instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,602
- 19,781
Kwa hiyo wew jamaa na CCM wako mnatumia VPN sasa?
Naona na twitter mlifungia lakin post za serikali bado zipo.
Hiv mna matatizo gan?
hali ngumu sasa hvi kaka 😂😂😂hii page haifunguki.
Ni nini?
so unaomba dua? 😂😂😂Mtatoka tu kama kenya...tyari Morocco ashaqualify
Lile soko pale hakuna namna walitoe tuu, zamani tulikuwa local, nowadays sisi ndiyo kioo cha maendeleo EA, so ni lazima tubadilike, yale maustaarabu ya pwani inabidi tuangalie jinsi ya ku modernize. Tunaweza tukalihamishia upande wa pili lile soko na tukatengeneza ustaarabu mzuri, hata pale kigamboni ile stand ni kama tupo miaka ya 70s aisee, eneo lipo pua na mdomo na CBD lkn linakaa kama gikomba? Alafu soko la samaki linakaa karibu na ikulu kweli? Harufu za samaki mtindo mmoja, hapana kwa kweli.Magari ya hivi ndo yangekuwa yanasafirisha samaki wale wa ferry. Sio kwa kutumia bajaji na daladala kama sasa
Au soko la samaki walitoe kabisa pale. Lipelekwe somewhere Kigamboni au Kunduchi kule
huyu jamaa anatema sana madini 🙌🏻🙌🏻
View: https://www.instagram.com/reel/DOMkB0pDLKU/?igsh=MWZ3anI4cTE1eHB0dQ==
Hivi ni kweli sasa hivi JF ni lazima utumie VPN?Kwa hiyo wew jamaa na CCM wako mnatumia VPN sasa?
Naona na twitter mlifungia lakin post za serikali bado zipo.
Hiv mna matatizo gan?
Mwambie aende Burundi or Malawi maisha ni cheap huko.Propaganda
Stori za zamani za Ujamaa, vs Ubepari
Kuna jamaa yangu alienda Kenya, miezi 12 tu maisha yamemshinda anarudi mwezi huu.
View attachment 3467125View attachment 3467126
Yah, ni kweli.Hivi ni kweli sasa hivi JF ni lazima utumie VPN?
Kwani wewe hutamani kukimbia huko kenya kutokana na ugumu wa maisha? Ungependa kukimbia ila huwezi mana ndiyo nchi yako hiyo japo ni ya hovyo but huna pakwenda, mwenzio anapo pakwenda, ndiyo mana kaamua kurudi nchini kwake kwenye maziwa na asali, wewe baki huko huko cz hata ukitaka kukimbilia Tz siku hz tunawafukuza mfie huko huko kwenu, hatutaki wazembe na wavivu huku kwetu.Mwambie aende Burundi or Malawi maisha ni cheap huko.
Poor nations.
huyu jamaa anatema sana madini 🙌🏻🙌🏻
View: https://www.instagram.com/reel/DOMkB0pDLKU/?igsh=MWZ3anI4cTE1eHB0dQ==
Yeah. Labda web. Lakin app mpaka VPNHivi ni kweli sasa hivi JF ni lazima utumie VPN?
V8 ya msafara imeingia shimoni 😂😂
mbona maajabu haya alaf watu wameshangilia kabisa
View: https://www.instagram.com/reel/DORgG6hEbU4/?igsh=cjg3d3luYXVxbWtj
Matajiri wako mbele miaka 30
View: https://x.com/Kenyans/status/1962507125587898840?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1962507125587898840%7Ctwgr%5E%7Ctwcon%5Es1_c10&ref_url=
View: https://x.com/TheNairobiTimez/status/1961080343701676092
Vs Wale wanaitwa Masikini
View: https://www.instagram.com/reel/DOQ4zi6je8e/?igsh=ZmNqdmQxZnducWYw
Ila usishangae Nyang'au wakaja ten kuwaita hao matajiri
Yaani ndani ya wiki chache tu
Matajiri wako mbele miaka 30
View: https://x.com/Kenyans/status/1962507125587898840?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1962507125587898840%7Ctwgr%5E%7Ctwcon%5Es1_c10&ref_url=
View: https://x.com/TheNairobiTimez/status/1961080343701676092
Vs Wale wanaitwa Masikini
View: https://www.instagram.com/reel/DOQ4zi6je8e/?igsh=ZmNqdmQxZnducWYw
Ila usishangae Nyang'au wakaja ten kuwaita hao matajiri
Yaani ndani ya wiki chache tu
Njaa hamna na inakua aibu sana, imagine umebeba kasoda ka jero buku au unga seriously nyumbani upo.Ila watanzania ni wastarabu sana kwa kweli sio wanusa gundi ajali nyingi zinazowekwa humu watanzania wao wakimbilia kuokoa sio kuiba
Sio zaidi ya kukushangaa ni vile imagine upo kijiweni kwenye utani unaambiwaWatanzania labda gari la mafuta ndiyo huwa naona wanchota sio
vyakula na vinywaji ukiiba wanakushangaa kweli njaa ni mwana haram