Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

09
Hii project inamkondesha Mama ngina na kila siku


View: https://www.instagram.com/reel/DKRw_AEKCjY/

Ninachoipendea Tanzania ni kuwa mradi huo hata usipotimizwa awamu hiii utakuja kufanywa hata na awamu nyingine huko mbele mfano wilaya niliyotea kuna miradi tulikuwa tunasimuliwa toka miaka ya tisini hadi ujenzi kwenye hayo maeneo yakazuiwa kuendelezwa lakini umekuja fanywa 2019
 
Vipi hujui sisi tulimfunga Morocco na watu kumi uwanjani nanyi mkapigwa na huyo Morocco ama unajisahaulisha tu.🤣🤣
Nikisema hujui mpira nitakua nimekosea!?
Yale yale narudia hapa.
Kenya mlikamia mechi mkamfunga Morocco kwa bahati.
Hamkumfunga Morocco kwa ufundi.
Kwa namna ambavyo mlijitapa kumfunga Morocco basi Madagascar ambaye mlimsema mwepesi alitakiwa ale goli zaidi ya mbili.
Ila Kenya mpira hamuna Madagascar aliwazidi mbinu na kila kitu.
Haukutakiwa kutolewa na Madagascar timu ambayo iko chini sana kiviwango.
Morocco mliwabahatisha.
 
Hivi unataka kusema Mtanzania anaweza jilinganisha na Mkenya kwa kutembea ama Nini. 😂😂 Naweza nikakuita chizi kwa hilo. Wewe ndio utoke Tandale utembee.
Kenya mnaotembea wachache sana usitake kubisha.
Wengi hamutembei na hamuna exposure ya nje ya Kenya.
Hata mitandaoni huko hilo mnalionesha.
 
kagoma atakula umeme yani ni wale no 6 wakizamani yeye muda wote anaingia uvunguni bila tahadhari atakula umeme muda si mrefu yani kama ndio no 6 simba wanaitegemea huyu atawa cost sana
Mzee hatuna kocha,pale kwenye benchi la ufundi kuna wahamasishaji ndo ulitegemea tumfunge morocco!
 
Kweli unayosema but hizi slums zinapenya tu 6% of the city.na hii hali inabadilishwa na ujenzi wa nyumba za bei nafuu kwa mwanchi wa kawaidi.

Lakini hali dar inatisha aisee,sorry your city is a big mess,,serikali inafaa ingilie kati kutatua or you would end like lagos,,you are almost there

View: https://www.facebook.com/share/v/19R1jUitTE/

3 million people concentrated in only 6% of Naipori 🤣🤣🤣
 
Sidhani kama umetazama hio video nimekuwekea bro,hizo nyumba for most part ziko sawa lakini they are chaotic,almost zero infrastructure like roads achilia mbali sewage na maji.hapo serikali imelegeza kamba,sio mtihani kuwa na mpangilio.
Hapo Airport kuna eneo la viwanda, godowns na informal settlements.

Nadhani huoni nyumba za mabati hapo.
 
Back
Top Bottom