Reborn Ktb
JF-Expert Member
- Mar 14, 2021
- 6,820
- 9,588
Mechi za kujifurahisha lakini jamaa wamejitutumua mpka wanatoka jasho la meno. Yani inaonyesha vile wanatutamani 😂😂😂And you wanted Gor Mahia to win against Simba every time? That would be a monopoly! Katika mchezo wa mpira lazima kuwe na mshindi na mshindwa. Gor has always been beating Simba so sijui hii furaha yote ni ya nini and it was only a friendly match!