President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,750
- 89,775
Ikibaki hivi wakenya tunakuja kuwatahiri Mkapa Stadium
Talanta view yake itakua tamu sana
Nakuambi hii group ingekuwa is among it wangekula bottom of the table saa hii.Oohhh Kenya wako kwenye kundi ngumu sana, hawatapata hata pointi moja. Nyef nyef, we are on top of the table. Hahaha Ile Morocco mulikua munasema itatupiga ndio hio sasa inakuja Dar is a slum. 🤣🤣🤣
View attachment 3444231
Petty idea kama kawaida yako KwikwikwikwikwiNakuambi hii group ingekuwa is among it wangekula bottom of the table saa hii.
Wangemaliza kama Zambia, kudinywa na team zote. 🤣🤣🤣Nakuambi hii group ingekuwa is among it wangekula bottom of the table saa hii.
Hilo group lenu tunapiga team zote. Nyie mna team ya kushindana na stars au kelele tu.?Wangemaliza kama Zambia, kudinywa na team zote. 🤣🤣🤣
Hoa Morocco watakuja hapa Tanzania tunavyowapeleka. Wao kenya walishikilia bomba mwanzo mwisho. Hapa TZ Morocco watashikilia bomba.Hilo group lenu tunapiga team zote. Nyie mna team ya kushindana na stars au kelele tu.?
TZ benchi la ufundi wamejaa wahuni na matapeli,ukiondoa wachezaji wa Yanga,simba na azam kidogo,wachezaji wengine wote utapeli mtupu
Kwa mara ya 1000 hakuna mtu Kenya anatumia Azam. Hizo ni obsolete technology ambazo tulivuka.Hamna Decoders nyumbani kwenu??
Azam atafirisika huko Kenya
Mnatumia KBC, Black and White TV!!! 🤣 🤣 🤣 🤣 Dunia kwa sasa ipo kwenye 16KKwa mara ya 1000 hakuna mtu Kenya anatumia Azam. Hizo ni obsolete technology ambazo tulivuka.
Football nation 🐒🐒🐒