Reborn Ktb
JF-Expert Member
- Mar 14, 2021
- 6,820
- 9,588
Penalties hazina heshima bongolala. There's nothing wrong with Harambee starsSawa tunakubali ila ukweli umejidhihirisha umefungwa na timu ya 135 kwa viwango vya FIFA.
Kheri mimi nimefungwa na aliyenizidi.
Huyo Madagascar mara zote alikua akikutana na Tanzania ushindi wake ni sare. Tumemfunga sana na akikutana na sisi hafui dafu.