Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We have successfully hosted the biggest football tournament finals after AFCON.

Image

Image

Image


Image


Image
 
Kaka hujui mambo ya security. Naomba niishie hapo. Kwanza ange achana na uwaziri kisha akasema hivyo akiwa nje ya serikali yake.
What is someone's thought/assumption of his boss's incompetency has anything to do with security?
At least ungeniambia swala la kiapo na sio security.
 
Kuna akina Kambona walikimbia nchi wakati wa Nyerere. Huwezi ukamdharirisha mkuu wa nchi ukawa salama.
Kambona aliondoka mwenyewe na alirudi mwenyewe akaanzisha chama cha siasa.

Hakuwa hata majeraha ya risasi.
President ni nembo ya Taifa analindwa kwa wivu mkubwa. President is our national interest ndio maana vyombo vyote vya ulizi vinaapa kumlinda.

Ukilielewa hilo utajiepusha na kuwa pawn kwenye game ambayo siyo yako.
Rais analindwa kama anasimama maslahi na miongozo tuliyokubaliana kama kama taifa katika katiba na sheria.


Siyo risasi.

Hakuna popote kwenye utaratibu wetu kuna ruhusa ya kuua watu ukijisikia.



images (1).jpeg


VS
20250830_214937.jpg



Unatoka kwenye THINK TANK kama hiyo unakaribisha wahindi na kugawa Diplomatic passport kama njugu kwamba ndio wazalendo.
 
What is someone's thought/assumption of his boss's incompetency has anything to do with security?
At least ungeniambia swala la kiapo na sio security.
Brother hasira zako kwa ummy kukatwa usinihamishie mimi. Presidency is an Institution Siyo mtu mmoja. Ni Taasisi iliyokamilika. Huwezi ukaihujumu Taasisi hiyo ukabaki salama. Only stupid anaweza akavimba.
 
We mbwa niwapi nimekumention au bongolala yeyote? Si ni wewe umejileta kwa post yangu ya Infantino akikagua Talanta Stadium, wewe na insecurities zako ukaleta za bongoslum as if hajawai tembelea nchi zingine za East Africa. 🤣 🤣 🤣
Maku acha uzwazwa,ulileta ile habari kwa ushamba wako kutuzodoa humu,baada ya kuona kishawahi kutembelea TZ ndio ukabadilisha gear angani maku ww,iwapo ungejua before wala usingeleta humu ile habari bwege ww,kaokote makopo uko fala
 
Kambona aliondoka mwenyewe na alirudi mwenyewe akaanzisha chama cha siasa.

Hakuwa hata majeraha ya risasi.

Rais analindwa kama anasimama maslahi na miongozo tuliyokubaliana kama kama taifa katika katiba na sheria.


Siyo risasi.

Hakuna popote kwenye utaratibu wetu kuna ruhusa ya kuua watu ukijisikia.



View attachment 3459128

VS
View attachment 3459130


Unatoka kwenye THINK TANK kama hiyo unakaribisha wahindi na kugawa Diplomatic passport kama njugu kwamba ndio wazalendo.
Sitaki tuanze kuongea mambo ya kiundani zaidi. Huenda mwenzetu mambo haya umeyajua juzi tu. Huwezi ukashindana na Taasisi ya Urais ukabaki salama. Mtu mwingine muulize Aboud Jumbe.

Soma historia yake
 
Ukishakua raia wa TZ unaweza kugombea kokote kule ndani ya TZ,ila shida inaanza how jk family ipite bila kupingwa sehemu walizogombea?
Kingine kwa wadhifa alioshawahi kushika TZ,hakuna afya kwa mkewe kuwa mbunge,aipendezi,angekua anajielewa asingekubaliana na kitu kama kile
Na mkewe akaja kuleta muswada wa kisenge sana pale bungeni.
Eti wenza wa viongozi wastaafu nao walipwe mafao ya kustaafia ya uongozi.
Hivi ana akili timamu huyooo!?
 
Back
Top Bottom