Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kumbe mnqshikishwa ukuta na hamsemi
View attachment 3465739
😂😂😂
1757079775669.jpeg
 
Baada ya kupiga sana kelele main roads za Masaki zimewekwa lami mpya juu ya lami za zanani sasa zinapendeza na kuvutia.

Bado mitaa ya Posta lami za zamani zimechoka inabidi zirudiwe. Samora,Mkwepu,Indira Ghandi etc inabidi zipigwe msasa.
Na za town wakifanya hakika zitanoga, hizi round about zimenakishiwa sanamu zenye mandhari ya na historia ya Dar es Salaam wakire-capet na barabara zake wakaweka na street lights na hapo NHC anarepair na kupaka rangi majengo yake basi tumamaliza kazi ibaki kazi kabisa.
 
Na za town wakifanya hakika zitanoga, hizi round about zimenakishiwa sanamu zenye mandhari ya na historia ya Dar es Salaam wakire-capet na barabara zake wakaweka na street lights na hapo NHC anarepair na kupaka rangi majengo yake basi tumamaliza kazi ibaki kazi kabisa.
Nimeona wameanza kukata mashimo wanaanda viraka I hope wakimaliza viraka wataweka lami mpya juu yake. Kama pale mtaa wa India mbele ya NMB pabovu sana panatia aibu.
 
Back
Top Bottom