You mean since 2002 they have beaten us 3 times🤣🤣🤣🤣🤣 footballing nation my a**Wake zetu
View attachment 3449900
Kuna siku nimepita sehemu fulani nimaona .makaburi ya wakoloni. Yale makaburi yamenyooka na yanalinganq kila kitu. Nikakumbuka jinsi makaburi maarufu ya kinondoni yalivyo vuluvulu. Nikajisemea kama kupanga makaburi kumetushinda nyumba je?Sidhani kama umetazama hio video nimekuwekea bro,hizo nyumba for most part ziko sawa lakini they are chaotic,almost zero infrastructure like roads achilia mbali sewage na maji.hapo serikali imelegeza kamba,sio mtihani kuwa na mpangilio.
Wewe uko wapi mbilikimo?Unajua kwamba majority of Tanzanians in this thread wapo abroad.? 🤣🤣🤣 nyie wote mnapost kutokea hapo kibera capital.
Sisi watanzania hatuna hiyana. Kwa sasa China ya wakenya ni Tanzania. Hata ukikataa lakini ukweli ndio huo.Wewe uko wapi mbilikimo?
Haya ni maneno ya mkosaji. Hiyo Madagascar kwanza imebebwa na refa. With a good referee tungewapiga 2-0.Anyway, hakunanga excuses kwa mpira. The point is, Mlipiga Madagascar naye akatuchapa. Tulipiga Morocco naye akamchapa. Hizi zingine ni story za jaba. Ndio maana huwa nakwambia wewe ni mgumu kukubali ukweli.Nikisema hujui mpira nitakua nimekosea!?
Yale yale narudia hapa.
Kenya mlikamia mechi mkamfunga Morocco kwa bahati.
Hamkumfunga Morocco kwa ufundi.
Kwa namna ambavyo mlijitapa kumfunga Morocco basi Madagascar ambaye mlimsema mwepesi alitakiwa ale goli zaidi ya mbili.
Ila Kenya mpira hamuna Madagascar aliwazidi mbinu na kila kitu.
Haukutakiwa kutolewa na Madagascar timu ambayo iko chini sana kiviwango.
Morocco mliwabahatisha.
Vipi mke nyumbani? Wasemaje?Nikisema hujui mpira nitakua nimekosea!?
Yale yale narudia hapa.
Kenya mlikamia mechi mkamfunga Morocco kwa bahati.
Hamkumfunga Morocco kwa ufundi.
Kwa namna ambavyo mlijitapa kumfunga Morocco basi Madagascar ambaye mlimsema mwepesi alitakiwa ale goli zaidi ya mbili.
Ila Kenya mpira hamuna Madagascar aliwazidi mbinu na kila kitu.
Haukutakiwa kutolewa na Madagascar timu ambayo iko chini sana kiviwango.
Morocco mliwabahatisha.
Shida mkielezwa uhalisia mnasema mie mgumu kukubali ukweli.Haya ni maneno ya mkosaji. Hiyo Madagascar kwanza imebebwa na refa. With a good referee tungewapiga 2-0.Anyway, hakunanga excuses kwa mpira. The point is, Mlipiga Madagascar naye akatuchapa. Tulipiga Morocco naye akamchapa. Hizi zingine ni story za jaba. Ndio maana huwa nakwambia wewe ni mgumu kukubali ukweli.
Angalia tu travel statistics utapata jibu. Angalia foreign remittances utapata jibu. Angalia tourism numbers from East African countries utapata jibu. Angalia number of Kenyans in other countries vs Tanzanians utapata jibu. Wewe mwenyewe hujawai toka Tanzania unataka kutuelimisha kuhusu travel?Kenya mnaotembea wachache sana usitake kubisha.
Wengi hamutembei na hamuna exposure ya nje ya Kenya.
Hata mitandaoni huko hilo mnalionesha.
Ya kale hayanuki.Vipi mke nyumbani? Wasemaje?View attachment 3450031
Nakubali SIJAWAHI kutoka Tanzania.Angalia tu travel statistics utapata jibu. Angalia foreign remittances utapata jibu. Angalia tourism numbers from East African countries utapata jibu. Angalia number of Kenyans in other countries vs Tanzanians utapata jibu. Wewe mwenyewe hujawai toka Tanzania unataka kutuelimisha kuhusu travel?
Hivi, husikii harufu ikinuka?Ya kale hayanuki.
Kenya ya ngapi kwa Fifa rank!?
Kenya wangapi kwa Fifa rank!?Hivi, husikii harufu ikinuka?
Why are you drowning the discussion in endless tangents simply to dodge the point? You boasted superiority on the basis that you beat Madagascar, who in turn beat us. By that same logic, I countered that we are superior to you, since we defeated Morocco, who in turn defeated you. Yet instead of addressing this, you scramble for a new distraction with every reply. It only exposes you as a remarkably inept debater.Shida mkielezwa uhalisia mnasema mie mgumu kukubali ukweli.
Una consistency ya kumfunga Morocco?
Jibu HAPANA hauna.
Sisi tuna consistency ya kumfunga Madagascar hadi sasa.
Kubalini hamkuwa na timu bora msisingizie kuonewa na refa.
Shida yenu nikukariri upuzi mnaolishwa na wanasiasa wenu. Mtafute Mtanzania aliyetembea akueleze hata utajidharau. Kwa sector ya kuzuru you are not even close to us bro. Uganda is even ahead of you. Kenya is way ahead of both of you. Hata ukiweka Uganda, Tanzania, Rwanda na Burundi pamoja bado hamguzi Kenya. This is a battle you don't even want to engage. Shida yako hujatembea halafu unataka mijadala ya matembezi.Nakubali SIJAWAHI kutoka Tanzania.
Ila Kenya mnaotembea ni wachache.
Tanzania wengi wanaopenda nje ni kama wafanyabiashara sio kama mahousegirl wa Kenya mnaoenda kutafuta Remittance uarabuni.
Many villages where? Kutembelea East na coastal side ya Tz ndo umeconclude haraka.I never said all your villages are like that but I have seen many villages in Tanzania like that - something you won't find in Kenya.
Endelea na ubishi hivyo hivyo.Shida yenu nikukariri upuzi mnaolishwa na wanasiasa wenu. Mtafute Mtanzania aliyetembea akueleze hata utajidharau. Kwa sector ya kuzuru you are not even close to us bro. Uganda is even ahead of you. Kenya is way ahead of both of you. Hata ukiweka Uganda, Tanzania, Rwanda na Burundi pamoja bado hamguzi Kenya. This is a battle you don't even want to engage. Shida yako hujatembea halafu unataka mijadala ya matembezi.
Unafahamu maana ya consistency?Why are you drowning the discussion in endless tangents simply to dodge the point? You boasted superiority on the basis that you beat Madagascar, who in turn beat us. By that same logic, I countered that we are superior to you, since we defeated Morocco, who in turn defeated you. Yet instead of addressing this, you scramble for a new distraction with every reply. It only exposes you as a remarkably inept debater.
Anyway, Morocco hatujacheza naye sana kwa hivo consistency itatokea wapi? Morocco tumecheza naye games nne. Mbili ametupiga, moja tumempiga, moja draw. Anyway, tukienda kwa historia wacha nikukumbushe kitu kimoja.
View attachment 3450033