Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sawa tunakubali ila ukweli umejidhihirisha umefungwa na timu ya 135 kwa viwango vya FIFA.
Kheri mimi nimefungwa na aliyenizidi.
Huyo Madagascar mara zote alikua akikutana na Tanzania ushindi wake ni sare. Tumemfunga sana na akikutana na sisi hafui dafu.
Penalties hazina heshima bongolala. There's nothing wrong with Harambee stars
 
Limuru affordable housing
1000044903.jpg
1000044902.jpg
 
Kocha hachezi mpira, wachezaji ndo hakuna. Hapo sioni mtu anaweza pewa namba Harambee stars. Inshort league yenu imevuliwa chupi 😂😂😂
We matako kweli wewe.
Mna mchezaji gani wa kumfikia Feisal Salum nyie?
Nikisema hamujui mpira mnakataa.
Taifa stars ubora wa wachezaji ndio uliamua matokeo sio mbinu za kocha.
Kocha ni mtu muhimu katika timu yeye ndio anayepanga mbinu za uchezaji mpira.
Ndio maana unaona timu ilifanya vibaya wa kwanza kulaumiwa kocha.
Kaa ukilijua hilo kama wewe ni unajua Mpira.
Barcelona ilikua na wachezaji nguli kina Rakitic,Messi,Iniesta,Neymar n.k n.k,mbona Luis Enrique alipewa mkono wa kwaheri!?
 
Kuwa specific ni maeneo gani unayohisi sasa hivi yanajengwa bila mpangilio sababu tandare , manzese na the like ndo kulikuwa kuna mpangilio wa ovyo kuwahi tokea.
Tukumbushe tu sasa hivi watu wengi hawajengi bila consultation ya mipango miji sababu ya hofu ya kubomolewa
Chanika na kivule unakujua?
 
Wewee ume sare na Madagascar!?
Kwa ulivyojitapa Kenya mlitakiwa mumfunge goli zaidi ya mbili Madagascar. Matokeo yake mkasarw akawatoa penati.
Huyo Madagascar angecheza na sisi asingetoboa.
Vipi hujui sisi tulimfunga Morocco na watu kumi uwanjani nanyi mkapigwa na huyo Morocco ama unajisahaulisha tu.🤣🤣
 
Back
Top Bottom