Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wanakumbuka shuka kumeshakucha
20250905_175709.jpg
 
Unaweza kusoma zaidi hapa:

hio ni jamii forum article mzee 😂😂😂
IMG_8418.jpeg


IMG_8419.jpeg
 
Sidhani kama ni kweli. Nkrumah kwanza hakuwa na nguvu.

Alipinduliwa akakimbia nchi, na kufia Uhamishoni.

Hata uwanja wa Ndege Ghana unaitwa Asante Kotoka, Mwanajeshi aliyempindua.
Nkrumah alijitangaza Rais wa Maisha Ghana wanajeshi wakasema naye. Hata Nyerere kutokubali falsafa ya Africa Unite kwa mrengo wa Nkrumah ni kwamba aliishaona kuwa Nkrumah anajiandaa kuwa Rais wa Afrika, Nyerere akatumia influence yake kupinga ideology yake na kuja na mtazamo mwingine wa RECs, hata hiyo heshima kidogo kapewa ni sababu tu ya heshima ya Pan Africanism na yeye kuwa Pan Africanist wa kwanza kuipa nchi yake uhuru, otherwise Nkrumah angetuburuza sana kama angefanikiwa.
 
hio ni jamii forum article mzee 😂😂😂
View attachment 3466021

View attachment 3466024
Hata wewe uliyoweka ni Model ya AI mtu anaweza kuweka tu na kupotosha ukweli. Mimi nakupatia ukweli.

Brother hayo yote ni makosa yaliyo endelezwa.
Kipindi cha kupigania Uhuru wanawake walikuwa wanakuwa na initial za Bi. likiwa na maana ya Ms.

Hayo makosa yaliendelezwa ilikupoteza heshima yake. Wakati wanapigania uhuru alikuwa ni mdogo na siyo Bibi

Nitakuletea vitabu usome.

Hayo makosa yalirithiwa na yanaendelezwa.
 
Nkrumah alijitangaza Rais wa Maisha Ghana wanajeshi wakasema naye. Hata Nyerere kutokubali falsafa ya Africa Unite kwa mrengo wa Nkrumah ni kwamba aliishaona kuwa Nkrumah anajiandaa kuwa Rais wa Afrika, Nyerere akatumia influence yake kupinga ideology yake na kuja na mtazamo mwingine wa RECs, hata hiyo heshima kidogo kapewa ni sababu tu ya heshima ya Pan Africanism na yeye kuwa Pan Africanist wa kwanza kuipa nchi yake uhuru, otherwise Nkrumah angetuburuza sana kama angefanikiwa.

Nimependa sana andiko lako. Mara nyingi kila napoingia kwenye mijadala hii huwa najiona bado sana sijayajua mambo na ni kweli...mfano hapo huo unaosema mtazamo wa RECs ni jambo jipya ningependa kufahamu zaidi. Too bad mambo mengi hayapo documented.
 
Back
Top Bottom