RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,419
- 135,059
You wouldn't know, just like people in Kibera who don't know that they live in squalid condition.Which turmoil is kenya in?
You wouldn't know, just like people in Kibera who don't know that they live in squalid condition.Which turmoil is kenya in?
What turmoil kijana wa Tandale?
Naona mmetoka mashimoni mbio mbioYou wouldn't know, just like people in Kibera who don't know that they live in squalid condition.
Acha kutafuta kichaka cha kujifichia,ukweli ndio huo,na shida inaanzia viongozi wa kiafrika kwao siasa ni ajira,ndio maana hata wanapofanya makosa awajiuzulu,na hata utakuta kiongozi anamuandaa mwanae aje kuwa kiongozi,demokrasi ya kweli hamna na ndio maana hawana hofu ya wapiga kura,hali hiyo ndio inafanya bara letu liwe kituko pa1 na rasilimali zoteWewe ni kibaraka wa wazungu. Damu zilizomwagwa za dugu zetu kupamabana dhidi ya unyonyaji wa kikoloni leo hii unawatukana waafrika. Huenda wewe siyo mwafrika.
Umeniudhi sana kwa kutuna waafrika.
View: https://x.com/dube_mthoko/status/1723433278403682556
Maku wivu upi tena,ww kwa ushamba wako ndio umeleta habari za rais wa fifa kuwepo ukidhania labda hajawahi kufika TZ,mimi nilichokifanya ni kukuonesha tu kama alishawahi kufika TZ,na alienda hadi kijiji cha michezo kigamboni,acha ushamba maku,infantino anajua hadi makolo walichezea goli 5 kwa Yanga 😂
Unaumia sana bongolala. Tuliza kende zako. And just to remind you, maandalizi ya CHAN yalifanywa na CAF across the three hosting cities, your glorified fishing village includedTeargass na wenzako tuambieni maandalizi ya final yakoje!!?? Nimecheka sana. Mnavyoongea kwenye social media.
Sijawahi kuona maandalizi mabovu kama haya yaliyofanyika Kenya. Sijui ni umaskini wao au Ushamba wao.
Akuna uhaini kwenye kusema "flani atoshi" or kama alivyosema Ndugai juu ya kukopa hovyo.Hapo sawa. Kumbuka Ummy alikuwa waziri aliyewekwa na huyo aliyekuwa anamuhujumu.
Angemshikia bango leo ummy angekuwa mfungwa kwa uhaini. Sema alisamehewa.
Kuna akina Kambona walikimbia nchi wakati wa Nyerere. Huwezi ukamdharirisha mkuu wa nchi ukawa salama.Basi hata viwe na maana.
Hivi vijana kama yule jamaa wa Songwe akiyechoma picha, Soka, Mdude wana madhara gani kwa taifa??
Tena yule jamaa wa picha yawezekana hata dishi lake halikuwa sawa.
Hawa kenge washasahau few weeks kabla ya CHAN walikuwa wanachoma moto nchi yaoRuto must go!😎
Hakuna ukweli wowote. Ni ujinga unakusumbua tu.Acha kutafuta kichaka cha kujifichia,ukweli ndio huo,na shida inaanzia viongozi wa kiafrika kwao siasa ni ajira,ndio maana hata wanapofanya makosa awajiuzulu,na hata utakuta kiongozi anamuandaa mwanae aje kuwa kiongozi,demokrasi ya kweli hamna na ndio maana hawana hofu ya wapiga kura,hali hiyo ndio inafanya bara letu liwe kituko pa1 na rasilimali zote
Akuna uhaini kwenye kusema "flani atoshi" or kama alivyosema Ndugai juu ya kukopa hovyo.
Hii ni kudisaprove uwezo wake kuwa hawezi, hafai, hatoshi; simple!
Unataka tushinde humu 24/7 kama wewe na wenzako? Some of us got responsibilities to take care of apart from hanging around here the whole day like you doNaona mmetoka mashimoni mbio mbio
Why opening ceremony was beautiful than final?Unaumia sana bongolala. Tuliza kende zako. And just to remind you, maandalizi ya CHAN yalifanywa na CAF across the three hosting cities, your glorified fishing village included
Kaka hujui mambo ya security. Naomba niishie hapo. Kwanza ange achana na uwaziri kisha akasema hivyo akiwa nje ya serikali yake.Akuna uhaini kwenye kusema "flani atoshi" or kama alivyosema Ndugai juu ya kukopa hovyo.
Hii ni kudisaprove uwezo wake kuwa hawezi, hafai, hatoshi; simple!
Beauty lies in the eyes of the beholder. Kama utaelewa hiyoWhy opening ceremony was beautiful than final?
Tanzania opening ceremony of CHAN was extravagant, everyone says that.Beauty lies in the eyes of the beholder. Kama utaelewa hiyo
Ha ha ha.Unataka tushinde humu 24/7 kama wewe na wenzako? Some of us got responsibilities to take care of apart from hanging around here the whole day like you do
Campare this with your poor preparationBeauty lies in the eyes of the beholder. Kama utaelewa hiyo
What is someone's thought/assumption of his boss's incompetency has anything to do with security?Kaka hujui mambo ya security. Naomba niishie hapo. Kwanza ange achana na uwaziri kisha akasema hivyo akiwa nje ya serikali yake.