babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,901
- 34,897
Hapa ni Bongo Kweli?
Dodoma station hio. Very clean kama imefunguliwa jana. Kusema ukweli quality ya hii SGR infrastructure ni ya hali ya juu.Hapa ni Bongo Kweli?
sasa hvi ananuswa makalio 😂😂😂😂
View: https://www.instagram.com/p/DOL6O3lDE3z/?igsh=MXU3bm1raTc2ZDFpcg==
Hi
Hizi buildings NHC wangezipata rangi tofauti tofuati pangekuwa noma sana!!
Chole na Haile Selasie wangezijengea na side walk zingekuwa poa sana.Ni bora kuliko kufumua uanze upya. Za Masaki zimependeza sana hasa baada ya kuweka lines na signs.
Nyerere hakumkubali sana Nkrumah, walikuwa mafahari wawili kwenye zizi moja.RRONDO
Hivi Kwa nini Nyerere alimpa Nkrumah kamtaa kadogo hivyo, maana kipindi hicho, Samora bado ilikuwa inaitwa independence Ave.
Hilo hata mimi niliona. Imagine zingekuwa kama Toure drive kipande cha Sea Cliff hadi coco Beach. Nafikiri long term plan Haile Selassie inabidi iwe dual na service road mwanzo mwisho. Nafasi inaruhusu.Chole na Haile Selasie wangezijengea na side walk zingekuwa poa sana.
Na za town wakifanya hakika zitanoga, hizi round about zimenakishiwa sanamu zenye mandhari ya na historia ya Dar es Salaam wakire-capet na barabara zake wakaweka na street lights na hapo NHC anarepair na kupaka rangi majengo yake basi tumamaliza kazi ibaki kazi kabisa.Baada ya kupiga sana kelele main roads za Masaki zimewekwa lami mpya juu ya lami za zanani sasa zinapendeza na kuvutia.
Bado mitaa ya Posta lami za zamani zimechoka inabidi zirudiwe. Samora,Mkwepu,Indira Ghandi etc inabidi zipigwe msasa.
Hawauwezi mziki wa Singida.
Ha ha ha kama zile za Cuba,Brazil au Panama unakuta jengo moja la njano,jingine Orange,KijaniHi
Hizi buildings NHC wangezipata rangi tofauti tofuati pangekuwa noma sana!!
Nimeona wameanza kukata mashimo wanaanda viraka I hope wakimaliza viraka wataweka lami mpya juu yake. Kama pale mtaa wa India mbele ya NMB pabovu sana panatia aibu.Na za town wakifanya hakika zitanoga, hizi round about zimenakishiwa sanamu zenye mandhari ya na historia ya Dar es Salaam wakire-capet na barabara zake wakaweka na street lights na hapo NHC anarepair na kupaka rangi majengo yake basi tumamaliza kazi ibaki kazi kabisa.
sasa hvi ananuswa makalio 😂😂😂😂
View: https://www.instagram.com/p/DOL6O3lDE3z/?igsh=MXU3bm1raTc2ZDFpcg==
Hi
Hizi buildings NHC wangezipata rangi tofauti tofuati pangekuwa noma sana!!