RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,879
- 129,906
Hivi ujenzi wa barabara ya Bagamoyo-Sadani-Pangani-Tanga umeishia wapi? Hapo kati niliona wameweka tena jiwe la msingi kwa mbwembwe,ujenzi umefikia wapi?Kuongeza ubusy wa JNIA serikali ikubali ku upgrade sadani national park,selou na mafia,ila nasikia serikali haitaki ili kulinda blue safari ya znz,halafu kwenye muungano utalii kila mtu kivyake
ichoboy01