Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kibera is a slum 99% of houses built by mabati no sewage system,no electricity,no proper water supply.
In our Tanzania informal settlements houses are built by bricks,there is proper sewage system somehow,there is electric supply and there is proper water supply every street.
Mitaa yote wanayoleta wenzako Tandale,Manzese,Msimbazi hiyo mitaa yote hadi Mwananyamala haukosi huduma muhimu za kijamii hadi zahanati. In Kibera slum can you get these services?
Picha linaanza watu mnakunya kwenye mifuko ya rambo.
Kweli unayosema but hizi slums zinapenya tu 6% of the city.na hii hali inabadilishwa na ujenzi wa nyumba za bei nafuu kwa mwanchi wa kawaidi.

Lakini hali dar inatisha aisee,sorry your city is a big mess,,serikali inafaa ingilie kati kutatua or you would end like lagos,,you are almost there

View: https://www.facebook.com/share/v/19R1jUitTE/
 
Kweli unayosema but hizi slums zinapenya tu 6% of the city.na hii hali inabadilishwa na ujenzi wa nyumba za bei nafuu kwa mwanchi wa kawaidi.

Lakini hali dar inatisha aisee,sorry your city is a big mess,,serikali inafaa ingilie kati kutatua or you would end like lagos,,you are almost there

View: https://www.facebook.com/share/v/19R1jUitTE/

Ni wewe unasema.
Tandale makazi ya hovyo yanapunguzwa as well as Jangwani,Magomeni,Manzese na maeneo mengine.
Usidhani na sisi tumekaa tu kizembe.
Dar kimakazi inabadilishwa Kila leo bro.
 
Ni wewe unasema.
Tandale makazi ya hovyo yanapunguzwa as well as Jangwani,Magomeni,Manzese na maeneo mengine.
Usidhani na sisi tumekaa tu kizembe.
Dar kimakazi inabadilishwa Kila leo bro.
Sidhani kama umetazama hio video nimekuwekea bro,hizo nyumba for most part ziko sawa lakini they are chaotic,almost zero infrastructure like roads achilia mbali sewage na maji.hapo serikali imelegeza kamba,sio mtihani kuwa na mpangilio.
 
Let’s not digress. As I’ve already said, if you want me to outline the precise boundaries of Nairobi’s CBD, I am more than capable of doing so—but that is an entirely separate matter. For the moment, the discussion at hand concerns sidewalks, and it would be best to remain focused on that.
So, were you actually able to substantiate your claim that Thika Road has sidewalks only in areas near the city?
Tulia wew. Unabishana na media zenu.

Subiri nakuletea thika road yako bila sidewalks
 
Sidhani kama umetazama hio video nimekuwekea bro,hizo nyumba for most part ziko sawa lakini they are chaotic,almost zero infrastructure like roads achilia mbali sewage na maji.hapo serikali imelegeza kamba,sio mtihani kuwa na mpangilio.
Nimeitizama na serikali ipo kwenye mpango wa kuiboresha hayo maeneo. Au nikuletee picha kuanzia palipoanza kuboreshwa?
 
Shida yao wanahesabu vijiji zao za ujamaa kama miji. While in Kenya the land is subdivided such that in the village, everyone has their own piece of land where they build their house and farm, In Tanzania the farmland is separate from the village where they build homes. Some of them count those villages as urban areas hence get the illusion that they are more urbanized.
Ati farmland ni tofauti homes. Wew umetembea Tz yote ukaja na hii point. Kwamba kenya hakuna sehemu farmland ni tofauti na homes?
Hiv wew jamaa kwa nini ni mpumbavu kiasi hiki?

Hebu Tazama hii video

View: https://youtu.be/hj0NkoMQ8dg?si=FDtB5i4a5twy3qEv
 
Nimeitizama na serikali ipo kwenye mpango wa kuiboresha hayo maeneo. Au nikuletee picha kuanzia palipoanza kuboreshwa?
Mimi hata siongelei tandale,manzese ama slums.

Naongelea kuhusu Dar inavyoo sambaa bila mpangilio.
 
You are entitled to your own opinion but not your own facts. It’s not that complicated. Read Matatu cartel politics and how the issue has been a hindrance to any BRT initiative. Eventually the issue will be resolved with a compromise whereby the Matatu industry will somehow be considered or incorporated into the plans and implementation. How?… I don’t have an answer for you yet ..
Ati matatu Politics. Yaan kenyan state inashindwa kufanya Maendeleo kwa kuogopa few individuals. Au mmeshakuwa failed state. Yaani wananchi wa Nairobi zaidi ya 5 million wateseke kwa sababu ya matatu owners less than 50 people

Si mje mjifunze Tz, wanafanyaje na daladala owners. Come and learn. Keshokutwa hapa daladala za kilwa road zinaondolewa wakiintroduce BRT system phase 2, njoo mjifunze latra wanavyowaacommodate bila manunguniko.

Tatizo mna ego. Badal ya kucalm down na kulearn mnaanza fake propagandas against your neighbours
 
Was 60k on record till recent when numbers got twisted after Talanta capacity was announced. Anything to satisfy your vulnerable, delicate and soft egos .
Thank you for accepting that your new football stadium being built with a loan and bond Tarotu cannot come close to our stadium we built in the past.
 
Kweli unayosema but hizi slums zinapenya tu 6% of the city.na hii hali inabadilishwa na ujenzi wa nyumba za bei nafuu kwa mwanchi wa kawaidi.

Lakini hali dar inatisha aisee,sorry your city is a big mess,,serikali inafaa ingilie kati kutatua or you would end like lagos,,you are almost there

View: https://www.facebook.com/share/v/19R1jUitTE/


View: https://youtu.be/fJKwmNvevTo?si=IWOsDXHFXu-1GY_E
Jaribu ku-compare

View: https://youtu.be/rq8Qi4LFweo?feature=shared

View: https://youtu.be/PO_ULluZ6DA?si=JyrtMaustRBT4DxT
 
Mimi hata siongelei tandale,manzese ama slums.

Naongelea kuhusu Dar inavyoo sambaa bila mpangilio.
Kuwa specific ni maeneo gani unayohisi sasa hivi yanajengwa bila mpangilio sababu tandare , manzese na the like ndo kulikuwa kuna mpangilio wa ovyo kuwahi tokea.
Tukumbushe tu sasa hivi watu wengi hawajengi bila consultation ya mipango miji sababu ya hofu ya kubomolewa
 
Kweli unayosema but hizi slums zinapenya tu 6% of the city.na hii hali inabadilishwa na ujenzi wa nyumba za bei nafuu kwa mwanchi wa kawaidi.

Lakini hali dar inatisha aisee,sorry your city is a big mess,,serikali inafaa ingilie kati kutatua or you would end like lagos,,you are almost there

View: https://www.facebook.com/share/v/19R1jUitTE/

Hiyo ndio informal settlements za Dar, plus factories.

Ukiona inalingana na Huruma au kawangare??
 
Ati matatu Politics. Yaan kenyan state inashindwa kufanya Maendeleo kwa kuogopa few individuals. Au mmeshakuwa failed state. Yaani wananchi wa Nairobi zaidi ya 5 million wateseke kwa sababu ya matatu owners less than 50 people

Si mje mjifunze Tz, wanafanyaje na daladala owners. Come and learn. Keshokutwa hapa daladala za kilwa road zinaondolewa wakiintroduce BRT system phase 2, njoo mjifunze latra wanavyowaacommodate bila manunguniko.

Tatizo mna ego. Badal ya kucalm down na kulearn mnaanza fake propagandas against your neighbours
Dadadala za mbagala tu zinaibeba Nairobi nzima , hawa tukiwaambia kuna watu wanafleet mpaka za mabasi 100 hawatakibali
 
Back
Top Bottom