Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sidhani kama umetazama hio video nimekuwekea bro,hizo nyumba for most part ziko sawa lakini they are chaotic,almost zero infrastructure like roads achilia mbali sewage na maji.hapo serikali imelegeza kamba,sio mtihani kuwa na mpangilio.
Kuna siku nimepita sehemu fulani nimaona .makaburi ya wakoloni. Yale makaburi yamenyooka na yanalinganq kila kitu. Nikakumbuka jinsi makaburi maarufu ya kinondoni yalivyo vuluvulu. Nikajisemea kama kupanga makaburi kumetushinda nyumba je?
Asilimia kubwa ya sehemu zilizopangwa Dar zilipangwa na mkoloni,miji mipya yetu wenyewe ni aibu! Hivi kweli hata kuweka nyumba or at least viwanja kwenye mstari ni ngumu sana?! Watu wanajenga nyumba nzuri bila mpangilio wtf@
 
Nikisema hujui mpira nitakua nimekosea!?
Yale yale narudia hapa.
Kenya mlikamia mechi mkamfunga Morocco kwa bahati.
Hamkumfunga Morocco kwa ufundi.
Kwa namna ambavyo mlijitapa kumfunga Morocco basi Madagascar ambaye mlimsema mwepesi alitakiwa ale goli zaidi ya mbili.
Ila Kenya mpira hamuna Madagascar aliwazidi mbinu na kila kitu.
Haukutakiwa kutolewa na Madagascar timu ambayo iko chini sana kiviwango.
Morocco mliwabahatisha.
Haya ni maneno ya mkosaji. Hiyo Madagascar kwanza imebebwa na refa. With a good referee tungewapiga 2-0.Anyway, hakunanga excuses kwa mpira. The point is, Mlipiga Madagascar naye akatuchapa. Tulipiga Morocco naye akamchapa. Hizi zingine ni story za jaba. Ndio maana huwa nakwambia wewe ni mgumu kukubali ukweli.
 
Nikisema hujui mpira nitakua nimekosea!?
Yale yale narudia hapa.
Kenya mlikamia mechi mkamfunga Morocco kwa bahati.
Hamkumfunga Morocco kwa ufundi.
Kwa namna ambavyo mlijitapa kumfunga Morocco basi Madagascar ambaye mlimsema mwepesi alitakiwa ale goli zaidi ya mbili.
Ila Kenya mpira hamuna Madagascar aliwazidi mbinu na kila kitu.
Haukutakiwa kutolewa na Madagascar timu ambayo iko chini sana kiviwango.
Morocco mliwabahatisha.
Vipi mke nyumbani? Wasemaje?
1000064509.jpg
 
Haya ni maneno ya mkosaji. Hiyo Madagascar kwanza imebebwa na refa. With a good referee tungewapiga 2-0.Anyway, hakunanga excuses kwa mpira. The point is, Mlipiga Madagascar naye akatuchapa. Tulipiga Morocco naye akamchapa. Hizi zingine ni story za jaba. Ndio maana huwa nakwambia wewe ni mgumu kukubali ukweli.
Shida mkielezwa uhalisia mnasema mie mgumu kukubali ukweli.
Una consistency ya kumfunga Morocco?
Jibu HAPANA hauna.
Sisi tuna consistency ya kumfunga Madagascar hadi sasa.
Kubalini hamkuwa na timu bora msisingizie kuonewa na refa.
 
Kenya mnaotembea wachache sana usitake kubisha.
Wengi hamutembei na hamuna exposure ya nje ya Kenya.
Hata mitandaoni huko hilo mnalionesha.
Angalia tu travel statistics utapata jibu. Angalia foreign remittances utapata jibu. Angalia tourism numbers from East African countries utapata jibu. Angalia number of Kenyans in other countries vs Tanzanians utapata jibu. Wewe mwenyewe hujawai toka Tanzania unataka kutuelimisha kuhusu travel?
 
Angalia tu travel statistics utapata jibu. Angalia foreign remittances utapata jibu. Angalia tourism numbers from East African countries utapata jibu. Angalia number of Kenyans in other countries vs Tanzanians utapata jibu. Wewe mwenyewe hujawai toka Tanzania unataka kutuelimisha kuhusu travel?
Nakubali SIJAWAHI kutoka Tanzania.
Ila Kenya mnaotembea ni wachache.
Tanzania wengi wanaopenda nje ni kama wafanyabiashara sio kama mahousegirl wa Kenya mnaoenda kutafuta Remittance uarabuni.
 
Shida mkielezwa uhalisia mnasema mie mgumu kukubali ukweli.
Una consistency ya kumfunga Morocco?
Jibu HAPANA hauna.
Sisi tuna consistency ya kumfunga Madagascar hadi sasa.
Kubalini hamkuwa na timu bora msisingizie kuonewa na refa.
Why are you drowning the discussion in endless tangents simply to dodge the point? You boasted superiority on the basis that you beat Madagascar, who in turn beat us. By that same logic, I countered that we are superior to you, since we defeated Morocco, who in turn defeated you. Yet instead of addressing this, you scramble for a new distraction with every reply. It only exposes you as a remarkably inept debater.
Anyway, Morocco hatujacheza naye sana kwa hivo consistency itatokea wapi? Morocco tumecheza naye games nne. Mbili ametupiga, moja tumempiga, moja draw. Anyway, tukienda kwa historia wacha nikukumbushe kitu kimoja.
Screenshot 2025-08-23 112536.png
 
Nakubali SIJAWAHI kutoka Tanzania.
Ila Kenya mnaotembea ni wachache.
Tanzania wengi wanaopenda nje ni kama wafanyabiashara sio kama mahousegirl wa Kenya mnaoenda kutafuta Remittance uarabuni.
Shida yenu nikukariri upuzi mnaolishwa na wanasiasa wenu. Mtafute Mtanzania aliyetembea akueleze hata utajidharau. Kwa sector ya kuzuru you are not even close to us bro. Uganda is even ahead of you. Kenya is way ahead of both of you. Hata ukiweka Uganda, Tanzania, Rwanda na Burundi pamoja bado hamguzi Kenya. This is a battle you don't even want to engage. Shida yako hujatembea halafu unataka mijadala ya matembezi.
 
I never said all your villages are like that but I have seen many villages in Tanzania like that - something you won't find in Kenya.
Many villages where? Kutembelea East na coastal side ya Tz ndo umeconclude haraka.
Ulitembelea Kilimanjaro Region. Ni wap kwenye huo mkoa mashamba yako tofauti na Makazi?
So uliona nyumba zinakuwa ndani ya migomba

Kwa nini mnapenda Uongo?
 
Shida yenu nikukariri upuzi mnaolishwa na wanasiasa wenu. Mtafute Mtanzania aliyetembea akueleze hata utajidharau. Kwa sector ya kuzuru you are not even close to us bro. Uganda is even ahead of you. Kenya is way ahead of both of you. Hata ukiweka Uganda, Tanzania, Rwanda na Burundi pamoja bado hamguzi Kenya. This is a battle you don't even want to engage. Shida yako hujatembea halafu unataka mijadala ya matembezi.
Endelea na ubishi hivyo hivyo.
 
Why are you drowning the discussion in endless tangents simply to dodge the point? You boasted superiority on the basis that you beat Madagascar, who in turn beat us. By that same logic, I countered that we are superior to you, since we defeated Morocco, who in turn defeated you. Yet instead of addressing this, you scramble for a new distraction with every reply. It only exposes you as a remarkably inept debater.
Anyway, Morocco hatujacheza naye sana kwa hivo consistency itatokea wapi? Morocco tumecheza naye games nne. Mbili ametupiga, moja tumempiga, moja draw. Anyway, tukienda kwa historia wacha nikukumbushe kitu kimoja.
View attachment 3450033
Unafahamu maana ya consistency?
Tuna miaka mingapi Kenya na Tanzania hatujakutana!?
Tuna zaidi ya miaka mitatu Kenya na Tanzania hatujakutana.
Unaweza kuleta consistency baina ya Kenya na Tanzania!?
Kumbe we ni fala!?
Kuongea kiingereza kingi haimaanishi unajua. Umeongea pumba tupu.
Kubali tu Kenya umembahatisha Morocco.
Ungekua kweli wewe una ubora basi ungemfunga Madagascar.
 
Back
Top Bottom