Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

There are more Tanzanians living in Kenya than Kenyans living in Tanzania FYI. Tofauti sisi tunakuja huko either kukodisha mashamba tulime, kufanya biashara ama kufanya professional jobs kama uhandisi, ualimu n.k. Nyie mnakuja huku either kuombaomba, kufanya kazi za uhousegirl, kusoma ama kuwa hawkers pale Gikomba. Unategemeaje remittances za kutoka huku ziwe kubwa kuliko kutoka kwenu wakati hamfanyi cha maana huku?
Wee wee Wakenya Tanzania mko wengi kuliko Watanzania walikuwepo Kenya.
Huku Kigamboni mmejazana mnajiita wadigo pumbavu nyie.
Hata Hapo Tanga kuja hadi Morogoro mmejazana kumanina zenu tena wengi.
Na wataita pale Bagamoyo ndio mpo wengi misiseme.
 
Acha ujinga kwenye last edition ya CHAN Madagascar alifika semi final nyie mlifika wapi. Kama uliangalia mechi Madagascar was a more compact side na ilicheza mpira wa kitabu nyie sasa kukimbiakimbia hovyo na kutumia nguvu za ugali na hata hivyo kuna muda mlikata pumzi. The only downside ya Madagascar was forward line yao ilikuwa haiko vizuri.
Sasa last edition ya CHAN inahusikanaje na game ya jana? Ndio maana nikakwambia juzi that trying to impact knowledge to you is tantamount
 
Wee wee Wakenya Tanzania mko wengi kuliko Watanzania walikuwepo Kenya.
Huku Kigamboni mmejazana mnajiita wadigo pumbavu nyie.
Hata Hapo Tanga kuja hadi Morogoro mmejazana kumanina zenu tena wengi.
Na wataita pale Bagamoyo ndio mpo wengi misiseme.
Nilikuambia kitu moja, shida yako hujatembea. Unaona Wakenya Tanzania ila hujakuja Kenya uone Watanzania wangapi wako Kenya. Ungekuwa umetravel hungeongea huu upuzi. Tumia statistics. Mko wengi huku kuliko tulivyo huko. Ukiona tukohuko wengi, jua mko huku wengi zaidi. I hope umenipata.
 
Shida kubwa ya Wakenya ni DUMBEST people I have ever seen.

MTZ aliyeko Kenya labda Wachagga walioko Gikomba, kwasababu Rombo to Naorobi ni karibu zaidi.

Mmejaza Waburundi wanauza njugu mnaita WATZ.

Wby are you so dumb??

Mtu anakwambia siyo MTZ unafosi kama JUHA.

Deport them basi kama mna BALLS.



View: https://www.instagram.com/reel/DNr7PiM2Cvt/?igsh=MWUza2Rxc2x0YmgwOA==

Waburundi ni Waburundi, Watz ni watz. Waburundi wako huku, watz wako huku. Awe Mchagga ama Msukuma pia ni Mtz. Si huwa mnasema hamna ukabila? Sasa mbona unawagawa Watanzania wenzako kikabila?
 
Back
Top Bottom