ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
so far sina any update ila kama ujenzi ungekua unaendelea lazma updates zingekuwepo siunajua awamu hii ilivokua na mbwembwe 😂😂😂😂😂 ungeona picha nyingi sana na sifa kibaoHivi ujenzi wa barabara ya Bagamoyo-Sadani-Pangani-Tanga umeishia wapi? Hapo kati niliona wameweka tena jiwe la msingi kwa mbwembwe,ujenzi umefikia wapi?
ichoboy01