much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 14,065
- 21,548
09
Ninachoipendea Tanzania ni kuwa mradi huo hata usipotimizwa awamu hiii utakuja kufanywa hata na awamu nyingine huko mbele mfano wilaya niliyotea kuna miradi tulikuwa tunasimuliwa toka miaka ya tisini hadi ujenzi kwenye hayo maeneo yakazuiwa kuendelezwa lakini umekuja fanywa 2019
Ninachoipendea Tanzania ni kuwa mradi huo hata usipotimizwa awamu hiii utakuja kufanywa hata na awamu nyingine huko mbele mfano wilaya niliyotea kuna miradi tulikuwa tunasimuliwa toka miaka ya tisini hadi ujenzi kwenye hayo maeneo yakazuiwa kuendelezwa lakini umekuja fanywa 2019