Tanzania ina model tofauti na Wakundustan.
Tanzania inafanya Low Density, High Quality, High priced Tourist products. Angalia tu bei za one night Four seasons serengeti au Manta resort achilia mbali Thanda island.
Linganisha na Kundustan ( Mass Tourism) ambapo mpaka backpacker ( mtalii mwenye kitanda na tent yake analipa tu 10 Usd) ukute hata misosi kabeka yake. Atashindana wapi na High Quality High priced tourist products za Tanzania, Thanda Island room ni US$33,300 per night, na lazima uwe na minimum 5 nights ndio uweke pulizo zako pale 😂😂😂😂
Vivyo hivyo kwenye mambo mengine hawajui kwa kuwa wamechimbia vichwa chini na wanapenda sifa.
Mtanzania soon tena wa Mbagala atakua anatembelea bus lenye AC na Free Wi-fi while Tajiri yupo kundustan anasambaza tu kunguni. Yaani kunguni wa nyumbani anapelekwa Kwenye lorry linalozaimishwa liwe bus na kunguni wa Kwenye lorry anarudishwa nyumbani yaani ni mixed kunguni breed zinabadilisha tu mazIngira. Kuna kunguni anaweza kunduankarudi getho flani mara kadhaa😂😂😂😂😂😂😂