Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

mnaikumbuka ile floating bridge iliramba 1.5b ksh sasa hvi ni white elephant 😂😂😂
IMG_8516.jpeg
 
Ndege za kunyaland zimechakaa. 😂😂😂
View attachment 3469628
Hahahahaaaaa, eti hizi ndiyo ndege za kuleta faida 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kiukweli kabisa nilikuwa naliona hili muda mrefu sanaa, nikawa najiuliza hawa kq mbn ndege zao zimechakaa sanaa, nikadhani labda ni vile vi embraer vinavyokuja Dar kumbe ni zote, yn embraer za kenya zipo hoi mnooo, siti zimechoka mpk huwa nawahurumia abiria wanaopanda zile ndege, huwa nahofia usalama wao.
 
It is the other way round you fool. Huku ni vijana wadogo mtandaoni wanaoongelea Vumbistan. Huko kwenu Hadi Rais anatuongelea. Example, during mambo ya Boniface mwangi, your parliament spent a whole day discussing Kenya, your president talked about Kenya. Huku our parliament had no time for you. Our president said nothing about you.
Tatizo lako Bahati una hasira sn, eti Rais wenu haongelei Tanzania, alafu chakula cha bei nafuu atatoa wapi!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Viongozi wenu wote wanaongelea issue ya Tanzania kuweka sheria ya katazo la raia wa kigeni kufanya biashara za kimachinga kitu ambacho kimepelekea wakenya kuumia sanaa cz over 70% ya wakenya walio Tanzania ni machinga, 20% ni walimu na waliobaki ndiyo kidoogoo wapo kwenye vikazi vya maana. And for your information, hata hao 10% walio kwenye white collar jobs pia tunawafukuza, bakini kwenu, kwani lazima mgombanie kuja Tz!!????
 
 
nikiwa namjibu mwanaume mwenzangu tuliza kipapa anajibiwa mwanaume ajabu unawashwa wewe

hebu nitag sehemu nimeku reply msg yako? mm namjibu mtu mwengine unakuja kunishambulia mm ? vp ?




View attachment 3469731View attachment 3469732
Nimesema nakuheshimu. Usidhani maneno machafu upo nayo wewe tu.
Nimeamua kutuliza hivi. Nikileta fujo hapa uzi huu utafungwa.

Kama unataka kumjibu mtu mmoja mtumie PM. This is a public social media.

Acha ushamba kwikwikwi.
 
Back
Top Bottom