WWako mbele miaka 50 hao.
Ruto lazima amwage pesa mingi sana maana ni mileage yake kisiasa. Lakini wakivuka huku watajua hawajuihuyu refa kachukua pesa huyu inamaana haoni faulo za madagascar hehe Africa🙌🏻
Limerudi 🤣 🤣 🤣 🤣 Chloroform imeisha kwenye vichwa.huyu refa kachukua pesa huyu inamaana haoni faulo za madagascar hehe Africa🙌🏻
Seems. Kuzaliwa Tanzania unakuwa mjinga tu naturallyHaya turudi kwa mada sasa. Show us sidewalks hapa 👇
View attachment 3448939
Yan hao jamaa tukipiga hatua flan wanaona tunashindana nao,wana wivu wa kijinga sanaNilifikiri tiwagesi ndio pumbavu kuliko wote kumbe wapo zaidi yake.
Dunia hii wajinga wote wapo eneo lililopitiwa na equatorSeems. Kuzaliwa Tanzania unakuwa mjinga tu naturally
That's an interchange walkway inapita huko juuuu ikifuata loop lane back to service lane.
Wakenya wangekuwa na nguvu kijeshi, haki wangevamia Tanzania. Kwa sasa wanabweka tu kama mbwa kokoYan hao jamaa tukipiga hatua flan wanaona tunashindana nao,wana wivu wa kijinga sana
Inavyosambaa kivipi bro?Mimi hata siongelei tandale,manzese ama slums.
Naongelea kuhusu Dar inavyoo sambaa bila mpangilio.
Roho mbaya zinawasumbuaWakenya wangekuwa na nguvu kijeshi, haki wangevamia Tanzania. Kwa sasa wanabweka tu kama mbwa koko
Eti wataweka umeme ile yao. Leo nimeangalia huu umeme nikasema huyo kichaa anaetaka kuweka umeme ni afadhali ajenge upya.Hakuna kitu inawauma nyangau kama hizi chuma za umeme na infrastructure yake.
Hata wakiweka umeme bado hawataweza tembea kwa spidi tajwaEti wataweka umeme ile yao. Leo nimeangalia huu umeme nikasema huyo kichaa anaetaka kuweka umeme ni afadhali ajenge upya.
Kuna nini huko tena?