RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,861
- 129,817
Hivi wakundustan wapo nyuma aje kwenye technology?
View: https://x.com/rodgers_adai/status/1956950889819779449?t=v6ZiUf7X0I1aYgMMJFHTWw&s=19
Mbona nasikia wako mbele yetu 50yrs?!
Hivi wakundustan wapo nyuma aje kwenye technology?
View: https://x.com/rodgers_adai/status/1956950889819779449?t=v6ZiUf7X0I1aYgMMJFHTWw&s=19
Naonaga waende kwenye forums za nchi zingine failed state kama yao wakawatambie. 😂😂😂
View: https://x.com/kemolisagala/status/1717146870269579422?s=46
View: https://x.com/thee_alfa_house/status/1897577565696467337?s=46
Hiyo kuwa mbele miaka 50 mbona haionekani! Au ni mbele ya nini!Wako mbele miaka 50 hao.
Hata sijui maanake mimi last time nimeingia Kenya nikakutana na vipanya ambavyo nilikuwa napanda shule ya msingi over 35yrs ago!Hiyo kuwa mbele miaka 50 mbona haionekani! Au ni mbele ya nini!
Rudishia mwenyewe account yake scammer hii.😂😂KLMYK.
Azam ina miaka 2 na ina zaidi ya 26,000 subscribersWhere is the lie? Azam is just trying to force themselves on Kenya but tumeikataa kabisa.
Waliita Google, Microsoft, wana HQ hapo Nairobi.Mbona nasikia wako mbele yetu 50yrs?!
You are the only Scammer maskini that I know.Scammer ni mamaqo.
Subscribers WA Mulamwa matako ndio wafanye renewals.Azam ina miaka 2 na ina zaidi ya 26,000 subscribers
Kuna uhuni umefanyika.Hapo kupigwa niliongelea Samia.
Hiyo ya Kosugi alimwongelea Mwinyi kuwa angetufaa baada ya kuweza kulipa deni lote la Tanesco Kwa Zanzibar. Aliweza kulilipa vipi, hiyo haijawekwa wazi.
Zuzu, nazungumza decoders hai zinazolipiwa kila mwezi, za Azam TV.Subscribers WA Mulamwa matako ndio wafanye renewals.
No wonder you are a primary school dropout. Who cheated you that subscriptions can only happen through YouTube?Zuzu, nazungumza decoders hai zinazolipiwa kila mwezi, za Azam TV.
Sisemi kuhusu subscribers wa Youtube.
The big problem uliyo nayo ni lack of exposure. Primary School and Secondary School in Tanzania there is no dropout. It is compulsory education that everyone studies. The people you are discussing with, have degrees and higher education beyond a degree.No wonder you are a primary school dropout. Who cheated you that subscriptions can only happen through YouTube?
Tafuta mashoga wenzako ubishane nao.The big problem uliyo nayo ni lack of exposure. Primary School and Secondary School in Tanzania there is no dropout. It is compulsory education that everyone studies.
Najua huna uwezo wa kujadiliana na watu wenye elimu kubwa. Unaniogopa sana. KwikwikwikwikwiTafuta mashoga wenzako ubishane nao.