Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,609
- 15,712
Unataka tushinde humu 24/7 kama wewe na wenzako? Some of us got responsibilities to take care of apart from hanging around here the whole day like you doNaona mmetoka mashimoni mbio mbio
Unataka tushinde humu 24/7 kama wewe na wenzako? Some of us got responsibilities to take care of apart from hanging around here the whole day like you doNaona mmetoka mashimoni mbio mbio
Why opening ceremony was beautiful than final?Unaumia sana bongolala. Tuliza kende zako. And just to remind you, maandalizi ya CHAN yalifanywa na CAF across the three hosting cities, your glorified fishing village included
Kaka hujui mambo ya security. Naomba niishie hapo. Kwanza ange achana na uwaziri kisha akasema hivyo akiwa nje ya serikali yake.Akuna uhaini kwenye kusema "flani atoshi" or kama alivyosema Ndugai juu ya kukopa hovyo.
Hii ni kudisaprove uwezo wake kuwa hawezi, hafai, hatoshi; simple!
Beauty lies in the eyes of the beholder. Kama utaelewa hiyoWhy opening ceremony was beautiful than final?
Tanzania opening ceremony of CHAN was extravagant, everyone says that.Beauty lies in the eyes of the beholder. Kama utaelewa hiyo
Ha ha ha.Unataka tushinde humu 24/7 kama wewe na wenzako? Some of us got responsibilities to take care of apart from hanging around here the whole day like you do
Campare this with your poor preparationBeauty lies in the eyes of the beholder. Kama utaelewa hiyo
What is someone's thought/assumption of his boss's incompetency has anything to do with security?Kaka hujui mambo ya security. Naomba niishie hapo. Kwanza ange achana na uwaziri kisha akasema hivyo akiwa nje ya serikali yake.
Kambona aliondoka mwenyewe na alirudi mwenyewe akaanzisha chama cha siasa.Kuna akina Kambona walikimbia nchi wakati wa Nyerere. Huwezi ukamdharirisha mkuu wa nchi ukawa salama.
Rais analindwa kama anasimama maslahi na miongozo tuliyokubaliana kama kama taifa katika katiba na sheria.President ni nembo ya Taifa analindwa kwa wivu mkubwa. President is our national interest ndio maana vyombo vyote vya ulizi vinaapa kumlinda.
Ukilielewa hilo utajiepusha na kuwa pawn kwenye game ambayo siyo yako.
Hiki ni kina kirefu wakenya kukifikia ni miaka 20 ijayo.We have successfully hosted the biggest football tournament finals after AFCON.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Brother hasira zako kwa ummy kukatwa usinihamishie mimi. Presidency is an Institution Siyo mtu mmoja. Ni Taasisi iliyokamilika. Huwezi ukaihujumu Taasisi hiyo ukabaki salama. Only stupid anaweza akavimba.What is someone's thought/assumption of his boss's incompetency has anything to do with security?
At least ungeniambia swala la kiapo na sio security.
Maku acha uzwazwa,ulileta ile habari kwa ushamba wako kutuzodoa humu,baada ya kuona kishawahi kutembelea TZ ndio ukabadilisha gear angani maku ww,iwapo ungejua before wala usingeleta humu ile habari bwege ww,kaokote makopo uko falaWe mbwa niwapi nimekumention au bongolala yeyote? Si ni wewe umejileta kwa post yangu ya Infantino akikagua Talanta Stadium, wewe na insecurities zako ukaleta za bongoslum as if hajawai tembelea nchi zingine za East Africa. 🤣 🤣 🤣
Mjinga mwenyewe na familia yako,nilichokisema ndio kipo afrikaHakuna ukweli wowote. Ni ujinga unakusumbua tu.
Sitaki tuanze kuongea mambo ya kiundani zaidi. Huenda mwenzetu mambo haya umeyajua juzi tu. Huwezi ukashindana na Taasisi ya Urais ukabaki salama. Mtu mwingine muulize Aboud Jumbe.Kambona aliondoka mwenyewe na alirudi mwenyewe akaanzisha chama cha siasa.
Hakuwa hata majeraha ya risasi.
Rais analindwa kama anasimama maslahi na miongozo tuliyokubaliana kama kama taifa katika katiba na sheria.
Siyo risasi.
Hakuna popote kwenye utaratibu wetu kuna ruhusa ya kuua watu ukijisikia.
View attachment 3459128
VS
View attachment 3459130
Unatoka kwenye THINK TANK kama hiyo unakaribisha wahindi na kugawa Diplomatic passport kama njugu kwamba ndio wazalendo.
Familia yangu haihusiani na lolote katika majadiliano yetu haya. Mimi naongea na wewe, uliyepotoka na kuanza kubwabwaja kwa mahaba ya wanasiasa usiowajua na wao hawakujui.Mjinga mwenyewe na familia yako,nilichokisema ndio kipo afrika
Who is that everyone?Tanzania opening ceremony of CHAN was extravagant, everyone says that.
Na mkewe akaja kuleta muswada wa kisenge sana pale bungeni.Ukishakua raia wa TZ unaweza kugombea kokote kule ndani ya TZ,ila shida inaanza how jk family ipite bila kupingwa sehemu walizogombea?
Kingine kwa wadhifa alioshawahi kushika TZ,hakuna afya kwa mkewe kuwa mbunge,aipendezi,angekua anajielewa asingekubaliana na kitu kama kile
Go check social media, International TV, Or ask anyone will tell you the truth. Hata wewe nafsi yako inakushihudia. But mahaba ya nchi yako yamekupofusha usione ukweli.Who is that everyone?