Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 22,082
- 17,803
Bongolala, hakuna mfumo ya Tanzania inatumika kwenye uuazaji wa tickets AFCON.Hakuna kitu kama hicho kaka. NI ile tabia ya wakenya kujipa umuhimu kwa vitu visivyowahusu. Wakenya ni jobless wanatafuta namna ya ku trend kwenye mitandao. Nchi hiyo ilisha kufa kaka.
Hakuna mtu mwenye uwezo wa kununu tiketi ovyo ovyo kwenye mifumo ya Tanzania.
1. Kama ni foreigner kutoka nchi nyingine lazima atumie passport.
2. Kuna dedicated ticket chache kama 1000 kwa foreigners.
3. Tiketi zingine zote zilizobaki ni kwaajili ya watanzania.
Hii hapa ni Ticket System ya Tanzania is Available:
AFRICAN NATIONS CHAMPIONSHIP 2024
chantz.kimtandao.co.tz
View attachment 3447442
Hii hapa ni Ticket System ya Kenya Not Available:
View attachment 3447444
NB: Wakenya wanapiga kelele ili kuwahamisha wananchi wao wasishughulike na madhaifu yao.
Kwenye ICT kenya ipo nyuma sana.
The ticketing system at AFCON is 100% owned and controlled by CAF