Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umefungwa na MADAGASCAR mpuuzi wewe.
Uje umfunge Tanzania!?
Unafikiria kwa mqundu sio akili wewe.
Wengi humu hawaangalii mpira na hawajui mpira, wangekuwa wanaangalia wangeona namna timu yao ilivyo mbovu uwanjani.
Huwezi fananisha uchezaji wa Tanzania na hiyo timu yao inayo cheza kwa kubutua butua mpira. 😂😂😂
 
Umefungwa na MADAGASCAR mpuuzi wewe.
Uje umfunge Tanzania!?
Unafikiria kwa mqundu sio akili wewe.
Kama uliona mpira utajua kwamba Harambee stars timu kubwa sana, vijana walicheza kujituma sema luck haikuwa upande wetu.
 
Utapeli tu hakuna kitu hapo, mmetolewa kwa dakika 90 kama makondoo.
Sawa tunakubali ila ukweli umejidhihirisha umefungwa na timu ya 135 kwa viwango vya FIFA.
Kheri mimi nimefungwa na aliyenizidi.
Huyo Madagascar mara zote alikua akikutana na Tanzania ushindi wake ni sare. Tumemfunga sana na akikutana na sisi hafui dafu.
 
Ni kweli tuna kiwango kikubwa kuliko team yoyote EA ila tutafute kocha makini, tuache makocha wa kubaatisha kama hawa, afcon tutadhalilika.
Kocha hachezi mpira, wachezaji ndo hakuna. Hapo sioni mtu anaweza pewa namba Harambee stars. Inshort league yenu imevuliwa chupi 😂😂😂
 
Back
Top Bottom