Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

buffalo44 tutafika tuu, hata kama tutakuwa tumechoka.

Nchi hii tukipata kiongozi mzalendo, atakaye fyeka mtandao wote, tutatoka haraka sana, hasa katika hiki kipindi ambapo EU wapo dhaufu.
Ila inasikitisha kuona watu maendeleo pekee wanayofikiri ni uhuru wa kutukana, kupinga pinga ikiwezekana kuichafua nchi ili mradi waonekane wapo sahihi bila kujali madhara.

Sidhani even kuna nchi yoyote inayochekea watu wa aina hiyo.

Watu wanasema ulaya na Marekani zina demokrasia etc

Ukiangalia hata kule kuna sehemu ukigusa (ambayo taifa linaitegemea kustabilize) wanakupoteza.

Mbona Edward Snowden hawakumpa uhuru? USA utachongaaa weee ila Jaribu kuingilia Security tuone.

Mbona hawatoi uhuru kwa watu wa Antisemitic or maagenda yao ya kiwaki like LGBTQ.

Ajabu watu wanataka uhuru sehemu ya kuangusha taifa.

Kwani wangapi wanatukana humu? Wangapi wanatukana Instagram na Facebook?

Yes watawala ni wapuuzi, ila huyo mtu mwenyewe mtaani akifanyiwa hivyo anataka ugomvi.
 
Mzee unataka nini zaidi ikiwa kuna strong laws three laws ambazo zinajibu kilio chako cha muda mrefu kama nchi? Bado zinapingwa.

Tukisema tusikilize kila mtu tutafika wapi?

Sikatai Kelele (Criticism) kuna constructive pia.

Nakataa pinga pinga ya kila kitu hata chenye manufaa kwa nchi.

Yaani kudandia hoja daily kupinga pinga kuona eti watu wafeli upate hoja wakati akifeli kama taifa tunapata pigo zito.


Huyo mtu wa aina gani?
Nani anapinga hizo sheria?

Watu lazima wapige kelele ili tufike.

Nchi yetu hii, kwasasa hata Katiba hatuiheshimu, bila kelele hizo sheria zitabaki maandishi tu.

Kuna uzuri wa sheria na kuziheshimu
 
Mkiambiwa health sector yenu ipo mkiani mnakasirika, Tanzania vitu kama hivi ni grassroot level


View: https://x.com/mkushi_jiga/status/1671893302428200960?t=xH5xTWpc0gm_OTUI-TdtQg&s=19

Unajua wewe hua nakuewlewa ju unakuanga mjinga, primary school dropout nani alikuambia hospitali za Kenya hazina oxygen plants? Unataka kucompare a 20 tonne per day oxygen generation plant na hizo plants ndogo za hospitali. Enyewe siwezi kulaumu ju wewe ni primary school dropout. 🤣 🤣 🤣
 

Nchi ya kihuni sana.

Na wanataka Tanzania ijitoe EAC kwa huu ujinga wa nchi moja kuhodhi makundi ya uasi nchi nyingine. Nani atatumika kubalance or kustabilize situation wakianza kufungiana mipaka?

No Wonder COW ilikufa, imagine mnaanzisha COW then kuna Uganda na Rwanda wanafungiana mipaka, kuna Kenge wa Kenya anahodhi waasi.

Duh!
 
Ila inasikitisha kuona watu maendeleo pekee wanayofikiri ni uhuru wa kutukana, kupinga pinga ikiwezekana kuichafua nchi ili mradi waonekane wapo sahihi bila kujali madhara.
Nani anatukana?

Share matusi hapa.

nani anachafua nchi?

Wanachafuaje.

Unatakiwa kujua CCM na nchi ni vitu viwili tofauti, kijana.
Sidhani even kuna nchi yoyote inayochekea watu wa aina hiyo.

Watu wanasema ulaya na Marekani zina demokrasia etc
Kutendeana haki nyie wenyewe nyumbani siyo lazima mlazimishwe na watu wa nje.

Kwanza watu wa nje ndio.wanapenda msielewani hapo ndani, ili WAWAINGILIE mpigwe.
Ukiangalia hata kule kuna sehemu ukigusa (ambayo taifa linaitegemea kustabilize) wanakupoteza.

Mbona Edward Snowden hawakumpa uhuru? USA utachongaaa weee ila Jaribu kuingilia Security tuone.
TZ ni TZ, na nje ni nje.

Kma una famiia yako nyumbani. Kuijali utu, soyo lazima jirani akwambie.

Hiyo ni mantiki ndogo tu.
Mbona hawatoi uhuru kwa watu wa Antisemitic or maagenda yao ya kiwaki like LGBTQ.

Ajabu watu wanataka uhuru sehemu ya kuangusha taifa.
Kuangusha taifa vipi?

Watu wanaozungumza wakiwa hawana hata wembe, ndio waangushe taifa??

Kwani wangapi wanatukana humu? Wangapi wanatukana Instagram na Facebook?

Yes watawala ni wapuuzi, ila huyo mtu mwenyewe mtaani akifanyiwa hivyo anataka ugomvi.
Kutukanaje?

Leo kila taasisi ya umma haitendi haki.

Hao wanasiasa, mikitanoni hawatakiwi, bungeni hawatakiwi, mahaamani hawatakiwi.

Unatakaje ?

Wavunje usalama.

Waingie msituni, huko washirikiane na Kagame, Ulaya na Marekani ndio ziwe siasa??
 
Nani anapinga hizo sheria?

Watu lazima wapige kelele ili tufike.

Nchi yetu hii, kwasasa hata Katiba hatuiheshimu, bila kelele hizo sheria zitabaki maandishi tu.

Kuna uzuri wa sheria na kuziheshimu
I am talking the country as whole mkuu. Siongelei sijui huu uchawa as matter of fact Mimi sipo na huu utawala.

Naongelea swala zima ya hao unaowambia wanapiga kelele, may be kwa sasa kelele zao zinaweza kua right.

Ila hao hawaeleweki wanataka nini? Hizo Sheria 3 Lissu mwenyewe alizipinga wazi wazi na kusema tutashtakiwa MIGA unless umeanza kufatilia siasa recently.

Kwa hiyo unataka mimi nimuunge mkono Lissu kisa yuko right recently wakati ndio yuko hivyo hata mambo yanyooke?

Niambie hao wote wenye kelele kuna jema gani waliwahi pongeza?
 
Nani anatukana?

Share matusi hapa.

nani anachafua nchi?

Wanachafuaje.

Unatakiwa kujua CCM na nchi ni vitu viwili tofauti, kijana.

Kutendeana haki nyie wenyewe nyumbani siyo lazima mlazimishwe na watu wa nje.

Kwanza watu wa nje ndio.wanapenda msielewani hapo ndani, ili WAWAINGILIE mpigwe.

TZ ni TZ, na nje ni nje.

Kma una famiia yako nyumbani. Kuijali utu, soyo lazima jirani akwambie.

Hiyo ni mantiki ndogo tu.

Kuangusha taifa vipi?

Watu wanaozungumza wakiwa hawana hata wembe, ndio waangushe taifa??


Kutukanaje?

Leo kila taasisi ya umma haitendi haki.

Hao wanasiasa, mikitanoni hawatakiwi, bungeni hawatakiwi, mahaamani hawatakiwi.

Unatakaje ?

Wavunje usalama.

Waingie msituni, huko washirikiane na Kagame, Ulaya na Marekani ndio ziwe siasa??
Dah! I think Boss you are in present zaidi.

My point ipo on whole scope kama nchi toka Kipindi cha Mzee until now.

Unless hukua ulingo wa siasa na umewakuta hao wenye kelele wapo right time ya huyu SAMIA
 
Yaani oxygen gas ambayo Tanzania mpaka ward medical centers zinaproduce ninyi ni mpaka international investment iingie?
While we were equipping our hospitals with oxygen plants during covid, si mlikua munakunywa maji ya ndimu. Right now you think you are so clever. 🤣 🤣 🤣
 
I am talking the country as whole mkuu. Siongelei sijui huu uchawa as matter of fact Mimi sipo na huu utawala.

Naongelea swala zima ya hao unaowambia wanapiga kelele, may be kwa sasa kelele zao zinaweza kua right.

Ila hao hawaeleweki wanataka nini? Hizo Sheria 3 Lissu mwenyewe alizipinga wazi wazi na kusema tutashtakiwa MIGA unless umeanza kufatilia siasa recently.

Kwa hiyo unataka mimi nimuunge mkono Lissu kisa yuko right recently wakati ndio yuko hivyo hata mambo yanyooke?

Niambie hao wote wenye kelele kuna jema gani waliwahi pongeza?
Hakuna mtu anayesema nani alikuwa sahihi.

Mwanasiasa kazi yake ni kelele na siyo lazima awe sahihi.

Ndio maana huwa kuna kura za wananchi.

Katika masuala unayotakiw amujua KELELE za wanasiasa na HESHIMA ya kura zinatakiwa kuwa sehemu ya USALAMA wa NCHI.


Kwasababu watu wanajua sehemu ya kelele na kupumua, na wakikosa haki wanaenda mahakamani.

Ndio usalama tuliochagua.

DRC kila mwanasiasa na kikosi msituni. Rwanda na Burundi wana vikosi msituni.

West Afrika ni wanasiasa wanapinduana kila siku.


Leo, kwetu hapa shati la kijani ni kinga za wahuni. Ila ukipiga kelele zako bila hata wembe unaonekana wewe ndio adui wa nchi.
 
Dah! I think Boss you are in present zaidi.

My point ipo on whole scope kama nchi toka Kipindi cha Mzee until now.

Unless hukua ulingo wa siasa na umewakuta hao wenye kelele wapo right time ya huyu SAMIA

Hawa wananenda na MDUNDO ndio wazalendo.
 
Image
 
Hivi kweli hakukuwa na mtu mwingine wa kushindanishwa na Ridhwani pale Chalinze?
Sasa brother jimbo moja la Chalinze ndilo liwakilishe majimbo yote Tanzania?

Kaka acha wivu hizo ndizo siasa kaka. Hata huko kwa aanzilishi wa siasa mambo yapo hivyo Bill Clinton alikuwa president lakini baadae mke wake akawa 67th United States Secretary of State

Unalalamika bure tu bila hata ground
 
Sasa brother jimbo moja la Chalinze ndilo liwakilishe majimbo yote Tanzania?

Kaka acha wivu hizo ndizo siasa kaka. Hata huko kwa aanzilishi wa siasa mambo yapo hivyo Bill Clinton alikuwa president lakini baadae mke wake akawa 67th United States Secretary of State

Unalalamika bure tu bila hata ground
Heshima ya kura ni sehemu ya usalama wa nchi.

Leo usalama ukizorota hao kina Ridhiwani au nyie vijana wa CCM hamtaweza.


Vita yetu ya Kagera kila MTZ aliahiriki, na waganda walitoa ushirikiano kwetu kwasababu hawakumpenda Iddi Amini.
 
Back
Top Bottom