Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ewaa,hii amsha amsha ndio inafanya ccm na wenyewe wasijisahau,kikubwa na kizuri muasisi


wa taifa letu akutufanya maboya kama kunyan,kunyan politician hata akiwa mwizi ila ni wa kabila lake atamuunga mkono,nasikia toll ya express way 50% anachukua mtoto wa mama ngina,mazuzu yametawaliwq na familia 1 hadi jina la nchi imetoka kwenye familia ya mama ngina,kunyan ni wangese
Kenya ni DRC iliyochangamka
 
DRC pale walipo ni program ya mataifa ya western,kunyaland program yao imesetiwa na kenyata family,ile familia hadi nchi imeipa jina lao then wakawatengenezea na ukabila,nchi inayomilikiwa na familia
Kuna settlers wengi Kenya.

Kuna kipande cha wakoloni, kilichobaki wakachukua wanasiasa wakiongozwa na Kenyatta
 
IMG_1382.jpeg
 
barabara km 6 na kuweka culvert ndogondogo 7 imegharimu 26.15b tsh

kaaaah nchi yangu tanzania what is this lakini? 26.15b aloooo nimeshtuka sana 🙌🏻

haya tuendelee kusifiana tu


View: https://www.instagram.com/reel/DNlwpzko7P4/?igsh=dW01OHZtZHQ1bzN5

na sasa nimeamini kwann hii awamu hii imekopa pesa nyingi sana kuliko awamu zote zilizopita combined 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻

kama matumizi yenyewe ni haya wanahaki ya kukopa pesa zaidi ya 56 trillion in just 4 good years
 
Kaka. CCM haishuki iwe leo au Kesho. Upo na choice ya kuchagua chama kingine cha siasa.

Badala ya vyama vyenu kujenga Taasisi kama ilivyo ya CCM, mmewekeza kwenye activism na chama cha matukio.

Vyama vinavyosubiri wanaoachwa na CCM waende wakagombee Urais, Ubunge na Udiwani!!!! Hamuwezi kufanya recruitment ya wanachama wenu?

Hakuna opposition hapa TZ. Tulikuwa tunategemea ACT lakini nao wapi.

Walimuweka Membe kutoka CCM
Sasa hivi Mpina tena aligombea ubunge na akakatwa CCM leo hii anagombea urais ACT.

Je, wakulaumiwa ni CCM au oppositions.

Mnajuaje kama mpina siyo pandikizi wa CCM kuua ACT?
Whenever I get a chance huku uswahilini huwa naongea maneno kama haya!! Upinzani hapa Tanzania ni comedy tu!! Ndo maana hata hao Chadema siwaamini pia.
Baada ya kujizatoti kwenye kujenga misingi ya chama shupavu wao wapo kwenye uwanaharakati tu!! Kila kitu kupinga bila hata ya kusoma upepo!!

Ila CCM nayo inahitaji reforms, tena kubwa. Kwa mfumo huu hakiweza kutupeleka kuwa nchi ya Asali na maziwa.

Ila tatizo wasomi hamtaki CCM, matokeao yake mnawaachia, wazoa taka, mama lishe, wabeba mizigo wawachagulie viongozi ( sio kwa dharau lakini). Wasomi mnatakiwa kuvamia kuanzia chini kabisa, ila mambo ya kununua kura kwa 10,000 yaishe.....la sivyo tutalia mpaka kiama. Ila wachumia tumbo ndo watatuongoza tu!!
 
Whenever I get a chance huku uswahilini huwa naongea maneno kama haya!! Upinzani hapa Tanzania ni comedy tu!! Ndo maana hata hao Chadema siwaamini pia.
Baada ya kujizatoti kwenye kujenga misingi ya chama shupavu wao wapo kwenye uwanaharakati tu!! Kila kitu kupinga bila hata ya kusoma upepo!!

Ila CCM nayo inahitaji reforms, tena kubwa. Kwa mfumo huu hakiweza kutupeleka kuwa nchi ya Asali na maziwa.

Ila tatizo wasomi hamtaki CCM, matokeao yake mnawaachia, wazoa taka, mama lishe, wabeba mizigo wawachagulie viongozi ( sio kwa dharau lakini). Wasomi mnatakiwa kuvamia kuanzia chini kabisa, ila mambo ya kununua kura kwa 10,000 yaishe.....la sivyo tutalia mpaka kiama. Ila wachumia tumbo ndo watatuongoza tu!!
Tuna upinzani wa kupinga pinga kila kitu ovyo, upinzani usio kuwa na agenda kila kitu kilichopo mbele yao wanaruka nayo.
Na kosa lingine kubwa walilofanya ni hili kwenye hii post/tweet.

View: https://x.com/sdkkalula/status/1925120701859606586?s=46
 
Back
Top Bottom