unapiga nzi kwa nyundo 🤣🤣🤣
unapiga nzi kwa nyundo 🤣🤣🤣
Hakuna kitu inawauma nyangau kama hizi chuma za umeme na infrastructure yake.Huku labda kiama kikifika Ndio wataweza labda. 🤣🤣🤣
Kweli unayosema but hizi slums zinapenya tu 6% of the city.na hii hali inabadilishwa na ujenzi wa nyumba za bei nafuu kwa mwanchi wa kawaidi.Kibera is a slum 99% of houses built by mabati no sewage system,no electricity,no proper water supply.
In our Tanzania informal settlements houses are built by bricks,there is proper sewage system somehow,there is electric supply and there is proper water supply every street.
Mitaa yote wanayoleta wenzako Tandale,Manzese,Msimbazi hiyo mitaa yote hadi Mwananyamala haukosi huduma muhimu za kijamii hadi zahanati. In Kibera slum can you get these services?
Picha linaanza watu mnakunya kwenye mifuko ya rambo.
Kweli unayosema but hizi slums zinapenya tu 6% of the city.na hii hali inabadilishwa na ujenzi wa nyumba za bei nafuu kwa mwanchi wa kawaidi.
Lakini hali dar inatisha aisee,sorry your city is a big mess,,serikali inafaa ingilie kati kutatua or you would end like lagos,,you are almost there
View: https://www.facebook.com/share/v/19R1jUitTE/
So nani anaishi Nairobi?TZ can never be like Kenya.
Nairobi wasn't built for common Kenyans.
Just foreigners, political and settlers.
Sidhani kama umetazama hio video nimekuwekea bro,hizo nyumba for most part ziko sawa lakini they are chaotic,almost zero infrastructure like roads achilia mbali sewage na maji.hapo serikali imelegeza kamba,sio mtihani kuwa na mpangilio.Ni wewe unasema.
Tandale makazi ya hovyo yanapunguzwa as well as Jangwani,Magomeni,Manzese na maeneo mengine.
Usidhani na sisi tumekaa tu kizembe.
Dar kimakazi inabadilishwa Kila leo bro.
Tulia wew. Unabishana na media zenu.Let’s not digress. As I’ve already said, if you want me to outline the precise boundaries of Nairobi’s CBD, I am more than capable of doing so—but that is an entirely separate matter. For the moment, the discussion at hand concerns sidewalks, and it would be best to remain focused on that.
So, were you actually able to substantiate your claim that Thika Road has sidewalks only in areas near the city?
Nimeitizama na serikali ipo kwenye mpango wa kuiboresha hayo maeneo. Au nikuletee picha kuanzia palipoanza kuboreshwa?Sidhani kama umetazama hio video nimekuwekea bro,hizo nyumba for most part ziko sawa lakini they are chaotic,almost zero infrastructure like roads achilia mbali sewage na maji.hapo serikali imelegeza kamba,sio mtihani kuwa na mpangilio.
Ati farmland ni tofauti homes. Wew umetembea Tz yote ukaja na hii point. Kwamba kenya hakuna sehemu farmland ni tofauti na homes?Shida yao wanahesabu vijiji zao za ujamaa kama miji. While in Kenya the land is subdivided such that in the village, everyone has their own piece of land where they build their house and farm, In Tanzania the farmland is separate from the village where they build homes. Some of them count those villages as urban areas hence get the illusion that they are more urbanized.
Mimi hata siongelei tandale,manzese ama slums.Nimeitizama na serikali ipo kwenye mpango wa kuiboresha hayo maeneo. Au nikuletee picha kuanzia palipoanza kuboreshwa?
Ati matatu Politics. Yaan kenyan state inashindwa kufanya Maendeleo kwa kuogopa few individuals. Au mmeshakuwa failed state. Yaani wananchi wa Nairobi zaidi ya 5 million wateseke kwa sababu ya matatu owners less than 50 peopleYou are entitled to your own opinion but not your own facts. It’s not that complicated. Read Matatu cartel politics and how the issue has been a hindrance to any BRT initiative. Eventually the issue will be resolved with a compromise whereby the Matatu industry will somehow be considered or incorporated into the plans and implementation. How?… I don’t have an answer for you yet ..
Settlers, politicians, foreigners and their MJENGO and HelpersSo nani anaishi Nairobi?
Thank you for accepting that your new football stadium being built with a loan and bond Tarotu cannot come close to our stadium we built in the past.Was 60k on record till recent when numbers got twisted after Talanta capacity was announced. Anything to satisfy your vulnerable, delicate and soft egos .
Kweli unayosema but hizi slums zinapenya tu 6% of the city.na hii hali inabadilishwa na ujenzi wa nyumba za bei nafuu kwa mwanchi wa kawaidi.
Lakini hali dar inatisha aisee,sorry your city is a big mess,,serikali inafaa ingilie kati kutatua or you would end like lagos,,you are almost there
View: https://www.facebook.com/share/v/19R1jUitTE/
Kuwa specific ni maeneo gani unayohisi sasa hivi yanajengwa bila mpangilio sababu tandare , manzese na the like ndo kulikuwa kuna mpangilio wa ovyo kuwahi tokea.Mimi hata siongelei tandale,manzese ama slums.
Naongelea kuhusu Dar inavyoo sambaa bila mpangilio.
Kweli unayosema but hizi slums zinapenya tu 6% of the city.na hii hali inabadilishwa na ujenzi wa nyumba za bei nafuu kwa mwanchi wa kawaidi.
Lakini hali dar inatisha aisee,sorry your city is a big mess,,serikali inafaa ingilie kati kutatua or you would end like lagos,,you are almost there
View: https://www.facebook.com/share/v/19R1jUitTE/
Dadadala za mbagala tu zinaibeba Nairobi nzima , hawa tukiwaambia kuna watu wanafleet mpaka za mabasi 100 hawatakibaliAti matatu Politics. Yaan kenyan state inashindwa kufanya Maendeleo kwa kuogopa few individuals. Au mmeshakuwa failed state. Yaani wananchi wa Nairobi zaidi ya 5 million wateseke kwa sababu ya matatu owners less than 50 people
Si mje mjifunze Tz, wanafanyaje na daladala owners. Come and learn. Keshokutwa hapa daladala za kilwa road zinaondolewa wakiintroduce BRT system phase 2, njoo mjifunze latra wanavyowaacommodate bila manunguniko.
Tatizo mna ego. Badal ya kucalm down na kulearn mnaanza fake propagandas against your neighbours