Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We Jamaa daily akili zako zinazidi kupukutika.

Eti Zanzibar is not part of Taifa stars na unajifanya kweli unajua mpira.

Bila shaka Certified Nicompoop linawafaa.

Kuna Nicxie hajui mlicheza Qualifying Match.

It proves jinsi gani mlivyo washamba.
Mtu anasema amecheza World Cup juu alicheza qualifying matches atanifunza nini juu ya mpira?
 
sijaona majibu niliokuuliza 😂😂👇🏻👇🏻

so kiwango cha lami ni km ngap ? hebu fafanua vzr 😂😂😂😂😂

maana magufuli aliacha 13,000 zikiwa zimekamilika na over 2000 km zikiwa under construction haya sasa tueleze so far barabara za lami ni km ngap ???

deni from 57 to 107trillion within 4 good yrs

na uniambie ukweli maana mm ni mtanzania sitaki mambo ya kuaibishana hapa tafadhali
Akikupatia majibu najiondoa jamii forum
 
KDF inajiharia tu ndio maana mtoto wa mseven alisema anaweza kuiteka nairobi within a week na yuko right 😂😂😂😂

View: https://x.com/citizentvkenya/status/1963303258350346570?s=46

Kunyaland ni central and southern tu huko kwengine hata Rais hajawahi kwenda 😁😁😁 Kunyaland sio nchi ni kaeneo tu kadogo wanapopatikana wakikuyu, kalenjin, Luo na jaluo 😁 ukipandisha huko juu kwa kina fardosa ni free homeless state hata wewe ukitaka uende ujitwalie mamlaka unaweza 😁😁😁 yaani ni kanchi kadogo nusu ya Tanzania lakini wameshindwa kukitawala chote
 
Jeshi la wapiga selfie
Haina hata intelligence unit kujua nani anaingia nchini kwa lengo gani watajitetea ugaidi upo complex kudeal nao wakati Tanzania pia kulikua na matukio ya aina hiyo ndani ya nchi, pia wanajiliwazaga ni sababu wamepakana na Somalia yenye gaidi wengi wanasahau pia Tanzania ilipitia hali kama hiyo kutokea Mozambique lakini ilichukua miezi kadhaa tu mpaka Mozambique tukaisafisha
 
Haina hata intelligence unit kujua nani anaingia nchini kwa lengo gani watajitetea ugaidi upo complex kudeal nao wakati Tanzania pia kulikua na matukio ya aina hiyo ndani ya nchi, pia wanajiliwazaga ni sababu wamepakana na Somalia yenye gaidi wengi wanasahau pia Tanzania ilipitia hali kama hiyo kutokea Mozambique lakini ilichukua miezi kadhaa tu mpaka Mozambique tukaisafisha
Actually tuliwahi kuwa na scenario hizo miaka mingi sana, njia ya kutoka kigoma na bukoba au maisha ya kigoma ilikuwa changamoto.
Kuna Kijiji kimoja kinaitwa kasanda ilifikiaga hatua ukiona jirani yako amevamiwa leo kesho unajua ni zamu yako sasa ole wako ukimbie
 
mwaiofhawaii Kenge wa Non NATO ally kelele vingi sijui Special Ushuzi linchi linatiwa vidole na Kenya Drinking force ipo tu
😂😂Buffalo44, shida ni mnashangilia kita ambacho hamuelewi. Hao Jubaland forces wakiwa na militia groups wengine kama ras kamboni brigade e.t.c ni proxies groups partialy funded,trained supported by kenya kutoka 201l since the beginning of the invasion into south somalia(Jubaland), to fight and capture alshabab key held territories. Na pia kenya inawatumia ku undermine Mogadishu na kumaintain buffer zone ya vita between kenya na central Somalia.
 
mwaiofhawaii Kenge wa Non NATO ally kelele vingi sijui Special Ushuzi linchi linatiwa vidole na Kenya Drinking force ipo tu
Somali national army na jubaland forces hua hawaskilizani na hu pigana mara kwa mara. This time jubaland forces alilemewa na akakimbia kenya kutake refuge na ku regroup ili waweze kuendelea na vita yao na SNA... KDF considers Jubaland force as a friendly force and an ally, hakuna venye wanaeza anzisha vita nao, although wamekosa kwasababu they have undermined Kenya's territorial integrity since the conflict has spilled over into kenya's borders thus creating risk to its citizens.
 
Back
Top Bottom