Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Apparently, this Madagascar team is fast becoming my favourite in Chan tournaments, they are so talented.
 
Hakuna kitu inawauma nyangau kama hizi chuma za umeme na infrastructure yake.
Eti wataweka umeme ile yao. Leo nimeangalia huu umeme nikasema huyo kichaa anaetaka kuweka umeme ni afadhali ajenge upya.
 
1000107177.jpg
 
Eti wataweka umeme ile yao. Leo nimeangalia huu umeme nikasema huyo kichaa anaetaka kuweka umeme ni afadhali ajenge upya.
Hata wakiweka umeme bado hawataweza tembea kwa spidi tajwa
Kuna vitu gradient and curves ambavyo vyote vitahitaji kufanyiwa marekebisho ambayo bado yatakuwa na gharama kubwa ili ku attain hiyo speed
Bado kuna signalling ambavyo vyote hivyo ni gharama kubwa
 
Back
Top Bottom