ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Mshaanza kuharibu huu uzi na masiasa yenu.Mwamba huyu hapa anawakondesha wazembe na wasiolitakia mema Taifa letu. Unaumia sana kuona nchi inaongozwa na mwanamke. Nyie wahafidhina mnashida sana Kwikwikwikwikwi Taifa lipo salama
View attachment 3459827
View attachment 3459832
View attachment 3459836
Imagine Hawa ndo wanaisema kila siku Dar ati haina sidewalks.ile upperhill hua hamuoneshwi na mukioneshwa ni kwa juu juu tu tena makeup ya kutosha 😂😂😂😂😂
View attachment 3460022View attachment 3460023View attachment 3460024View attachment 3460025View attachment 3460027View attachment 3460028View attachment 3460029
Bahati mbaya hamjui kushona nguo mnaangiza toka kwa malkia Elizabeth KwikwikwikwikwiHata kushona nguo pekee mnataka mpigiwe makofi?
Sawa kaka nimeacha. Na wao waambie waache siasa zao chafu. Tu deal na battle.Mshaanza kuharibu huu uzi na masiasa yenu.
Achana haya mambo.
Exactly! Mambo ya Siasa yana jukwaa lake.Mshaanza kuharibu huu uzi na masiasa yenu.
Achana haya mambo.
MADUKA HAYA UTAPATA JEZI YA SIMBA REJAREJA - Kundustan Mtafika lini huku?
1. Magomeni Mikumi 👉@mr.punguzosports
2.Kawe 👉@maokoto_brands
3.Tandika 👉@asmajaphary
4.Tabata Maji Chumvi 👉@masacha_boutique
5.Kinyerezi👉 @joymavazi
6.Songwe 👉@chazy_fashion
7.Kariakoo 👉@nditto_simba
8.Mwenge 👉@almaina_shoespoint
Orodha ya maduka inaendelea itapostiwa tena hapa hapa Clouds
Endelea kuweka oda ya mzigo wa jumla kwenye maduka ya DAUDA STORE ili upate ofa hii ya matangazo bure[ Weka oda kwa @shaffihdauda_tz @dauda_sportsstore_sinza @daudasportstore_tabata @daudasports__ ]
View: https://www.instagram.com/p/DOAz3yTDDTD/
Hao ni matapeli. Hata leo ikiwa madarakani CHAUMA na wao watakuwa CHAUMA.Mtatafuta uongo wa kila aina. Kwikwikwikwi sasa hivi mmeshindwa kupambana na Tanzania mmeanza kupambana na CCM pole yenu.
Alikiba ni Mwana CCM
View attachment 3459815
I don't careHao ni matapeli. Hata leo ikiwa madarakani CHAUMA na wao watakuwa CHAUMA.
I don't care
kisumu au mombasa ikionekana munitag😂
View: https://www.instagram.com/p/DNyE5OP0CCX/?igsh=MjdsN3g2ZXVqdHU1
Nyau mashauzi si ndio zaoWanavyolipamba sasa
kisumu au mombasa ikionekana munitag😂
View: https://www.instagram.com/p/DNyE5OP0CCX/?igsh=MjdsN3g2ZXVqdHU1
Hiyo sura ya nani kaka 🤣 🤣 🤣 🤣 Mbona inafanana na wakenya? Huyo siyo Teargass kweli?
Yule ChoiceVariable anisamehe sana,sikujua kwenye huu uzi kuna kilaza zaidi yake,nilikua nikimuattack sana kumbe ana unafuu mkubwa mnoMshaanza kuharibu huu uzi na masiasa yenu.
Achana haya mambo.