Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wiki iliyopita alipost hiyo barabara akaambiwa iko under construction akawa anabisha naona leo kajipiga Kidole cha mkundru. 😂😂😂
Barabara zenu zote hua under construction. 🤣 🤣

Image
 
Si walisema hao mofat cjui nani nani watapewa route 1? Zen route nyingine wapewe wengine ili kupima performance? Iweje waanze kuchukua na route nyingine? Hapa kuna kitu hapa, mwishowe watachukua route zotee alafu yarudi yale yale.
kaka tulia mchengelwa mkwe wetu anafanya kazi wala musiwe na wasiwasi muhimu sisi tushangilie kila kitu😀😀😀

alaf yupo mtoto wetu mpendwa sijamtaja hapo aliotuletea DP world na mambo mengine
 
Haha that is kibondo almost 1400 from dar na hapo wanajenga stendi mpya , sasa imagine nyinyi tu hapo mandera mmeshindwa hata kupalinda
Muhoozi kijana wa Museveni alipokuwa anapost kwamba anaweza kuiteka Kenya nzima within 3 weeks tulimuona mjinga, kumbe ni kweli bhana🤣 just imagine Jubaland na sio Somalia, wameteka Mandera within 23 hours, Tanzania 🇹🇿 tutaiteak kunyaland within 6 minutes kmmke🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom