Nani anatukana?
Share matusi hapa.
nani anachafua nchi?
Wanachafuaje.
Unatakiwa kujua CCM na nchi ni vitu viwili tofauti, kijana.
Kutendeana haki nyie wenyewe nyumbani siyo lazima mlazimishwe na watu wa nje.
Kwanza watu wa nje ndio.wanapenda msielewani hapo ndani, ili WAWAINGILIE mpigwe.
TZ ni TZ, na nje ni nje.
Kma una famiia yako nyumbani. Kuijali utu, soyo lazima jirani akwambie.
Hiyo ni mantiki ndogo tu.
Kuangusha taifa vipi?
Watu wanaozungumza wakiwa hawana hata wembe, ndio waangushe taifa??
Kutukanaje?
Leo kila taasisi ya umma haitendi haki.
Hao wanasiasa, mikitanoni hawatakiwi, bungeni hawatakiwi, mahaamani hawatakiwi.
Unatakaje ?
Wavunje usalama.
Waingie msituni, huko washirikiane na Kagame, Ulaya na Marekani ndio ziwe siasa??