Hawana akili.
Washaanza kusema kuwa eti wangecheza na sisi wangetufunga.😂😂😂😂
Ilhali Madagascar amewafunga.
Akili hawana hawa.
Hawana akili.
Wengi humu hawaangalii mpira na hawajui mpira, wangekuwa wanaangalia wangeona namna timu yao ilivyo mbovu uwanjani.Umefungwa na MADAGASCAR mpuuzi wewe.
Uje umfunge Tanzania!?
Unafikiria kwa mqundu sio akili wewe.
Kenya haionekani hapa.QUALIFIED TEAMS FOR AFCON 2025 TOURNAMENT.
View attachment 3449540
Kwani hayo ni maandamano ya kutaka bei ya unga ishuke! 😂😂😂Kenya haionekani hapa.
Kama uliona mpira utajua kwamba Harambee stars timu kubwa sana, vijana walicheza kujituma sema luck haikuwa upande wetu.Umefungwa na MADAGASCAR mpuuzi wewe.
Uje umfunge Tanzania!?
Unafikiria kwa mqundu sio akili wewe.
Hawatumii akili.Wengi humu hawaangalii mpira na hawajui mpira, wangekuwa wanaangalia wangeona namna timu yao ilivyo mbovu uwanjani.
Huwezi fananisha uchezaji wa Tanzania na hiyo timu yao inayo cheza kwa kubutua butua mpira. 😂😂😂
Fala wewe mpira nilitizama hamkucheza kiufundi.Kama uliona mpira utajua kwamba Harambee stars timu kubwa sana, vijana walicheza kujituma sema luck haikuwa upande wetu.
Utapeli tu hakuna kitu hapo, mmetolewa kwa dakika 90 kama makondoo.Fala wewe mpira nilitizama hamkucheza kiufundi.
Embu ungetizama mpira wa Morocco vs Tanzania,hao Morocco wameshinda ila walijuta kucheza mpira.
Mmebaki kujifariji tu😂Hicho kitimu tungepatana tungewafinya mbaya sana. Sioni mtu wa kutuzia.
Sawa tunakubali ila ukweli umejidhihirisha umefungwa na timu ya 135 kwa viwango vya FIFA.Utapeli tu hakuna kitu hapo, mmetolewa kwa dakika 90 kama makondoo.
kwasababu ni mpemba tu baas lazma apewe ukocha, siasa nyingi sana kwenye mpiraNi kweli tuna kiwango kikubwa kuliko team yoyote EA ila tutafute kocha makini, tuache makocha wa kubaatisha kama hawa, afcon tutadhalilika.
Juma Mgunda abaki ila atafutwe kocha tofauti na Medy Moroko.Ni kweli tuna kiwango kikubwa kuliko team yoyote EA ila tutafute kocha makini, tuache makocha wa kubaatisha kama hawa, afcon tutadhalilika.
Kocha hachezi mpira, wachezaji ndo hakuna. Hapo sioni mtu anaweza pewa namba Harambee stars. Inshort league yenu imevuliwa chupi 😂😂😂Ni kweli tuna kiwango kikubwa kuliko team yoyote EA ila tutafute kocha makini, tuache makocha wa kubaatisha kama hawa, afcon tutadhalilika.