Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Maza ana siasa za visasi na watu wote walio ingia kwenye 18 zake kawalima ikiwamo Gwajima aliyemtaka akatwe mbele ya mkutano mkuu. Kwa data nilizo nazo, Ummy alisikika akisema Maza hatoshi na alikuwa akimback January ndio wakatoa yeye uwaziri, na wamekula tena ubunge.
You cannot be against the head of state ukabaki salama. Yupo na bahati kakutana na Rais mwenye huruma.

Uwezi ukahujumu state while you are working under that state

Rais siyo mtu mdogo. Elewa hilo
 
Mzee acha kututusi waafrika. Kama afrika imekushinda ondoka.
Ukweli ndio huo,ubinafsi na giza,kama tusingekua na vitu hivyo hapa duniani kusingekua na bara linalotufikia kimaendeleo,kwenye hili jukwaa tunaongelea maendelo ya nchi zetu,but si TZ wala kunyaland inayofikia kimiundo mbinu,sekta ya afya n.k moldova,nchi ambayo ni maskini zaidi europe
 
You cannot be against the head of state ukabaki salama. Yupo na bahati kakutana na Rais mwenye huruma.

Uwezi ukahujumu state while you are working under that state

Rais siyo mtu mdogo. Elewa hilo
I never said what she did was sensible.
Nilikuwa natoa ufafanuzi juu ya swali la Chamoto akitaka kujua nini Oddo alifanya kukatwa.
 
Maza ana siasa za visasi na watu wote walio ingia kwenye 18 zake kawalima ikiwamo Gwajima aliyemtaka akatwe mbele ya mkutano mkuu. Kwa data nilizo nazo, Ummy alisikika akisema Maza hatoshi na alikuwa akimback January ndio wakatoa yeye uwaziri, na wamekula tena ubunge.
Ni inacurities tu.
 
Afrika ni bara la giza,visasi vipo kwa kila anaeweza kulipa kisasi kwa mbaya wake,kwa upande huo maza na magu wapo kundi 1
Basi hata viwe na maana.

Hivi vijana kama yule jamaa wa Songwe akiyechoma picha, Soka, Mdude wana madhara gani kwa taifa??

Tena yule jamaa wa picha yawezekana hata dishi lake halikuwa sawa.
 
Ukweli ndio huo,ubinafsi na giza,kama tusingekua na vitu hivyo hapa duniani kusingekua na bara linalotufikia kimaendeleo,kwenye hili jukwaa tunaongelea maendelo ya nchi zetu,but si TZ wala kunyaland inayofikia kimiundo mbinu,sekta ya afya n.k moldova,nchi ambayo ni maskini zaidi europe
Wewe ni kibaraka wa wazungu. Damu zilizomwagwa za dugu zetu kupamabana dhidi ya unyonyaji wa kikoloni leo hii unawatukana waafrika. Huenda wewe siyo mwafrika.

Umeniudhi sana kwa kutuna waafrika.
 
Wewe ni kibaraka wa wazungu. Damu zilizomwagwa za dugu zetu kupamabana dhidi ya unyonyaji wa kikoloni leo hii unawatukana waafrika. Huenda wewe siyo mwafrika.

Umeniudhi sana kwa kutuna waafrika.
Acha kutafuta kichaka cha kujifichia,ukweli ndio huo,na shida inaanzia viongozi wa kiafrika kwao siasa ni ajira,ndio maana hata wanapofanya makosa awajiuzulu,na hata utakuta kiongozi anamuandaa mwanae aje kuwa kiongozi,demokrasi ya kweli hamna na ndio maana hawana hofu ya wapiga kura,hali hiyo ndio inafanya bara letu liwe kituko pa1 na rasilimali zote
 

View: https://x.com/dube_mthoko/status/1723433278403682556
Maku wivu upi tena,ww kwa ushamba wako ndio umeleta habari za rais wa fifa kuwepo ukidhania labda hajawahi kufika TZ,mimi nilichokifanya ni kukuonesha tu kama alishawahi kufika TZ,na alienda hadi kijiji cha michezo kigamboni,acha ushamba maku,infantino anajua hadi makolo walichezea goli 5 kwa Yanga 😂

We mbwa niwapi nimekumention au bongolala yeyote? Si ni wewe umejileta kwa post yangu ya Infantino akikagua Talanta Stadium, wewe na insecurities zako ukaleta za bongoslum as if hajawai tembelea nchi zingine za East Africa. 🤣 🤣 🤣
 
Teargass na wenzako tuambieni maandalizi ya final yakoje!!?? Nimecheka sana. Mnavyoongea kwenye social media.

Sijawahi kuona maandalizi mabovu kama haya yaliyofanyika Kenya. Sijui ni umaskini wao au Ushamba wao.
Unaumia sana bongolala. Tuliza kende zako. And just to remind you, maandalizi ya CHAN yalifanywa na CAF across the three hosting cities, your glorified fishing village included
 
Hapo sawa. Kumbuka Ummy alikuwa waziri aliyewekwa na huyo aliyekuwa anamuhujumu.

Angemshikia bango leo ummy angekuwa mfungwa kwa uhaini. Sema alisamehewa.
Akuna uhaini kwenye kusema "flani atoshi" or kama alivyosema Ndugai juu ya kukopa hovyo.
Hii ni kudisaprove uwezo wake kuwa hawezi, hafai, hatoshi; simple!
 
Basi hata viwe na maana.

Hivi vijana kama yule jamaa wa Songwe akiyechoma picha, Soka, Mdude wana madhara gani kwa taifa??

Tena yule jamaa wa picha yawezekana hata dishi lake halikuwa sawa.
Kuna akina Kambona walikimbia nchi wakati wa Nyerere. Huwezi ukamdharirisha mkuu wa nchi ukawa salama.

President ni nembo ya Taifa analindwa kwa wivu mkubwa. President is our national interest ndio maana vyombo vyote vya ulizi vinaapa kumlinda.

Ukilielewa hilo utajiepusha na kuwa pawn kwenye game ambayo siyo yako.
 
Acha kutafuta kichaka cha kujifichia,ukweli ndio huo,na shida inaanzia viongozi wa kiafrika kwao siasa ni ajira,ndio maana hata wanapofanya makosa awajiuzulu,na hata utakuta kiongozi anamuandaa mwanae aje kuwa kiongozi,demokrasi ya kweli hamna na ndio maana hawana hofu ya wapiga kura,hali hiyo ndio inafanya bara letu liwe kituko pa1 na rasilimali zote
Hakuna ukweli wowote. Ni ujinga unakusumbua tu.
 
Back
Top Bottom