Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tuna upinzani wa kupinga pinga kila kitu ovyo, upinzani usio kuwa na agenda kila kitu kilichopo mbele yao wanaruka nayo.
Na kosa lingine kubwa walilofanya ni hili kwenye hii post/tweet.

View: https://x.com/sdkkalula/status/1925120701859606586?s=46

Shida ya siasa zetu ninwatu wanaofikiria kama wewe.

Vyama vya siasa vinabaki kuwa vyama vya siasa.

Wananchi tunachotaka ni HESHIMA ya Kura.

Mfano, hata mimi leo tukiwa na uchaguzi bado nitachagua Rais wa CCM.

Kuheshimu kura haina maana kuwa lazima Upinzani ushinde au lazima CCM itoke. Ninkuwapa watu uhuru wa kuchaguana, ili kusukuma maendeleo kutoka chini.

Wananchi wanapochagua mtu wanayemwamini ni rahisi, hata akiwaambia kuchangia maendeleo.
 
Nikashangaa serikali na TFF wamekuwa wazembe kiasi gani hivi
Hakuna kitu kama hicho kaka. NI ile tabia ya wakenya kujipa umuhimu kwa vitu visivyowahusu. Wakenya ni jobless wanatafuta namna ya ku trend kwenye mitandao. Nchi hiyo ilisha kufa kaka.

Hakuna mtu mwenye uwezo wa kununu tiketi ovyo ovyo kwenye mifumo ya Tanzania.

1. Kama ni foreigner kutoka nchi nyingine lazima atumie passport.
2. Kuna dedicated ticket chache kama 1000 kwa foreigners.
3. Tiketi zingine zote zilizobaki ni kwaajili ya watanzania.
Hii hapa ni Ticket System ya Tanzania is Available:

View attachment 3447442

Hii hapa ni Ticket System ya Kenya Not Available:

View attachment 3447444

NB: Wakenya wanapiga kelele ili kuwahamisha wananchi wao wasishughulike na madhaifu yao.
Kwenye ICT kenya ipo nyuma sana.


View: https://youtu.be/rKr6INgTVG8 huyu mamdogo wa kiganda video yake imenifurahisha,imeonyesha gates zote za mkapa,na namna watu wanavyoingia kwa scan,kunyan wanakuambia washanunua tiketi zote za taifa stars na morocco,kunyan maskini hawajui TZ huwezi kununua tiketi bila ya kua na n card na namba ya simu ya TZ,kingine kunyan angalieni hapo karibu na mkapa kama kuna makazi ya watu kama mnajidanganya


Wamezoea kudanganyana na kutafuta Trend kwenye mitandao. Kenya ilishakufa
 
Kumbe hutaki nifunge account. 🤣🤣 Your demand is less than Kenya's, Sasa ulikua unaropokwa nini nikikuambia Kenya ina higher demand na inaendelea kuongezeka.
Hiyo ni demend ya National Grid bado kuna independent grid nyingi tuu hazijawekwa kwenye hesabu. Mfano Lindi and Mtwara have their own independent grid and so is Kigoma pia halafu all major mines are operatiing on their own power sources. Preparations are in high gear to link them to the national grid. Ukiangalia hiyp picha utakuta power demand ya Tanzania is more that what is being reported.
 
With this Kenyan mindset, traffic Jam in Nairobi is there to STAY.

How do cities grow and expand, then?
Stop changing gear bongolala. You talking as if your glorified fishing village Dar does not experience traffic jams
 
Hakuna kitu kama hicho kaka. NI ile tabia ya wakenya kujipa umuhimu kwa vitu visivyowahusu. Wakenya ni jobless wanatafuta namna ya ku trend kwenye mitandao. Nchi hiyo ilisha kufa kaka.

Hakuna mtu mwenye uwezo wa kununu tiketi ovyo ovyo kwenye mifumo ya Tanzania.

1. Kama ni foreigner kutoka nchi nyingine lazima atumie passport.
2. Kuna dedicated ticket chache kama 1000 kwa foreigners.
3. Tiketi zingine zote zilizobaki ni kwaajili ya watanzania.
Hii hapa ni Ticket System ya Tanzania is Available:

View attachment 3447442

Hii hapa ni Ticket System ya Kenya Not Available:

View attachment 3447444

NB: Wakenya wanapiga kelele ili kuwahamisha wananchi wao wasishughulike na madhaifu yao.
Kwenye ICT kenya ipo nyuma sana.
Bongolala, hakuna mfumo ya Tanzania inatumika kwenye uuazaji wa tickets AFCON.

The ticketing system at AFCON is 100% owned and controlled by CAF
 
Bongolala, hakuna mfumo ya Tanzania inatumika kwenye uuazaji wa tickets AFCON.

The ticketing system at AFCON is 100% owned and controlled by CAF
Hata sisi tunaona ni owned and controlled by CAF, Naona hadi CAF wamewapa watanzania kadi za NCARD. 😂😂😂
IMG_5414.jpeg


View: https://youtu.be/rKr6INgTVG8?si=rwMlU54RZMhxEcJe
 
Bongolala, hakuna mfumo ya Tanzania inatumika kwenye uuazaji wa tickets AFCON.

The ticketing system at AFCON is 100% owned and controlled by CAF
Kwikwikwikwikwi Wakenya tulisha maliza huko. Kwenye mambo ya payment System Tanzania is Number one in Africa Hakuna nchi hapa Africa yenye peyments Systems kama za Tanzania. Huko sisi tulisha toka.

Mfumo wa Payment wa Football Managed by JamiiPay kupita Tanzania National Internet Data Center (NIDC).

Mfumo huu hapa:

1755762893450.png


Check chini pameandikwa contacts zote za Mfumo.
Jamii Pay Ecosystem: Integration with systems like TIPS and GEPG will reduce financial service costs and increase financial system flows.
 
Back
Top Bottom