Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kadri siku zinavyozidi kwenda watanzania wengi wanagundua Kenya ni certain Shithole nakumbuka miaka ya nyuma watanzania wengi walikua wanachukulia Kenya kama taifa moja sane mno, kumbe ni uozo uliofichwa kwenye fake data
Propaganda
Stori za zamani za Ujamaa, vs Ubepari


Kuna jamaa yangu alienda Kenya, miezi 12 tu maisha yamemshinda anarudi mwezi huu.

Screenshot_20250906_233702_WhatsApp.jpg
Screenshot_20250906_233727_WhatsApp.jpg
 
Magari ya hivi ndo yangekuwa yanasafirisha samaki wale wa ferry. Sio kwa kutumia bajaji na daladala kama sasa
Au soko la samaki walitoe kabisa pale. Lipelekwe somewhere Kigamboni au Kunduchi kule
Lile soko pale hakuna namna walitoe tuu, zamani tulikuwa local, nowadays sisi ndiyo kioo cha maendeleo EA, so ni lazima tubadilike, yale maustaarabu ya pwani inabidi tuangalie jinsi ya ku modernize. Tunaweza tukalihamishia upande wa pili lile soko na tukatengeneza ustaarabu mzuri, hata pale kigamboni ile stand ni kama tupo miaka ya 70s aisee, eneo lipo pua na mdomo na CBD lkn linakaa kama gikomba? Alafu soko la samaki linakaa karibu na ikulu kweli? Harufu za samaki mtindo mmoja, hapana kwa kweli.
 
Back
Top Bottom