buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 5,126
- 13,106
Wanavyolipamba sasa
Hao ni matapeli. Hata leo ikiwa madarakani CHAUMA na wao watakuwa CHAUMA.Mtatafuta uongo wa kila aina. Kwikwikwikwi sasa hivi mmeshindwa kupambana na Tanzania mmeanza kupambana na CCM pole yenu.
Alikiba ni Mwana CCM
View attachment 3459815
I don't careHao ni matapeli. Hata leo ikiwa madarakani CHAUMA na wao watakuwa CHAUMA.
I don't care
kisumu au mombasa ikionekana munitag😂
View: https://www.instagram.com/p/DNyE5OP0CCX/?igsh=MjdsN3g2ZXVqdHU1
Nyau mashauzi si ndio zaoWanavyolipamba sasa
kisumu au mombasa ikionekana munitag😂
View: https://www.instagram.com/p/DNyE5OP0CCX/?igsh=MjdsN3g2ZXVqdHU1
Hiyo sura ya nani kaka 🤣 🤣 🤣 🤣 Mbona inafanana na wakenya? Huyo siyo Teargass kweli?
Yule ChoiceVariable anisamehe sana,sikujua kwenye huu uzi kuna kilaza zaidi yake,nilikua nikimuattack sana kumbe ana unafuu mkubwa mnoMshaanza kuharibu huu uzi na masiasa yenu.
Achana haya mambo.
Kwikwikwikwi Mbona unahangaika sana na personalities za watu? Jadili mada. Kama kaka hujui siasa acha kujadili siasa.Yule ChoiceVariable anisamehe sana,sikujua kwenye huu uzi kilaza zaidi yake,nilikua nikimuattack sana kumbe ana unafuu mkubwa mno
si hatutaki kukosolewa kaka 😂😂😂Kwahio JKIA na kelele zoote imeizidi Zanzibar flights 16 tu?
HehehYule ChoiceVariable anisamehe sana,sikujua kwenye huu uzi kuna kilaza zaidi yake,nilikua nikimuattack sana kumbe ana unafuu mkubwa mno
Wewe ni mpumbavu zaidi ya huyo unaejadiliana nae.Yule ChoiceVariable anisamehe sana,sikujua kwenye huu uzi kuna kilaza zaidi yake,nilikua nikimuattack sana kumbe ana unafuu mkubwa mno