Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

huyu refa kachukua pesa huyu inamaana haoni faulo za madagascar hehe Africa🙌🏻
 
Seems. Kuzaliwa Tanzania unakuwa mjinga tu naturally
That's an interchange walkway inapita huko juuuu ikifuata loop lane back to service lane.
Dunia hii wajinga wote wapo eneo lililopitiwa na equator

1755877267758.png
 
Apparently, this Madagascar team is fast becoming my favourite in Chan tournaments, they are so talented.
 
Hakuna kitu inawauma nyangau kama hizi chuma za umeme na infrastructure yake.
Eti wataweka umeme ile yao. Leo nimeangalia huu umeme nikasema huyo kichaa anaetaka kuweka umeme ni afadhali ajenge upya.
 
Eti wataweka umeme ile yao. Leo nimeangalia huu umeme nikasema huyo kichaa anaetaka kuweka umeme ni afadhali ajenge upya.
Hata wakiweka umeme bado hawataweza tembea kwa spidi tajwa
Kuna vitu gradient and curves ambavyo vyote vitahitaji kufanyiwa marekebisho ambayo bado yatakuwa na gharama kubwa ili ku attain hiyo speed
Bado kuna signalling ambavyo vyote hivyo ni gharama kubwa
 
Back
Top Bottom