifanya kwa mpira Gani mliocheza kule?
Hiyo Nje ya Ligi yetu iliojaa vitimu vya GSM nje mmefanya nn?
 
Mko masenge nyinyi...

Hamtendi haki hadi muumbuliwe sio?

Namshukuru Siro, maana ingekua sasa hivi madogo wangeozea jela bila kosa.
Sasa hata ukitukana matusi yote. Huwezi kuizuia CCM ushindi wa kishindo. Kwikwikwikwikwi
Utakufa kwa presha tu mdogo wangu. If you can't fight them join them, Tumia kanuni hiyo.

Hapa unashindana na upepo utakufa siku si zako.
 
Mko masenge nyinyi...

Hamtendi haki hadi muumbuliwe sio?

Namshukuru Siro, maana ingekua sasa hivi madogo wangeozea jela bila kosa.
CCM ni dude kuuuuuuuubwa mno. Ubeligiji na Uingereza walijaribu kupambana nalo, walipoteza pesa nyingi mno bila ya ushindi hata chembe ya mchicha. Sasa wewe kajamba nani unataka kupambana na Chama chenye members zaidi ya 13M, Utaweza kweli? kwikwikwikwikwikwi

Only Stupid ndiye anayeweza kujitutumua kijinga hivyo. Watu wakikaa kimya usidhani umewaweza. Wamekupuuza tu maana huna effect yoyote kwenye Society.
 
Sasa hata ukitukana matusi yote. Huwezi kuizuia CCM ushindi wa kishindo. Kwikwikwikwikwi
Utakufa kwa presha tu mdogo wangu. If you can't fight them join them, Tumia kanuni hiyo.

Hapa unashindana na upepo utakufa siku si zako.
Hakuna anayewazuia kushinda, shindeni tu...
 
Mengine Sawa ila kucheza kama mtan mnona wana Yanga mnajipaga sana Ukubwa!!
Mmeenda Rwanda Nn mlikifanya kwa mpira Gani mliocheza kule?
Hiyo Nje ya Ligi yetu iliojaa vitimu vya GSM nje mmefanya nn?
Bro, Rwanda tulibeba kombe usisahau, kama unadhani tulicheza vby basi tarehe 16 sio mbali, tuombe uhai tuu. Mkuu sio kama tunajikweza, mpira unachezwa uwanjani, kwa sasa Yanga ipo juu ya Simba, na kama unabisha hiyo tarehe 16 angalia mpira usiangalie matokeo, mana matokeo sio issue, yeyote anaweza kufungwa japo Yanga huwa anapewa asilimia kubwa ya kushinda, tarehe 16 sio mbali.
 
Back
Top Bottom