President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,766
- 89,791
You cannot be against the head of state ukabaki salama. Yupo na bahati kakutana na Rais mwenye huruma.Maza ana siasa za visasi na watu wote walio ingia kwenye 18 zake kawalima ikiwamo Gwajima aliyemtaka akatwe mbele ya mkutano mkuu. Kwa data nilizo nazo, Ummy alisikika akisema Maza hatoshi na alikuwa akimback January ndio wakatoa yeye uwaziri, na wamekula tena ubunge.
Uwezi ukahujumu state while you are working under that state
Rais siyo mtu mdogo. Elewa hilo