Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna akina Kambona walikimbia nchi wakati wa Nyerere. Huwezi ukamdharirisha mkuu wa nchi ukawa salama.
Kambona aliondoka mwenyewe na alirudi mwenyewe akaanzisha chama cha siasa.

Hakuwa hata majeraha ya risasi.
President ni nembo ya Taifa analindwa kwa wivu mkubwa. President is our national interest ndio maana vyombo vyote vya ulizi vinaapa kumlinda.

Ukilielewa hilo utajiepusha na kuwa pawn kwenye game ambayo siyo yako.
Rais analindwa kama anasimama maslahi na miongozo tuliyokubaliana kama kama taifa katika katiba na sheria.


Siyo risasi.

Hakuna popote kwenye utaratibu wetu kuna ruhusa ya kuua watu ukijisikia.



images (1).jpeg


VS
20250830_214937.jpg



Unatoka kwenye THINK TANK kama hiyo unakaribisha wahindi na kugawa Diplomatic passport kama njugu kwamba ndio wazalendo.
 
What is someone's thought/assumption of his boss's incompetency has anything to do with security?
At least ungeniambia swala la kiapo na sio security.
Brother hasira zako kwa ummy kukatwa usinihamishie mimi. Presidency is an Institution Siyo mtu mmoja. Ni Taasisi iliyokamilika. Huwezi ukaihujumu Taasisi hiyo ukabaki salama. Only stupid anaweza akavimba.
 
We mbwa niwapi nimekumention au bongolala yeyote? Si ni wewe umejileta kwa post yangu ya Infantino akikagua Talanta Stadium, wewe na insecurities zako ukaleta za bongoslum as if hajawai tembelea nchi zingine za East Africa. 🤣 🤣 🤣
Maku acha uzwazwa,ulileta ile habari kwa ushamba wako kutuzodoa humu,baada ya kuona kishawahi kutembelea TZ ndio ukabadilisha gear angani maku ww,iwapo ungejua before wala usingeleta humu ile habari bwege ww,kaokote makopo uko fala
 
Kambona aliondoka mwenyewe na alirudi mwenyewe akaanzisha chama cha siasa.

Hakuwa hata majeraha ya risasi.

Rais analindwa kama anasimama maslahi na miongozo tuliyokubaliana kama kama taifa katika katiba na sheria.


Siyo risasi.

Hakuna popote kwenye utaratibu wetu kuna ruhusa ya kuua watu ukijisikia.



View attachment 3459128

VS
View attachment 3459130


Unatoka kwenye THINK TANK kama hiyo unakaribisha wahindi na kugawa Diplomatic passport kama njugu kwamba ndio wazalendo.
Sitaki tuanze kuongea mambo ya kiundani zaidi. Huenda mwenzetu mambo haya umeyajua juzi tu. Huwezi ukashindana na Taasisi ya Urais ukabaki salama. Mtu mwingine muulize Aboud Jumbe.

Soma historia yake
 
Ukishakua raia wa TZ unaweza kugombea kokote kule ndani ya TZ,ila shida inaanza how jk family ipite bila kupingwa sehemu walizogombea?
Kingine kwa wadhifa alioshawahi kushika TZ,hakuna afya kwa mkewe kuwa mbunge,aipendezi,angekua anajielewa asingekubaliana na kitu kama kile
Na mkewe akaja kuleta muswada wa kisenge sana pale bungeni.
Eti wenza wa viongozi wastaafu nao walipwe mafao ya kustaafia ya uongozi.
Hivi ana akili timamu huyooo!?
 
Sitaki tuanze kuongea mambo ya kiundani zaidi. Huenda mwenzetu mambo haya umeyajua juzi tu. Huwezi ukashindana na Taasisi ya Urais ukabaki salama. Mtu mwingine muulize Aboud Jumbe.

Soma historia yake
Aboud Jumbe aliuliwa???

Kuna ujinga unafanyika wala hauna uhalali wowote.

Kubali hizo dhambi, ishi nazo. Ua na wewe UTAKUFA.

Hakuna maslahi ya umma hapo.

Sometimes ,nafimiri labda ni masharti ya waganga. Wala usisingizie WaTZ kwenye damu za watu wasio na hatia.
 
Campare this with your poor preparation

Opening Ceremony

View: https://www.instagram.com/reel/DM3DuLLswP8/

Bongolala, didn't I tell you that hosting countries had nothing to do with CHAN matches organization? Maandalizi yote ya CHAN including opening and closing ceremonies yalifanywa na CAF. It is them who decided which venues will host which matches and in which manner. Ni nini huelewi hapo? Ama ni ujinga tu zenu za kawaida ya kuleta ubishi kwa kila kitu?
 
Na mkewe akaja kuleta muswada wa kisenge sana pale bungeni.
Eti wenza wa viongozi wastaafu nao walipwe mafao ya kustaafia ya uongozi.
Hivi ana akili timamu huyooo!?
Ule Muswada ni HARAMU. Sijui kama ulipita ai vipi ila unakiuka Sheria na katiba, maana Mke wa Rais siyo kazi ya utumishi unaotambulika.
 
Na mkewe akaja kuleta muswada wa kisenge sana pale bungeni.
Eti wenza wa viongozi wastaafu nao walipwe mafao ya kustaafia ya uongozi.
Hivi ana akili timamu huyooo!?
Soma sheria ya Usalama wa Taifa. Acha kuwa mzembe na kutukana ovyo.

Sheria ya usalama wa Taifa imeweka wazi familia za viongozi wa juu Baba, Mama na Watoto zinalindwa hata wanapokuwa wamestaafu uongozi.

Kitu kinachowasumbua ni kuongozwa emotions badala ya kuongozwa intelligence
 
Go check social media, International TV, Or ask anyone will tell you the truth. Hata wewe nafsi yako inakushihudia. But mahaba ya nchi yako yamekupofusha usione ukweli.
Can you prove these claims now that you know where the evidence is?
 
Maku acha uzwazwa,ulileta ile habari kwa ushamba wako kutuzodoa humu,baada ya kuona kishawahi kutembelea TZ ndio ukabadilisha gear angani maku ww,iwapo ungejua before wala usingeleta humu ile habari bwege ww,kaokote makopo uko fala
Hivyo ndio your inferiority complex imekuambia. 🤣 🤣 🤣
 
Wewe ni kibaraka wa wazungu. Damu zilizomwagwa za dugu zetu kupamabana dhidi ya unyonyaji wa kikoloni leo hii unawatukana waafrika. Huenda wewe siyo mwafrika.

Umeniudhi sana kwa kutuna waafrika.
Utake usitake huo ndio ukweli.
waAfrika hatuna akili tunaendekeza uchu wa madaraka na ufisadi na ubinafsi.
Kama hivi vitu visingekuwepo Afrika ilikua iendelee kuliko sasa.
Siku zote ukweli unauma.
 
Soma sheria ya Usalama wa Taifa. Acha kuwa mzembe na kutukana ovyo.

Sheria ya usalama wa Taifa imeweka wazi familia za viongozi wa juu Baba, Mama na Watoto zinalindwa hata wanapokuwa wamestaafu uongozi.

Kitu kinachowasumbua ni kuongozwa emotions badala ya kuongozwa intelligence
Mie sijali hilo mzee.
Kisa sheria ndio imewapa Kinga ndio wafanye wanavyotaka!?
We endelea kuwatetea utakavyo.
 
Aboud Jumbe aliuliwa???

Kuna ujinga unafanyika wala hauna uhalali wowote.

Kubali hizo dhambi, ishi nazo. Ua na wewe UTAKUFA.

Hakuna maslahi ya umma hapo.

Sometimes ,nafimiri labda ni masharti ya waganga. Wala usisingizie WaTZ kwenye damu za watu wasio na hatia.
Kwani kiongozi yupi ameuliwa? Mbona upo na uchungu hivyo? Damu inatumwagikia sisi kaka. Funguka.

Abdu Jumbe alikuwa Rais wa Zanzibar, Vilevile nakuongezea Taarifa za Horace Kolimba, soma ujifunze
 
Back
Top Bottom